Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

Maneno mengi kwa taarifa zisizo sahihi. Waliotajwa asilimia kubwa ni wa chama dola. Mungu mkubwa katuonesha uchafu wote ikiwemo ufisadi ni CCMScrow.
Hahaha okay Kwa Sasa tu deal na hili LA madawa kwanza Bila kujali itikadi zetu tunaweza kulimaliza
 
Ndo maan nikasema hukutakiwa kuwa hapa soma tena ulichokiandika na jipime kama wew ni greatthinker
Nawe unajiita "greatthinker" hujui hata kuweka space ya hilo neno ulolitamka (great thinker) kama hujui nilichomaanisha ungepita kimya sasa kujifanya mjuaji unadandia gari ukiwa tumbo wazi
 
hapa
HII MOVIE ISIJE IKATUMIKA KUWACHAFUA BAADHI YA WATU KWA MALENGO FLANI.
NAPENDEKEZA; KAMA WALIVYOTANGAZWA.
UCHUNGUZI UKUKAMILIKA WATULEJESHEE MLEJESHO ILI TUJUE WALIOSINGIZIWA NA WA KWELI
mi bado sielewi..kumtaja mtu bila ushahidi ni a waste of time. kwanza utamfanya awe makini zaidi ili usimkamate..next kama unajua anafanya hiyo biashara kwa nini usimtegee mtego ukamkamata na ushahidi umtie jela..somthing is hangingi there
 
usipende ku judge sana unavyoviona kwa macho hautanielewa ila muda ndo mwalimu
huu ushauri unaotoa nawe pia uufate, ni muda tu ndio mwalimu usipende sana kujudge vitu unavyoviona, hata wewe kifo chako huwezi kitabiri ila cha mwingine umeshakijua
binadamu msijipe majukumu ya Mungu
 
ni kweli kabisa kuna mambo mengine hata ukiyaangalia tu utaona ni ya kweli tu.

N kweli kabisa broo watu wanashabikia watu mambo yasiyokuwa na msing kwa kufuata bendera tu. Haya mambo yanatuchafua sana ss watanzania now ni muda wa kuwa POSITIVITY kwa hili jambo. Tumuunge mkono kwa hili Mh. MAKONDE kwa namna yeyote tu. watu waache kuingilia mambo bila hata kuelewa inakuwaje
 
Yote sawa lakini kwa Mbowe wengi wameguna
Wameguna maana Makonda kamtaja mbunge wa hai wakati aliendikwa sio mbunge ni muuza madawa (tuhuma hizo bado hukumu).

Sasa Makonda ana kazi kuja kubadili kauli au aamue kukomaa jina limekosewa. Ndo uzuri wa mitandao ya kijamii.

Ingekua si mitandao kesho hiyo list ingesoma Freeman badala ya Philemon.

Makinda hii vita si saizi yake.
 
"When you keep on fighting, after you lost your strength;That's a sign of victory"- R.Kelly
 
M
Boss wake juzi amemsifia tena amemtaka atembee KIFUA MBELE, hiyo Idara itamdhibiti vipi unadhani??
Makonda ni kijana wa vuijiweni, hana ushahidi hata tone zaidi ya kutafuta misifa
Angetakiwa ajibu tuhuma za Jana bungeni kwanza na katika list hiyo ameshindwaje kuwataja watoto wawili wa marais wastaafu?
 
Watu wanasema yumo Freeman mbowe
Wakati kwenye ile list hilo jina hakuna bali kuna jina kama Philemon mbowe sasa sielewi huyu jamaa kakurupuka au.
 
Huyo Ruge boss wa clouz media pia anatuhuma za kujibu juu ya hili swala la madawa ya kulevya yeye ndio chanzo kikuu cha uteja, vifo na kupotea kwa wasanii wengi wa hapa nyumbani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…