Mtani mtata
JF-Expert Member
- Nov 5, 2015
- 475
- 341
Mwenye akili timamu,awezi akakaa na kuamin anachosema makonda,alivyoanza na wasanii mm,nilijua ni mtu makin,lakin kwa wasanii limeisha kwa hoja nyepesi,sasahv kahamia kwa wengine.cha ajabu wote amewaacha ila kamshikilia wema,kama sio chuki binafsi ni nn?.
Kwahyo makonda ana chuki na wema!!! watanzania bna 😀😀😀