Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 13,336
- 12,370
Bado awamu ngapi kuwataja hii ya pili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha okay Kwa Sasa tu deal na hili LA madawa kwanza Bila kujali itikadi zetu tunaweza kulimalizaManeno mengi kwa taarifa zisizo sahihi. Waliotajwa asilimia kubwa ni wa chama dola. Mungu mkubwa katuonesha uchafu wote ikiwemo ufisadi ni CCMScrow.
Nawe unajiita "greatthinker" hujui hata kuweka space ya hilo neno ulolitamka (great thinker) kama hujui nilichomaanisha ungepita kimya sasa kujifanya mjuaji unadandia gari ukiwa tumbo waziNdo maan nikasema hukutakiwa kuwa hapa soma tena ulichokiandika na jipime kama wew ni greatthinker
mi bado sielewi..kumtaja mtu bila ushahidi ni a waste of time. kwanza utamfanya awe makini zaidi ili usimkamate..next kama unajua anafanya hiyo biashara kwa nini usimtegee mtego ukamkamata na ushahidi umtie jela..somthing is hangingi thereHII MOVIE ISIJE IKATUMIKA KUWACHAFUA BAADHI YA WATU KWA MALENGO FLANI.
NAPENDEKEZA; KAMA WALIVYOTANGAZWA.
UCHUNGUZI UKUKAMILIKA WATULEJESHEE MLEJESHO ILI TUJUE WALIOSINGIZIWA NA WA KWELI
huu ushauri unaotoa nawe pia uufate, ni muda tu ndio mwalimu usipende sana kujudge vitu unavyoviona, hata wewe kifo chako huwezi kitabiri ila cha mwingine umeshakijuausipende ku judge sana unavyoviona kwa macho hautanielewa ila muda ndo mwalimu
watu kama nyie siku zenu zinahesabikaTunajua mmeshikwa pabaya
Hii ndio kazi yenu
Sasa Makonda hafanyi kumfurahisha mwanadamu kamwe
Niko Low now na Black Tar ChivaUko soba ama nene....umechoka mwenyewe na utatajwa tu
Hawezi kuwemo humu au umesahau makonda alivyofunga kamba za viatu na kupewa zawadi ya ukuu wa Wilaya?Riz two hayipo???? Dah makubwa
ni kweli kabisa kuna mambo mengine hata ukiyaangalia tu utaona ni ya kweli tu.Kuna baadhi vyama mpaka leo havieleweki vinasimamia maslahi ya nani, kuna wawakilishi wao walikuwa wanapiga sana kelele juu ya madawa ya kulevya leo mtu anasimamia wao wanakuja juu kutetea hao wahusika kila siku mapovu yanawatoka juu ya mapapa wa madawa hamjui kuwa viongozi wenu pia ni wahusika wakuu wa madawa nani asiye urafiki wa Lowassa na Rostam, rostam na familia yake ni mmoja wa wahusika wakuu.
Je nani hajui kuhusu GWAJIMA ambaye ndiye alkua mlez wa CHADEMA nani hajui juu ya haya.
Naona humu tunashabikia tunapiga kelele juu ya kitu ambacho hatukijui, msifuate upepo nyie bendera.
Kuna baadhi vyama mpaka leo havieleweki vinasimamia maslahi ya nani, kuna wawakilishi wao walikuwa wanapiga sana kelele juu ya madawa ya kulevya leo mtu anasimamia wao wanakuja juu kutetea hao wahusika kila siku mapovu yanawatoka juu ya mapapa wa madawa hamjui kuwa viongozi wenu pia ni wahusika wakuu wa madawa nani asiye urafiki wa Lowassa na Rostam, rostam na familia yake ni mmoja wa wahusika wakuu.
Je nani hajui kuhusu GWAJIMA ambaye ndiye alkua mlez wa CHADEMA nani hajui juu ya haya.
Naona humu tunashabikia tunapiga kelele juu ya kitu ambacho hatukijui, msifuate upepo nyie bendera.
Hawezi kuwemo humu au umesahau makonda alivyofunga kamba za viatu na kupewa zawadi ya ukuu wa Wilaya?
Wameguna maana Makonda kamtaja mbunge wa hai wakati aliendikwa sio mbunge ni muuza madawa (tuhuma hizo bado hukumu).Yote sawa lakini kwa Mbowe wengi wameguna
Kwani lazima awe freeman mbowe?Mbona Naona Ameandika Philimon Mbowe ...
Wa Chadema Najua Anitwa Freeman Mbowe..
Makonda ni kijana wa vuijiweni, hana ushahidi hata tone zaidi ya kutafuta misifaBoss wake juzi amemsifia tena amemtaka atembee KIFUA MBELE, hiyo Idara itamdhibiti vipi unadhani??
Tells all. GADO yuko smart sana