Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

yako wapi nimetoka kuongea hata masaa mengi hayajapita wametajwa Wazee wa upinzani hahahahahahah wapi Mbowe, mzee wa kufufua hahahah Gwajima, muendelee sasa kusema Lumumba wanaropoka hahahahaha
le akiliz kubwazzz
 
mkuu wa mkoa wa dar paul makonda amewataja mh Mbowe, Idd azan, Gwajima na Manji katika list yake ya watu 65
 
Mhhh hiiii8i haaaaaaaa sasa na mm naaanza kupambambana na wauza karanga tu
 
ehe! kataja wengi au ni huyo tu? hebu tupeni yanayoendelea maana mie hapa sina redio wala tivii
 
Naona baada ya kukosa kila mahali wameona bora wambambikie kesi ya madawa

Kupitia Clouds TV Makonda anamtaja Mbowe kuwa anahusika na madawa ya kulevya. Jee haya ni mapambano ya madawa ya kulevya au kuna hidden agenda?
N
 
Wametajwa wapi tafadhali. Hakuna video wala picha. Na hii habari umeiandika huku alshabab wanakufuata nyuma? Weka maelezo ya kina hapa ni Tz hatupo Somalia
 
I wouldn't go to the media kama kweli mimi ni kiongozi na nimeshafikishiwa majina ya watumia madawa ya kulevya. Kwenda kutaja majina kwenye media maana yake nini??? Kwani tunapambana na dawa za kulevya kupitia media? Kama ingekuwa ni hivyo basi hata lisingekuwa tatizo maana media zimeshaandika sana kuhusu tatizo hili. Thinking outside the box ni muhimu sana...
Anashukuru leo kuwekwa front page ya gazeti.
 
Back
Top Bottom