Kuna watu wananuna wakiona hizi pichaImeandikwa: Watu wangu wanaangamia kwa kukosa.
Dunia ya Mungu na Mzungu aisee! We nani kupinga? Waendesha bodaboda,wafanyakazi kwenye Mahotel hadi waendesha baiskeli wamepatiwa chanjo.ongela sana Mzee [emoji106]the visionary leader!
Msifieni sana tu na sifa zenu za kinafki, ila akiwakalisha wapinzani wake mnambadilikaga nyinyi.Kajinyonge kisa tumemsifia Kagame
Sawa.Corona inawamaliza kila kukicha
Sio wajinga as you think!!Yeye alitakiwa kuwa mtu wa mwisho kuchanjwa.Sio vizuri majaribio ya chanjo kuanza kwa viongozi wakubwa au watumishi wa afya .Wao wanatakiwa kuwa mwishoni sababu ikiwa vibaya nchi itaumia sana.It is good to wait
Kagame na familia yake hawajajitendea haki
Mimi siwezi kubali Raisi wangu ageuzwe test tube ya dawa ya chanjo ya Corona kwenye early stage asubiri awe wa mwisho hukoSio wajinga as you think!!
Pumbaf hata unachokiongea ni upuuzi mtupuYeye alitakiwa kuwa mtu wa mwisho kuchanjwa.Sio vizuri majaribio ya chanjo kuanza kwa viongozi wakubwa au watumishi wa afya .Wao wanatakiwa kuwa mwishoni sababu ikiwa vibaya nchi itaumia sana.It is good to wait
Kagame na familia yake hawajajitendea haki
Wazazi wako walipata hasara sanaMimi siwezi kubali Raisi wangu ageuzwe test tube ya dawa ya chanjo ya Corona kwenye early stage adubiri awe wa mwisho huko
Hata wafanyakazi wa sekta ya afya hawatakiwi kuanza kwanza wasubiri waone waliowachanja kwanza
🤣🤣Wazazi wako walipata hasara sana
Kuna utaratibu wa chanjo kama hizo ulizonazo mwilini. Wtanzania wote waliozaliwa kuanzia miaka ya 70's wana chanjoNi nani mwenye uhakika kama hiyo chanjo ni ya ukweli?
Kwahiyo Muhimbili dawa zote utatupa? Au hospitali zote zifungwe maana dawa wametengeneza mabeberu!Mimi siwezi kubali Raisi wangu ageuzwe test tube ya dawa ya chanjo ya Corona kwenye early stage adubiri awe wa mwisho huko
Hata wafanyakazi wa sekta ya afya hawatakiwi kuanza kwanza wasubiri waone waliowachanja kwanza
Na ungejua aliekuletea kumjua mungu ndie anaekuletea chanjo! So kataa chanjo ufe kijinga.Mimi siwezi kubali Raisi wangu ageuzwe test tube ya dawa ya chanjo ya Corona kwenye early stage asubiri awe wa mwisho huko
Hata wafanyakazi wa sekta ya afya hawatakiwi kuanza kwanza wasubiri waone waliowachanja kwanza
Ukristo haukuanzia ulaya ulianzia Africa Mungu aliongea na Musa akiwa Afrika kuke ndio akahamia tu na diniWazungu hawajui diniNa
Na ungejua aliekuletea kumjua mungu ndie anaekuletea chanjo! So kataa chanjo ufe kijinga.