Tusubiri tuone mkuu nini hatma yetu.Majina yapo 65 na mbowe ndani....
Think big & I smell bad thing is on d way
Ila kwa mbowe siamini kabisa
Vipi yule mwizi wa pesa ya maafa ya tetemeko ameshakamatwa?Akili yako ndio imekutuma hvyo nan alie kwambia n upinzani tu????kwa hiyo akiwa upinzan asitajwe kwakuwa yeye n upinzani ???? Acha ushabiki maandazi
Hujui alie nyuma yake??..Huyu Kijana hii sasa si kazi yake kwa kweli. Tunamsifia sana lakini yakimshinda mbele ya safari itakuwa aibu sana kwa Taifa. Wale wala Unga wa jana wakina TID ni size yake kabisa. Lakini anapoelekea ni suala la kitaifa ni kazi ya mawaziri husika na baraza la mawaziri. Ni sawa ninamuunga mkono lakini mbona protocali kwake inagoma. Nani yupo nyuma yake?. Ok Ngoja tusubiri.
NI UPUUZI WA MSUKUMA WAMWACHE KIJANA APIGE KAZI.Labda atafafanua pia ile hoja ya Jose Msukuma jana bungeni kuwa ameepataje utajiri mkubwa alionao ndani ya miaka 3 tu
Hiyo ya mahusiano yake na masogange ni personal issues,hawezi kujibu utumbo kama huo ila kama anajihusisha na biashara hiyo basi hilo ndo jambo la msingiAkazungumzie kuhusu Agness Masongange, pamoja na kumpangia nyumba. Achilia kutokukmkamata licha ya kuwa punda
Mungu hawezi kuwa kwa mumiani kama makonda anayepanda kwenye migongo ya damu za watu ili apandeWhatever is excellent kwa anachokifanya makonda na alipo fikia hata leo akisema anaishia hapo still nitampa big up sanaaaa, wapo viongozi wengi wenye mamlaka wanaoweza kushuhulikia madawa yakule sio yeye tu na wao wafanye kwamuendelezo sio kumuachia mtu mmoja nakukaa pembeni heti tumuone atakapofikia, nachoamini MUNGU akiwa upande wake hakuna hata mmoja atakae mshinda, kaza buti makonda kwa hili la madawa umeukuna moyo wangu.
Mkuu nafuta kauli yangu ya awali na nampongeza magonda atleast kawataja wale ambao nimmekuwa nikiwasikia mara nyingi kuwa ni mapapa wa sembe Mungu amjaalie katika hii vita ki ukweliHayo ni maneno yako.
Kwani waliotajwa wote ni CHADEMA?
Makonda atakufa kifo cha ajabu sana mdomo wazi
ha ha ha ni papa gani aliyetajwa kakugusa?Makonda anakurupuka na kwa hili ni lazima sasa anajuta, hakujua kuwa yupo kwenye nyumba ya vioo alivyoanza kutupa mawe, hahaaahaa, aseme mfadhili wa mambo yake sasa.
Kwani wewe unajua mambo yote ya Mbowe?Wamemtafuta mbowe kila kona sasa wameamua kumbambikizia kesi za madawa ya kulevya ili kuua upinzani,makonda anatumiwa.