"Visit Tanzania" ya Simba SC ni nzuri lakini...

"Visit Tanzania" ya Simba SC ni nzuri lakini...

Hakuna ubunifu wowote, ujinga na utaahira tu, wagekuwa wabunifu wangetafuta maneno yanayo-deliver the same message lakini ambayo hayajatumiwa na nchi au mtu yoyote. Poor simba
Umeona sasa tunavyosema nyie mashabiki wa Utopolo ni manyani, ubunifu unaozungumziwa sio neno visit Tanzania, ili ule ubunifu wa kutafuta mdhamini wa kukaa kwenye kifua cha jezi badala ya jezi kua plain.
 
Sisi mashabiki tunahitaji burudani safi uwanjani na ushindi..hatujali kama visit Tanzania wamelipa au la timu inamilikiwa na Mo au diamond si tunataka ushindi tu
Inaonesha uelewa wako wa mambo upo chini Sana. Uelewa wa mpira na biashara.
 
Kwani simba wamesema huo mkataba ni bure tu simba itaitangaza Tanzania bila kulipwa chochote?

Shida tunabeba maneno ya kwenye vijiwe. Pili hoja zako za mwisho kuhusu nani wa kuhandle mikataba nahisi ujasoma vzr katiba ya simba, ungesoma usingeandika ulichoandika
Wamesema kuwa Simba wamejitolea bure Ndio maana na Mimi nikasema kwa kuwa Ni bure basi serikali ingelipa fadhila kea kuwapa uwanja wa taifa bure.
 
Hujui lolote kuhusu mfumo wa hisa unavyofanya kazi, 51% ya wanachama ni kikundi cha watu wengi, mfumo wa hisa ni mtu sio watu mwenye hisa nyingi ndio anakua mwenyekiti wa bodi. Unaspeculate eti Barbara kapewa ruhusa na nani? Hivi mo au mwenyekiti wa Simba? Swali hili linaonyesha namna gani hujui mfumo wa uendeshwaji wa klabu.

Hao wote hawana mamlaka ya kutoa maamuzi yoyote, chombo chenye mamlaka hayo ni bodi ya wagurugenzi. Unaonyesha huoni faida ya kiuchumi Simba kuvaa Jezi hizo, Kwa kutumia jezi hizo Simba itakuza zaidi brand yake, mauzo ya jezi kutokana na logo ya visit Tanzania, na pia itatangaza utalii wa nchi yake, Simba ni ya Tanzania na wala si Burundi. Manufaa ya nchi yanatija kwa Simba pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana huu mfumo una Mashaka, huwezi kuwa na hisa 49% unafanya maamuzi ya klabu. Wenye hisa 51 ambaye ni mwenyekiti wa Simba sc ya wanachama ndiye anapaswa kuwa na nguvu kubwa kuliko wenye hisa chache ambayo ni Mo group. Japo wanapaswa kufanya majukumu kwa pamoja.
 
Neno tu visit Tanzania hiyo jezi itanunuliwa na ambao si wanasimba pia ,imekaa kizalendo

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kaka sijasema kuwa idea ni mbaya hapana, Lengo ni je, Simba inapata faida gani kutangaza nchi bure? Jibu ni UZALENDO. Kama sisi tunakuwa wazalendo basi hata serikali na TFF wapunguze Makati yasiyo na msingi kwa timu.
 
Wewe uliskia wapi au ulikuwepo wakati wanasaini mkataba wakasema ni bure? Sasa kama ni bure wamesaini mkataba wa nini acha choko choko bwana wewe andaa yenu visit kidimbwi.
Tatizo ni moja tu kuwa huna akili.
 
Simba kupitia hili swala wanatengeneza faida kupitia mauzo ya jezi...pamoja na kujitengenezea channel ya dili zingine
Unadhani bila nemo Visit Tanzania jezi za Simba zisingeuzwa ? Kujitengenezea mazingira ya dili zingine hapo nakubali.
 
Hakuna ubunifu wowote, ujinga na utaahira tu, wagekuwa wabunifu wangetafuta maneno yanayo-deliver the same message lakini ambayo hayajatumiwa na nchi au mtu yoyote. Poor simba
Kwa Nini serikali haikuona haja ya kubadili maneno. Nakubali kuwa maneno hayo hayana mvuto kabisa.
 
Biashara acha wafanye wao sisi haituhusu kabisa na hatutaki kujua biashara ikoje,,, sisi tunataka ushindi na pila biriani
Narudia tena angalia biashara inavyoenda mpira ni biashara. Mpira ni uwekezaji, halafu Kama hujui ni kuwa mpira ni menejimenti, ukiwa na uongozi mbovu timu haitosurvive. Kule England Kuna timu za sunderland, Notingham forest na posmouth, hizi timu zinaelekea kufa kwa sababu ya uongozi mbaya.
Ikumbuke Ac Milan na Inter namna walivyoyumba kiuchumi baada ya mabosi kuondoka. Mo hatakaa Simba milele. Simba unahitaji kuwa na vyanzo vya mapato nje na mwekezaji.
 
