Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

Acha upuuzi wewe
 
Haya yalishapangwa ndio maana walianza kumkamata kwanza tundu lisu ili leo wamtaje mbowe wanapanga kuua upinzani kupitia makonda
Upinzani hauwezi kufa kwa njia ya kubambikizia wapinzani kesi, upinzani utakufa kwa serikali ku deliver walichoahidi.

Wamemtafuta sana Mbowe kwa kila angle wakashindwa sasa wanataka waje na mbinu hii ambayo inahitaji ushahidi usio na shaka.
 
Weka pembeni hayo. Kama una ajenda binafsi na makonda kaa pembeni. Hii vita hatutaki uvccm na u bavicha wenu.
 
Acha season iendelee Mhe Mako Mungu atakukutangulia
 
Lakini pia ulimsikia alipo sema wanataarifa
Wao siyo wajinga.
Tatizo watu wanaingiza siasa na umimi ndani ya mapambano
Ubaguzi wa nani atajwe nani asitajwe!!
Akiwa mpinzani marufuku kutajwa!!
Haiwezekani
Makonda sawa na magufuli hawajuwi propaganda they are too transparent baada ya kuulizwa achunguzwe makonda kwa kupokea rushwa na kuweka vimada wauzaji wa madawa na kuwahifadhi wahujumu uvchumi na wakwepa kodi GSM anatibua mjadala hayo anayaweza lakini soon Magufuli na yeye mwenyewe makonda wataanguka vibaya h
wanazuga wanafunzi kufeli
nchi kufirisika
serikali kupoka chuo cha udom
njaa iliyoenea nchini
kuchezea fedha za mikataba ya reli
wanatutoa kwenye mstari
 
Nimikuta Mh Makonda Akitaja baadhi ya majina ya watu wanaotakiwa Kufika Polisi Central Ijuma hii..
Baadhi ya majina...
-Mbowe
-Gwajima
-Zungu
-Yusuph Manji
Hao ni baadhi tu kati ya majina 65.
Sasa nimeelewa kwann Ndg Tundu Lisu alibakia Mwenyewe kama msemaji na mtowa matamko ya Chama...
 
Makonda atakufa kifo cha ajabu sana mdomo wazi
 
kwanini umeona Mbowe tu ndo kasingiziwa, unafiki utatubakisha hapahapa tulipo watanzania
Reasoning ya kawaida tu kweli uwatukane ccm na kupambana nao afu uuze madawa??? Najua huyo ndie alikuwa anatafutwa na round 3 watamtaja lowassa.

Kwa staili hii utahojiwa na kuachwa ila tayari wameshakuchafua jina....... ni bora angekuwa na ushahidi kabisa wakukamate na kesi unafunguliwa haya ya "KUKUTANA NAYE" afu unaachiwa ni kuchafuana tu.

Kma yuko serious angeomba list ya kitwanga aliesema walishafanyia uchunguzi then angechukua ya wakazi wa dar awakamate full stop ssa list ya kikwete na kitwanga waliosema ina majina yaliokiwsha fanyiwa uchunguzi inakuwaje wanaiaxha na ssa tunafanyia kazi list ambayo haipo verified ma chombo chochote cha ulinzi???

Hapa kuna shida sehem.....
 
Whatever is excellent kwa anachokifanya makonda na alipo fikia hata leo akisema anaishia hapo still nitampa big up sanaaaa, wapo viongozi wengi wenye mamlaka wanaoweza kushuhulikia madawa yakule sio yeye tu na wao wafanye kwamuendelezo sio kumuachia mtu mmoja nakukaa pembeni heti tumuone atakapofikia, nachoamini MUNGU akiwa upande wake hakuna hata mmoja atakae mshinda, kaza buti makonda kwa hili la madawa umeukuna moyo wangu.
 
Baadhi ya Mashabiki wa chadema mpoje, kwa wema mlishangilia tunaomba na kwa mbowe mshangilie
 
Akili yako ndio imekutuma hvyo nan alie kwambia n upinzani tu????kwa hiyo akiwa upinzan asitajwe kwakuwa yeye n upinzani ???? Acha ushabiki maandazi
 
Duterte anawakamata na anawaua na ametangaza vita hadharani kabisa
Mkuu, huyo Rodrigo duterte acha kabisa ulaya na marekani zilishtuka haki za binadamu wanapiga kelele,yeye akikutuhumu foleni unachukua Shaba mchezo unaisha, sisi hata robo ya roho ya Duterte hatuna labda tumwombe atupatie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…