usatrumpjr
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 2,237
- 2,898
Siyo mbaya awataje wote tu na kwnz km sio wakazi wa dsm yy km mkuu wa mkoa wa dsm atawapataje au yy ndo mkuu wa mikoa yote tz?bt m namwomba awataje wote tu asitaje list fupifupi en atupatie majibu ya utajiri wake wa kukaa nje ya nchi kwa mwezi na zaidi