Narudia tena angalia biashara inavyoenda mpira ni biashara. Mpira ni uwekezaji, halafu Kama hujui ni kuwa mpira ni menejimenti, ukiwa na uongozi mbovu timu haitosurvive. Kule England Kuna timu za sunderland, Notingham forest na posmouth, hizi timu zinaelekea kufa kwa sababu ya uongozi mbaya.
Ikumbuke Ac Milan na Inter namna walivyoyumba kiuchumi baada ya mabosi kuondoka. Mo hatakaa Simba milele. Simba unahitaji kuwa na vyanzo vya mapato nje na mwekezaji.
Bado haijalishi sisi mashabiki tunataka furaha uwanjani hayo mambo ya mpira biashara wafanye hao wawekezaji na biashara zao, faida zao sisi hazituhusu ,sisi faida yetu ni furaha ya ushindi uwanjani.

Kule England Arsenal kila mwaka wanaingiza faida wale mainvestor ila mashabiki hawana furaha kila siku wanalalamika,

Hapa bongo hii simba apewe hata mchina aifanye yake ila sisi tunataka ushindi tu uwanjani. faida zako hazituhusu sisi furaha yetu ni muhimu
#Mpira Furaha
 
Narudia tena angalia biashara inavyoenda mpira ni biashara. Mpira ni uwekezaji, halafu Kama hujui ni kuwa mpira ni menejimenti, ukiwa na uongozi mbovu timu haitosurvive. Kule England Kuna timu za sunderland, Notingham forest na posmouth, hizi timu zinaelekea kufa kwa sababu ya uongozi mbaya.
Ikumbuke Ac Milan na Inter namna walivyoyumba kiuchumi baada ya mabosi kuondoka. Mo hatakaa Simba milele. Simba unahitaji kuwa na vyanzo vya mapato nje na mwekezaji.
Kidimbwi unateseka ukiwa wapi?
 
Ni suala la uzalendo na zuri kutangaza nchi ya Tanzania nje ya Tanzania. Timu ya Simba inapaswa kupewa heko kwa Hilo.

Simba itapata kutembelea nchi za Sudan, Misri na Kongo. Nchi hizi za kiafrika Zina ukaribu mkubwa na Tanzania isipokuwa Sudan. Hivyo wasudan watakumbuka kuwa Kuna nchi inaitwa Tanzania.

Jambo linalonitatiza ni kuingiza dili hilo bure kabisa. Hii sio nzuri, Simba ilipaswa kupata chochote. Angalau kingesaidia kuwapa motisha wachezaji Kama hela isingetumiwa na Simba SC. Kama ni uzalendo basi wangepunguza walau hata mil 200.ili iwasaidie hata kwa kulipia hotel.

Kwa sababu klabu ya Simba ni mali ya Mo Dewji Ndio maana sio ajabu wanafanya haya. Ni kama Man City ya Sheikh Mansoor
Sidhani kama Man City kuingiza dili na Etihad inamaana Mansoor sio mzalendo Bali Ile ni biashara.Tunaposema mpira ni biashara,hii ilikuwa fursa ya kupata kuingiza mapato.

Mwenyekiti wa Simba ajaye anapaswa asiwe mtu wa kuburuzwa. Anapaswa awe ndiye msimamizi wa madili kama haya Ili Simba ya wanachama iwe na chochote.Yamkini Mo akawa Hana shida na hela hizo, ila Simba ya wanachama ambayo inasemekana Ina hisa 51% ambayo kwa Hakika ni asilimia hewa. Hizi Ndio pesa ambazo Simba ilipaswa kuwa nazo.

Leo Barbra ameingia huo mkataba kwa BARAKA za kaimu mwenyekiti au kwa BARAKA za Mwenyekiti wa Bodi? Narudia tena hili dili Halina maslahi kwa Simba. Ilipaswa mwenye hisa 51% Ndio awe na sauti. Sasa swali ni kuwa Barbra yuko kwa maslahi ya Simba ya Mo au Simba SC?

Sijaandika kwa nia mbaya au kuwa Simba wamekosea Ila nahisi serikali ilipaswa ichangie.simba inatumia uwanja wa taifa mechi moja ni Mil.4 na unatoa kabla ya mechi.Basi Simba nao wangepewa kutumia uwanja huu bure kwa mechi za nyumbani za CAF champions ligi Kama fadhila.

Kuchangiwa kwa hoja karibu
Uzalendo kwamba hawalipwi chochote?
 
Uzalendo kwamba hawalipwi chochote?
Ndio ndivyo nilivyosikia. Wamejitolea kizalendo.
Lakini leo Simba atatoa Mil4 mechi na Azam kea ajili ya uwanja wa taifa lakini wao hata kununua vifaa vya chuoni na kurekebisha masink hawawezi. Uwanja gani Umeme wa Mawazo? Ivi Treni Ya Umeme tutaweza kweli Kama taa600 za uwanja wa taifa zinatushinda kucontrol? Taa tu?
 
Back
Top Bottom