Raphael Thedomiri
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 442
- 729
Habari zenu wakuu!
Nimeanzisha majadiliano haya ili kutoa fursa kwa wataalamu wa historia na wafuatiliaji wa historia mbalimbali kutushushia nondo za maarifa kuhusiana na historia ya China katika nyanja za vita.
Karibuni sana tuelimike wote!
Nimeanzisha majadiliano haya ili kutoa fursa kwa wataalamu wa historia na wafuatiliaji wa historia mbalimbali kutushushia nondo za maarifa kuhusiana na historia ya China katika nyanja za vita.
Karibuni sana tuelimike wote!