Kweliieee aiseee kataja lakini bado moyo wangu haujasuuzika mpaka nikie wakina fulani kama mbwai na iwe mbwai wametuulia sana nguvu kazi ya Taifa bila kusahau viroba.Akomae, vita dhidi ya madawa ya kulevya ni kali sana.
Ndio maana hao akina MSUKUMA wamenyanyuka juu yake baada ya kuona maslahi yao yameguswa!
Wakuu Mimi kuanzia Leo siyo mwanachadema tena ni aibu kubwa sana mwenyekiti wetu kuwa na tuhuma kama hizi hata kama siyo kweli ni tuhuma kubwa kwake.
Nilivumilia ile ya kunywa Viroba Kwa sababu ni tabia binafsi ya mtu ila kwa hili la Kuuza dawa za kulevya limenichosha
Baada ya jina lake kutajwa nimedondosha simu yangu na kuvuja kioo kwa kweli imeniuma sana.
mungu wa chato sioMakonda ni chaguo la Mungu.
Kunyà anye kuku akinya bats kacbafua duh! We ulitaka atajwe nani?Lisu kukamatwa zitto hakijaeleweka mbowe kupewa tuhuma za unga sasa nimeelewa mission ya makonda alikuwa anatumika kwa malengo maalumu
Mkuu ndio maana kuna usemi ''ukimwaga ugali namwaga mboga''mimi naamini hawa wanajuana mishe mishe zao sisi acha tuendelee kuangalia hii movie.kama msukuma analipenda taifa angetakiwa kulisemea kabla ya makonda kuamka na hii operations
Alie kwambia ameiba nani??? Zimetumika kwenye miundo mbinu iliyoharibikaVipi yule mwizi wa pesa ya maafa ya tetemeko ameshakamatwa?
Yaaa wakaisaidie police hakuna mbayaWengine hapo wametajwa kwa sababu kumbi zao za starehe zilikuwa zinauza au zinauza shisha..
Hata alitaja atashindwa kujibu ,,ila mm nilivyoelewa ni kwamba hawa wanamahotel sasa wale wenzake wakina tunda wanakuwa wanaenda kufanyiaa biashara kwenye mahoteli yao sasa wakajibu na jinsi ya kuweza kudhibit biashara kwa wafanyakazi wa chini kama club za bilcanaz ,ila kwa wengne ni kweli wanafanya hizo biasharaMbunge wa hai katajwa km mtumiaji au muuzaji?!...sijaelewa vzr hapo
Ikiwa alietoa tuhuma ni chizi kama wewe tunampuuza kwanzia yeye hadi tuhuma zake'mke wa Kaisari hapaswi hata kuhusishwa....''
.....Lisu kukamatwa zitto hakijaeleweka mbowe kupewa tuhuma za unga sasa nimeelewa mission ya makonda alikuwa anatumika kwa malengo maalumu
Ndo wenye akili tulikuwa tunasubiri kuona comments kama hizi,kwani kuwa mwenyekiti wa chadema unadhani ndo usafi..!!Wamemtafuta mbowe kila kona sasa wameamua kumbambikizia kesi za madawa ya kulevya ili kuua upinzani,makonda anatumiwa.
halafu anawapoza eti kuitwa polisi haina maana umekamatwa,eti tutawaita tuwasikilize......Siyo mbaya awataje wote tu na kwnz km sio wakazi wa dsm yy km mkuu wa mkoa wa dsm atawapataje au yy ndo mkuu wa mikoa yote tz?bt m namwomba awataje wote tu asitaje list fupifupi en atupatie majibu ya utajiri wake wa kukaa nje ya nchi kwa mwezi na zaidi
Utakuwa mmoja wa wauza ngada, nyie ndio mnaharibu vijana wa taifa letu.Hii vita Uchwara itamshinda vibaya sanna..
Muda utasema