#COVID19 Vita dhidi ya Corona: Rais Kagame atoa mfano kwa raia wake

Huo ndiyo mtihani mgumu kuufanya. Kuna nchi nasikia watu wamekufa mwa kuganda damu. Lakini UNICEF hawajathibitisha hilo. Nani aseme ukweli?
Maisha ni ya mtu binafsi kuishi,kuna watu Duniani leo hii wanatamani kushikiria uhai wa wengine kwa tamaa na maslahi binafsi.

Hongera zake PK, lakini akumbuke kuwa uhai wa wananchi wake kama ikitokea lolote ni muhimu kujibu.
 
THIS IS LEADERSHIP! KIONGOZI UNATAKIWA KUONESHA NJIA NA SIO KUWAPOTEZA WANANCHI WAKO. VIVA KAGAME.
 
Mnayumba yumba sana,Kagame uyu uyu leo mnamwita kiongozi wa kujivunia ukifika uchaguzi mnamwita Rais wa hovyo.
 
Sisi tupo tutawaimbia mpeleke mpeleeke
Mkuu tumezaliwa ili tuishi, tuzaliane na mwisho ni kifo.

Kifo kipo tu regarding unakufaje all in all we must die,lakini ni muhimu kujichunga kufa kizembe.
 

Imeandikwa :Watu wangu wanaangamia kwa kukosa

Dunia ya Mungu na Mzungu aisee! We nani kupinga?waendesha bodaboda,wafanyakazi kwenye Mahotel hadi waendesha baiskeli wamepatiwa chanjo.ongela sana Mzee 👍the visionary leader!
 

Attachments

  • ewm_e6-xaaab0q6-a1a9a.jpg
    61.7 KB · Views: 1
  • ku_manywa_yo_kuri_uyu_wa_kane_nibwo_perezida_kagame_yakingiwe-0a6d7.jpg
    45.2 KB · Views: 1
  • perezida_kagame_aganira_n_umuganga_mbere_yo_gukingirwa-986c3.jpg
    45.3 KB · Views: 1
  • IMG-20210311-WA0001.jpg
    107.7 KB · Views: 1
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…