#COVID19 Vita dhidi ya Corona: Rais Kagame atoa mfano kwa raia wake

#COVID19 Vita dhidi ya Corona: Rais Kagame atoa mfano kwa raia wake

Imeandikwa: Watu wangu wanaangamia kwa kukosa.
Dunia ya Mungu na Mzungu aisee! We nani kupinga? Waendesha bodaboda,wafanyakazi kwenye Mahotel hadi waendesha baiskeli wamepatiwa chanjo.ongela sana Mzee [emoji106]the visionary leader!
Kuna watu wananuna wakiona hizi picha
 
Kwahiyo kwasababu hao AstraZeneca imeleta madhara basi tukae tusitafute mbadala wa kinga tujikoe .kweli viazi mmejaa tele nchi hii.
MATAGA woote ni zaidi ya vilaza.
 
Kajinyonge kisa tumemsifia Kagame
Msifieni sana tu na sifa zenu za kinafki, ila akiwakalisha wapinzani wake mnambadilikaga nyinyi.

Amna pa kushika, siasa zenu za matukio ndo mnahisi mnajijenga kumbe wapiiiiiiiii.
 
Mataputapu wetu anapigania maisha yake saa hizi. Huwezi kupingana na sayansi ukawa salama,never!
 
Msifieni sana tu na sifa zenu za kinafki
,ila akiwakalisha wapinzani wake mnambadilikaga nyinyi.
Amna pa kushika,siasa zenu za matukio ndo mnahisi mnajijenga kumbe wapiiiiiiiii.
Corona inawamaliza kila kukicha
 
Rais wa Rwanda, Paul Kagame na mkewe wamepata chanjo ya #CoronaVirus

Rwanda ilipokea dozi milioni za Astrazeneca mwishoni mwa mwezi Februari

Aidha Paul Kagame aliwahi kutahadharisha Afrika kuwa kuchelewa kupata chanjo ya korona kutahatarisha bara
1615485974352.png
 
Kagame Yeye alitakiwa kuwa mtu wa mwisho kuchanjwa.Sio vizuri majaribio ya chanjo kuanza kwa viongozi wakubwa au watumishi wa afya .Wao wanatakiwa kuwa mwishoni sababu ikiwa vibaya nchi itaumia sana.It is good to wait


Kagame na familia yake hawajajitendea haki
 
Yeye alitakiwa kuwa mtu wa mwisho kuchanjwa.Sio vizuri majaribio ya chanjo kuanza kwa viongozi wakubwa au watumishi wa afya .Wao wanatakiwa kuwa mwishoni sababu ikiwa vibaya nchi itaumia sana.It is good to wait


Kagame na familia yake hawajajitendea haki
Sio wajinga as you think!!
 

Attachments

  • 20210311_210141.png
    20210311_210141.png
    271.3 KB · Views: 2
Sio wajinga as you think!!
Mimi siwezi kubali Raisi wangu ageuzwe test tube ya dawa ya chanjo ya Corona kwenye early stage asubiri awe wa mwisho huko

Hata wafanyakazi wa sekta ya afya hawatakiwi kuanza kwanza wasubiri waone waliowachanja kwanza
 
Yeye alitakiwa kuwa mtu wa mwisho kuchanjwa.Sio vizuri majaribio ya chanjo kuanza kwa viongozi wakubwa au watumishi wa afya .Wao wanatakiwa kuwa mwishoni sababu ikiwa vibaya nchi itaumia sana.It is good to wait


Kagame na familia yake hawajajitendea haki
Pumbaf hata unachokiongea ni upuuzi mtupu
 
Mimi siwezi kubali Raisi wangu ageuzwe test tube ya dawa ya chanjo ya Corona kwenye early stage adubiri awe wa mwisho huko

Hata wafanyakazi wa sekta ya afya hawatakiwi kuanza kwanza wasubiri waone waliowachanja kwanza
Wazazi wako walipata hasara sana
 
Mimi siwezi kubali Raisi wangu ageuzwe test tube ya dawa ya chanjo ya Corona kwenye early stage adubiri awe wa mwisho huko

Hata wafanyakazi wa sekta ya afya hawatakiwi kuanza kwanza wasubiri waone waliowachanja kwanza
Kwahiyo Muhimbili dawa zote utatupa? Au hospitali zote zifungwe maana dawa wametengeneza mabeberu!
 
Kuna utaratibu wa chanjo kama hizo ulizonazo mwilini. Wtanzania wote waliozaliwa kuanzia miaka ya 70's wana chanjo
Jibu zuri sana kwa hao mafarisayo
 
Na
Mimi siwezi kubali Raisi wangu ageuzwe test tube ya dawa ya chanjo ya Corona kwenye early stage asubiri awe wa mwisho huko

Hata wafanyakazi wa sekta ya afya hawatakiwi kuanza kwanza wasubiri waone waliowachanja kwanza
Na ungejua aliekuletea kumjua mungu ndie anaekuletea chanjo! So kataa chanjo ufe kijinga.
 
Na

Na ungejua aliekuletea kumjua mungu ndie anaekuletea chanjo! So kataa chanjo ufe kijinga.
Ukristo haukuanzia ulaya ulianzia Africa Mungu aliongea na Musa akiwa Afrika kuke ndio akahamia tu na diniWazungu hawajui dini

Yesu alipozaliwa kwao wazungu walitaka kumuua akakimbila Africa kwa tunaojua dini akaishi salama aliporudi kwao wazungu askari wa kirumi wakamuua .Angejibakia Afrika tu
 
Back
Top Bottom