Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata wewe utazikwa tu muda wako ukifika usiweze, tena yeye alizikwa akiwa rais wa Tanzania na huwezi kulibadilisha hilo kwa chuki zako binafsi, wewe hakuna anae kujua hata wiliya moja tu. Siku yako ikifika hakuna atakae jua labda ndani ya family yako.Kamfufue basi au kazikwe nae usione yanayoendelea
Mtatumia vilivyopo kama ni kwa ajili ya kufundishia na vinatumika kufundishia somo ganiMapema mwezi Disemba mwaka uliopita 2022,waziri mkuu alizindua ugawaji wa Vishkwambi Dodoma kwa walimu wote nchini ili vikatumike kufundishia mashuleni...
Kwani walamba asali waliwahi kushiba nini?Kumekuwa na malalamiko mengi juu ya ugawaji wa vishikwambi kwa wafanyakazi. Mitandaoni kumekuwa na maoni tofauti juu ya utekelezaji wa agizo la Waziri Mkuu...
Sio kweli vinakuja kulingana na idadi ya walimu waliopo mashuleni manispaa ya ilala Kila mwl kapatanikwamba!!,kwa mujibu wa jamaa yangu ambaye ni mwalimu, kila shule havizidi 8,anapata mkuu wa shule/mwl mkuu,makamu mkuu wa shule,mtaaluma,mtu wa stoo,anaehusika na usajili wa wanafunzi.SIO KILA MWL AMEPATA icho kishikwambi.huo ndio ukweli.
Wanatumia vishikwambi kufundushia , kwa kutumia ubao wa chaki😂.Mapema mwezi Disemba mwaka uliopita 2022,waziri mkuu alizindua ugawaji wa Vishkwambi Dodoma kwa walimu wote nchini ili vikatumike kufundishia mashuleni...