Mkuu nimesikia clip ya Makonda akimtaja Mbunge wa Hai. Pia Katibu Mkuu CHADEMA kulaani kudhalilishwa kwa Mbowe kama kiongozi wa kitaifa.yule ni philemon mbowe, isome list vizuri na sio freeman aikael mbowe au anatumia jina lingine la philemon mbowe
hongera sana Mh Makonda kwa kujaribu na kutaja wachache wanaosadikika kuuza au kuingiza madawa ya kulevya..mi nachoomba tu sheria zifuatwe kama kuna vithibitisho vitolewe ili wapate fair judgement. madawa yanaharibu sana Watanzania wa ndani na walio nje ya nchi..wafungwa wengi(Watanzania) walio nje ya tanzania ni kesi za madawa...vijana wengi sana wapo katika mambo ya madawa...
Kumekucha!!Ni siku nyingine tena,Mkuu wa Mkoa na Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa mkoa wa Dsm,ndugu Paul Makonda ataongea leo na waandishi wa habari kuhusu muendelezo wa vita ya madawa ya kulevya ktk jiji la Dsm.
Mkuu wa Mkoa atakuwa mubashara Azam Tv mara ifikapo saa 05:00 asubuhi leo hii.
Tetesi ni kuwa,mkutano huo unaweza kuwa ni kujibu tuhuma za kuwa anawakabili "dagaa" na wakati "mapapa" wa biashara hiyo wapo.Na majibu ya mkuu wa mkoa yatakuwa ni kuwataja hao mapapa na kuelezea hatua zitakazochukuliwa...
Tega usikie....(Stay Tuned)
=======
UPDATE:
=======
ORODHA KAMILI:
View attachment 468414
View attachment 468415
View attachment 468416
View attachment 468420
Ameanza kwa Kumshukuru Rais wa Jamuhuri.
Paul Makonda asema anataka wauzaji wa dawa za kulevya wajulikane hadharani na hakuna sababu ya kuficha.
Paul Makonda asema vita vya dawa za kulevya vilianza muda mrefu kwa kufutilia hali ilivyo mitaani.
'Kuna watu nilitaka nikutane nao polisi, kuna tofauti kati ya kukamatwa na kuitwa, unapoitwa unapewa nafasi ya kusikilizwa'-RC Makonda
'Kampeni hii dawa ya dawa za kulevya si ya kufanyika kimyakimya tunataka hata watoto wadogo wajue dawa hizi ni hatari kwa afya'-RC Makonda
'Asante kwa watu kama TID, nawapongeza kwa kukiri na kusema kuwa wanatambua namna walivyoingia na kuomba serikali kuwasaidia'-RC Makonda
'Tumemaliza awamu ya kwanza vita ya dawa za kulevya, sasa hii ni awamu ya pili ambayo itakuwa si nyepesi itakuwa na mawimbi mengi-Makonda
'Awamu ya 2 ya vita ya dawa za kulevya tunaianza leo na tunaianza tukiwa tumekamilika, nimekuwa kwenye operesheni usiku na mchana- Makonda
'Watu wanafanya biashara za dawa za kulevya na meli zinazokuja na mafuta'-RC Makonda
'Kuna mama kazi yake ni kusafirisha watoto wa kike ambao wanapewa dawa za kulevya, wawili wako jela China na amewatelekeza'-RC Makonda
'Tukiendelea kuvutanavutana tutapoteza lengo la kupambana na dawa za kulevya'-RC Makonda
'Tukishindwa vita hii ya dawa za kulevya, hajashindwa Makonda au Rais Magufuli tumeshindwa wote'-Rais Makonda
'Tuko na majina 65, nitahitaji kukutana nao ijumaa, wako wanaosemekana wanatumia, wako wanasemekana wanazo taarifa zitakazotusaidia-Makonda
'Nawashukuru wenyeviti wa mitaa wameanza kuleta majina ya watu ambao wanawasiwasi nao kuhusu dawa za kulevya'-RC Malone's
'Kila tunayemuita tunamfahamu kuliko mnavyofikiri kazi yetu ni kuwasikiliza'- RC Makonda
'Zile nyumba mnazozitilia shaka, hamuelewi hata kinachoendelea ni wajibu wetu wananchi kutoa taarifa na taarifa zitakuwa ni siri-RC Makonda
'Kuna ambao tuliwaita wako nje ya DSM, wapo waliotoa taarifa na watafika ila wapo waliokimbia tunawafuatilia na tutawapata wote'- RC Makonda
'Nawashukuru ndugu zangu walioko nchi mbalimbali kwa kunipigia simu na kunipa taarifa mbalimbali'-RC Makonda
Anaongea nini sasa.
Na yeye akareport central akahojiwe. Tuhuma zake sio za kwenda kwenye media kujisemesha.
Hii tuhuma ya yeye kuwa na mahusiano ya kmapenz na dealer wa kmataifa wa madawa sio ndogo. Magufuli hapashwi kulifungia macho hili.
Na mali alizo nazo sasa zifanyiwe auditing. Huyu kwa mwaka mmoja inasemekana ameaccumulate mali kumzidi hata Raisi wake. Hata mawaziri hawamfikii. Sasa awataje wahisani wake wachunguzwe.
Na wale wauza shisha waliotaka kumuhonga awataje nao wahojiwe. Msitufanye sisi wajinga
Huyu atakuwa anashirikiana na gang flani la wauza unga ila kaja na project ya kuwaeliminate dealers wengne ili watakaobaki wawe monopoly ili wamake abnormal profit. Tusidanganyane hata siku moja mkuu wa mkoa ambaye ni kada wa CCM et kupambana na madawa ya kulevya. Huku ni kujitaftia mazingira ya kupewa rushwa tu na biashara mwisho wa siku itaendelea as usual.
