Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

Chukulia tz nzima TBC huwezi ukafanya kipindi cha maana na politicians wengi wanaopenda jambo lao kupata umaarufu hawapitii TBC sababu kubwa imekaa kiserikali zaidi haiko kibiashara inapunguza watazamaji kila kukicha Mf .now kama huna bundle una angalia TV1 why nat tbc Tbc1? Clouds ipo kisoko zaidi na inapaisha kweli even Mkuu aliisifia clouds
nimekusoma kwa hilo
 
hizo hoja za huyo Kasheku sijui, zisubiri kwanza zoezi hili liishe. walikuwa wapi siku zote kuuliza? ngojeni liishe jambo moja ndiyo tuamie hayo mengine kwanini kudandia mada juu ya movement ambayo inaonekana inamuelekeo mzuri tu mbeleni. naona hapa nia ni kukwamisha hiyo movement. taratibu watu wameanza kusikilizia maumivu!

Sindano zinaingia bila ganzi! Hii ndo Serikali tunayoitaka!
 
HUSEIN PAMBAKALI MSHAKAJI WA LEMUTUZ...ANAFANYA NAE SANA BIASHARA KWA KUMTANGAZIA BIASHARA ZAKE.mPAKA SASA WENGI WALOTAJWA NI MA BEST WA LIMUTUZZZ...HUYU NAE ANALO LAKE KWENYE HILI LAKINI RAFIKI WA MAKONDA
 
HUSEIN PAMBAKALI MSHAKAJI WA LEMUTUZ...ANAFANYA NAE SANA BIASHARA KWA KUMTANGAZIA BIASHARA ZAKE.mPAKA SASA WENGI WALOTAJWA NI MA BEST WA LIMUTUZZZ...HUYU NAE ANALO LAKE KWENYE HILI LAKINI RAFIKI WA MAKONDA
Lemutuz rafiki zake wote ni wezi,wauza unga,matapeli yaani Jamaa kimbelembele chake kitampeleka kubaya anababaika n'a watu wenye fedhaaa TU

Ova
 
Pamoja na juhudi nzuri za Makonda mimi bado nina shaka na umakini wa suala hili, mfano yeye kaletewa majina ama na vyombo vyake vya ulinzi au sijui watu wake anaowaamini, alitakiwa aipitie na kujiridhisha na hata kuhoji kuwa huyu Pilemoni mbowe ni nani? sasa ukibeba karatasi kama ilivyo ukaenda nayo katika vyombo ya habari ukatamka mbowe, kaka yangu na mbunge wa hai kwa hisia tu bila kujua mtu umtamkae unakuwa unaleta mchanganyiko, kwa sababu unatamka kitu tofauti na kilivyo andikwa ,hapa kinachoonekana watu wametuma majina kama yalivyoandikwa na unatakiwa utamke kama lilivyo, kama halijukani fanyia uchunguzi ubaini huyu ni nani kabla hujataja katika media, kwa hiyo utaona kabisa kuwa ni jitihada nzuri lakini zinaweza zisitoe matunda yeyote kama tutaingiza hisia/ushabiki /siasa/papara .
 
hapa

mi bado sielewi..kumtaja mtu bila ushahidi ni a waste of time. kwanza utamfanya awe makini zaidi ili usimkamate..next kama unajua anafanya hiyo biashara kwa nini usimtegee mtego ukamkamata na ushahidi umtie jela..somthing is hangingi there

kusubiri hadi umkamate na ushahidi utakesha kwasabab wao sio wajinga hawabebi mzigo wao wanatuma watu wengine
 
baada ya kunijibu ndio umegundua hatupo level moja, ungepiga kimya toka mwanzo haikuwa lazima kujibu
when facts are laid out ndio unajua levels, nonsense!
Hapo juu sijaona facts yeyote what i see u r too shallow in deep !!ungejua kama Narcoz wanatawala dunia kamwe usingechuliwa na upepo wa alietumwa kupiga zumari na hata kwenye account yake hana hata Mil 100 na ikiwekwa lazima apigiwe kelele
 
Mpaka sasa nashangaa kinachoendelea ama kuna tatizo. Kwenye structure ya serikali vitendo vyote vya kihalifu inaangukia Wizara ya Mambo ya Ndani. Lakini kwa muda wa wiki naona mkuu wa mkoa wa Dar ndio amekuwa mstari wa mbele kwenye vita vya madawa ya kulevya yuko wapi Waziri ama Naibu wa Wizara ya mambo ya ndani?
Upande wa Polisi namuona kamanda Sirro pekee, Jeshi la polisi lina Kamishina wa kitengo cha madawa ya kulevya yupo wapi?
sasahivi ni wakati wa kutulia kuangalia kinachoendelea mwisho wa yote majibu tutayapata.
 
Back
Top Bottom