Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmmmhhhmmm hii kaliGwajima haahaahaaa., Yusuph Manji, Husein pamaba kali, sea cliff, dah! hakuna ataepona.
Yule mama mna msingizia bure tu au kwa sababu ni mjane!??Mmiliki wa slip way anahitajika
Acha kulialiaI wouldn't go to the media kama kweli mimi ni kiongozi na nimeshafikishiwa majina ya watumia madawa ya kulevya. Kwenda kutaja majina kwenye media maana yake nini??? Kwani tunapambana na dawa za kulevya kupitia media? Kama ingekuwa ni hivyo basi hata lisingekuwa tatizo maana media zimeshaandika sana kuhusu tatizo hili. Thinking outside the box ni muhimu sana...
I wouldn't go to the media kama kweli mimi ni kiongozi na nimeshafikishiwa majina ya watumia madawa ya kulevya. Kwenda kutaja majina kwenye media maana yake nini??? Kwani tunapambana na dawa za kulevya kupitia media? Kama ingekuwa ni hivyo basi hata lisingekuwa tatizo maana media zimeshaandika sana kuhusu tatizo hili. Thinking outside the box ni muhimu sana...
Seriously[emoji24] [emoji56]hili ni ombi kwa raisi wangu wa nchi ya Tanzania,ajaribu kuteua kwa mara nyingi waziri wa mambo ya ndani awe Mh.Paul Makonda,hii tunaona kwa jitihada zake katika kupambana na kufuatilia sakata la madawa ya kulevya,hii itapelekea atafanya ata usala wa raia katika mitaa kuwa mzuri
Kama unawajua wataje.Aaaah wapi mbona wengine anawaogopa kuwataja
Mwenyewe anajijua.Hivi huyo Mmiliki wa sea cliff ni nani??
I wouldn't go to the media kama kweli mimi ni kiongozi na nimeshafikishiwa majina ya watumia madawa ya kulevya. Kwenda kutaja majina kwenye media maana yake nini??? Kwani tunapambana na dawa za kulevya kupitia media? Kama ingekuwa ni hivyo basi hata lisingekuwa tatizo maana media zimeshaandika sana kuhusu tatizo hili. Thinking outside the box ni muhimu sana...