fuatilia kwa mratibu Elimu ngazi zote ikishindikana fika kwa Afisa Elimu au hata DED, ninachojua tablet vimegaiwa kwa idadi kamili ya waalimu Tanzania. usikute vimegaiwa kwa wadada wa kazi wao huko majumbani!!Inawezekana ni kweli wana nia ya dhati kuwawezesha walimu katika tehama, lakini kwa ugawaji huu haitasababisha mgawanyiko au upendeleo?
Naona shule x leo wamegawiwa walimu watano na mkuu wa shule!
Je, ni sawa?
Hapana ni kwa walimu wachache.fuatilia kwa mratibu Elimu ngazi zote ikishindikana fika kwa Afisa Elimu au hata DED, ninachojua tablet vimegaiwa kwa idadi kamili ya waalimu Tanzania. usikute vimegaiwa kwa wadada wa kazi wao huko majumbani!!
Kusubiri waandishi wa habari itawagharimu muda mrefuHapana ni kwa walimu wachache.
Na kama ujuavyo walimu wengi ni waoga, hawawezi kuhoji!
Labda waandishi wa habari wasaidie kuhoji na kutoa takwimu sahihi
Wakila bahasha za khaki imekula kwenu!!!Labda waandishi wa habari wasaidie kuhoji na kutoa takwimu sahihi