Kuna mwaka USA ilipata tuhuma za kutumia madawa ya kulevya kama source of Government income. Ni kwamba USA ilikuwa vbya kwenye uchumi. Serkal ikaja na mbinu kali za kutyte wauza madawa. Bei ya madawa ikapanda. Wao walikuwa na special depertment kwenye kitengo cha CIA/ Polisi waliojulkana kama bad cops ambao walikuwa wanachukua percent kutoka kwa drag dealers. Hii percent ilienda serkalini. Katika hiyo miaka madawa yalisafirishwa mpaka na ndege za jeshi.Allegations of CIA drug trafficking - Wikipedia
Sasa isije ikawa na tz ikaelekea uko.
Yeye ndo nyaniMoja ya mambo mabaya kabisa ambayo wakoloni walituachia ni utumwa wa fikra,kwa ufahamu huu wa kwako ni sahihi kabisa waafrika kuitwa nyani
Hahaaa hii kesi tamu sana wajanja wamemuachia mlugaluga azidi kujilipua...Mwaka huu umeanza na sinema tamu sana mkuu,tuandae tu popcorn [emoji39] [emoji489]
Mabilioni ya shilingi yanaenda kutoka tena...
character assassination? kama nilimsikiliza makonda vizuri ametoa wito wa hao watu kufika central ijumaa kwa tuhuma za ama kufanya biashara za madawa ya kulevya, kutumia madawa au kusadikika kuwa na taarifa zinazohusiana na biashara hiyo. kwa hali hiyo bado ni tuhuma, suppose inakuwa proven kwamba kweli amehusika inakuwaje character assassination? tatizo kubwa naliona there is a lot of emotions involved kutokana na watu wanaoguswa. tuvute subira, a man of integrity cannot easily have his character killed, au Imani imeanza kupungua maze...Hiyo orodha inamtaja Philemon Mbowe, unamaanisha ndiye Freeman Mbowe? Hata kama kutakuwa na ukweli katika baadhi ya cases, lakini ukisoma orodha ya yale majina huchelewi kuhitimisha kuwa kinachofanywa ni kukurupuka tu ilimradi lengo la "character assassination" linatimizwa. Katika awamu ya tatu mimi nitapeleka jina la "ibambasi wa JF"!
Makonda anakomaa na Mkoa,usochanganye filesis that right? i doubt that..maybe kama umechukua dar as sample na sio tz nzima
Sasa nimeanza kumuelewa Makonda, hongera sana Makonda umeanza kugusa madons wenyewe.Akomae, vita dhidi ya madawa ya kulevya ni kali sana.
Ndio maana hao akina MSUKUMA wamenyanyuka juu yake baada ya kuona maslahi yao yameguswa!
kuna namna hapo,nahisi kuna majina yameongezewa juu kwa juu bila yeye kuwa na taarifa sasa ghafla unakutana nayo,kwa mtu aliyekuwa anaijua listi yote kiuhakika awezi kupatwa na hali ile,wengine kataja unaona kabisa mood imebadilika kuanzia kwa iddi azan.Mi mwenyewe nimeshangaa mbona wengine kawataja direct tu?
Mbona koo ya msoga mnaikimbia??Jinsi pale Bilicanas palivyokuwa, ikiwa anaweza kuuza pombe na kufungua sehemu ya kuuzia na kuharibu jamii, mpaka underage walikuwa wanauzwa pale, unga utamshinda nini kuuza?
Tena huyo ndiyo suspect namba moja.
Anapangua shutuma za musukuma yetu macho watoto was nyumba moja wagombea fito..hapo ndio mwisho wa nyumba ya familia
[emoji23] [emoji23] [emoji23] watu washajichokoea akili.Maskhara hayo mkuu. Ikiwa hivyo wakubwa watamfunga speed gavanna.
Nawashauri Idara ya Usalama wa Taifa kumdhibiti Makonda.
Chukulia tz nzima TBC huwezi ukafanya kipindi cha maana na politicians wengi wanaopenda jambo lao kupata umaarufu hawapitii TBC sababu kubwa imekaa kiserikali zaidi haiko kibiashara inapunguza watazamaji kila kukicha Mf .now kama huna bundle una angalia TV1 why nat tbc Tbc1? Clouds ipo kisoko zaidi na inapaisha kweli even Mkuu aliisifia cloudsis that right? i doubt that..maybe kama umechukua dar as sample na sio tz nzima
hizo hoja za huyo Kasheku sijui, zisubiri kwanza zoezi hili liishe. walikuwa wapi siku zote kuuliza? ngojeni liishe jambo moja ndiyo tuamie hayo mengine kwanini kudandia mada juu ya movement ambayo inaonekana inamuelekeo mzuri tu mbeleni. naona hapa nia ni kukwamisha hiyo movement. taratibu watu wameanza kusikilizia maumivu!Hongera kawa kuwa tajiri ndugu Waberoya natumai umeupata huo utajiri kwa njia zilizo halali kabisa.
Hoja kwa Mamkonda sio utajiri tu bali muda alio upata huo utajiri! Mishahara ya RC na DC inajulikana na amseshika vyeo hivyo kwa miaka mitatu tu.
And dont get me wrong I dont support Msukuma in any way of his! Just another crook to me.......
kwenye hali kama hii ukweli ni kwamba nguvu ya Dr Slaa ni pengo la dhahiri.Mbowe nae..... Wapinzani tujipange tena haswaa!
JPM kapania kuuangamiza democracy inchini we must pull up!!
mashinji skuelewi kabisa an