Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

Mheshimiwa Aikaeli Mbowe (MB) Nimesikia akitajwa kuhusu dawa za kulevya......anatakiwa na makonda Ijumaa........hii sasa kali.
 
Acha kulialia
 

Tunajua mmeshikwa pabaya
Hii ndio kazi yenu
Sasa Makonda hafanyi kumfurahisha mwanadamu kamwe
 
Waliotajwa wengine ni;

Mbowe, Gwajima, yusuph manji, hussein pamba kali, idd azan, Machapta
 
Seriously[emoji24] [emoji56]
 
Kawataja wengi akiwemu aliekua mbunge wa kinondoni, gwajima, hussein pamba, mbowe na wengine wengi.
 

kaishataja, hao wahusika wakamshtaki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…