"Visit Tanzania" ya Simba SC ni nzuri lakini...

Mbona uwanja una makato makubwa sana? Wanashindwaje vitu vidogo?
 
Mbona uwanja una makato makubwa sana? Wanashindwaje vitu vidogo?
Wanasubiri Hadi waziri and atumbue, imagine leo ratiba imebadilishwa kwa sababu ya taa. Eti taa haziwaki vizuri
 
Umeandika upuuzi mtupu.
 
Umemaliza kila kitu. Ile nafasi ina wenyewe (sportpesa) huu mkataba ni wa muda tu (katika champions league) so isingeleta picha nzuri kupiga deal juu ya deal nadhani hata sportpesa wasingeridhia maana wana haki kisheria so busara kati wa wadhamini na uongozi wa simba imetumika kuamua kuitangaza nchi bila malipo (kwa malipo ya sportpesa)
 
Hakuna ubunifu wowote, ujinga na utaahira tu, wagekuwa wabunifu wangetafuta maneno yanayo-deliver the same message lakini ambayo hayajatumiwa na nchi au mtu yoyote. Poor simba
Mwehu kabisa wewe! Visti Tanzania ilishatumiwa na nchi gani!!??? Visit Rwanda ni sawa na Visit Tanzania!!?? Kama ndivyo basi Rwanda wametuiga maana tumewahi kuidhamini Sunderland Fc ya England na kwenye jersey zao kulikuwa na maneno visit Tanzania.
 
Umeandika upuuzi mtupu.
Sio kwamba nimeandika upuuzi, watu wengi wamechangia wazo hili kwa hoja, Ila kwa kuwa wewe Ni tabulalasa Ndio maana hujaambulia kitu. Soma dogo acha porojo, mpira hauko hivyo.kama huelewi tuliza mshono ,wanaoelewa watachangia
 
Mwehu kabisa wewe! Visti Tanzania ilishatumiwa na nchi gani!!??? Visit Rwanda ni sawa na Visit Tanzania!!?? Kama ndivyo basi Rwanda wametuiga maana tumewahi kuidhamini Sunderland Fc ya England na kwenye jersey zao kulikuwa na maneno visit Tanzania.
Tatizo unakuja kasi Sana, kwani ukjibu hoja Kama ulivyomjibu mwenzio hapo juu unaefanana nae msimamo Kuna shida gani? Usipanic kaka. Mila Jambo sio lazima tufanane Mawazo Ndio maana kupitia nyuzi Kama hizi hata wale wasiojua wanajua. Sisi wengine ni ni wepesi kuelewa pale tulipokwama.
 
Unanifatilia sana mzee nimekukosea nini!!??? Umeona alichoandika niliyemjibu?
 
Unanifatilia sana mzee nimekukosea nini!!??? Umeona alichoandika niliyemjibu?
Ndo ijifunze kujibu kwa staha hata unaotofautiana Mawazo. Mwenzio unamjibu vizuri kea kuwa Mawazo ni sawa, Ila unaepishana nae Mawazo unafoka. Ila sio mbaya ni kawaida kwenye michezo
 
Hakuna ubunifu wowote, ujinga na utaahira tu, wagekuwa wabunifu wangetafuta maneno yanayo-deliver the same message lakini ambayo hayajatumiwa na nchi au mtu yoyote. Poor simba
Ebu taja hata neno moja ambalo halijawahi kutumiwa na nchi nyingine au na mtu yoyote? Hivi ukiwa utopolo ndio unakuwa na mawazo kama haya! Yaani
" wangetafuta maneno yanayo-deliver the same message lakini ambayo hayajatumiwa na nchi au mtu yoyote" hapo ndio nimechoka kabisa.
 
Hakuna mkongo ataekuja kufanya utalii bongo tusidanganyane.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…