Mwakaboko King
JF-Expert Member
- Apr 22, 2015
- 1,099
- 207
[emoji23] [emoji23] [emoji23] watu washajichokoea akili.
Dawa ni kushughulikia chanzo mizizi na si matokeo
nimekusoma kwa hiloChukulia tz nzima TBC huwezi ukafanya kipindi cha maana na politicians wengi wanaopenda jambo lao kupata umaarufu hawapitii TBC sababu kubwa imekaa kiserikali zaidi haiko kibiashara inapunguza watazamaji kila kukicha Mf .now kama huna bundle una angalia TV1 why nat tbc Tbc1? Clouds ipo kisoko zaidi na inapaisha kweli even Mkuu aliisifia clouds
Mkuu umeona mbali aisee. Wa misukule aandae mfufuaji mwingine.Ijumaaa den jmos,jpili duuuuuuih ni mawazo tu kunawatu watalala rumande
hizo hoja za huyo Kasheku sijui, zisubiri kwanza zoezi hili liishe. walikuwa wapi siku zote kuuliza? ngojeni liishe jambo moja ndiyo tuamie hayo mengine kwanini kudandia mada juu ya movement ambayo inaonekana inamuelekeo mzuri tu mbeleni. naona hapa nia ni kukwamisha hiyo movement. taratibu watu wameanza kusikilizia maumivu!
Mkuu umemskiaa kwenye mkoaa wake!
Kuna watu hawajui nani alikuwa mmiliki Wa Bilicanas night club. Hayo madanguro ni hatari kwa sembe.Acha mahaba ndugu! Mbowe nae ni binadamu.
Dar as salamaUnajua anapoishi?
Lemutuz rafiki zake wote ni wezi,wauza unga,matapeli yaani Jamaa kimbelembele chake kitampeleka kubaya anababaika n'a watu wenye fedhaaa TUHUSEIN PAMBAKALI MSHAKAJI WA LEMUTUZ...ANAFANYA NAE SANA BIASHARA KWA KUMTANGAZIA BIASHARA ZAKE.mPAKA SASA WENGI WALOTAJWA NI MA BEST WA LIMUTUZZZ...HUYU NAE ANALO LAKE KWENYE HILI LAKINI RAFIKI WA MAKONDA
Hakuna blah blah hapaa ni kuwakamata tuRC Makonda ameweka mziki, maneno hakuna na tayari umekolea
Kuna watu hawajui nani alikuwa mmiliki Wa Bilicanas night club. Hayo madanguro ni hatari kwa sembe.
hapa
mi bado sielewi..kumtaja mtu bila ushahidi ni a waste of time. kwanza utamfanya awe makini zaidi ili usimkamate..next kama unajua anafanya hiyo biashara kwa nini usimtegee mtego ukamkamata na ushahidi umtie jela..somthing is hangingi there
Teh teh teeeeeeeeeeeeeeeh!Mkuu umeona mbali aisee. Wa misukule aandae mfufuaji mwingine.
Hapo juu sijaona facts yeyote what i see u r too shallow in deep !!ungejua kama Narcoz wanatawala dunia kamwe usingechuliwa na upepo wa alietumwa kupiga zumari na hata kwenye account yake hana hata Mil 100 na ikiwekwa lazima apigiwe kelelebaada ya kunijibu ndio umegundua hatupo level moja, ungepiga kimya toka mwanzo haikuwa lazima kujibu
when facts are laid out ndio unajua levels, nonsense!
sasahivi ni wakati wa kutulia kuangalia kinachoendelea mwisho wa yote majibu tutayapata.Mpaka sasa nashangaa kinachoendelea ama kuna tatizo. Kwenye structure ya serikali vitendo vyote vya kihalifu inaangukia Wizara ya Mambo ya Ndani. Lakini kwa muda wa wiki naona mkuu wa mkoa wa Dar ndio amekuwa mstari wa mbele kwenye vita vya madawa ya kulevya yuko wapi Waziri ama Naibu wa Wizara ya mambo ya ndani?
Upande wa Polisi namuona kamanda Sirro pekee, Jeshi la polisi lina Kamishina wa kitengo cha madawa ya kulevya yupo wapi?
Hakuna blah blah hapaa ni kuwakamata tu
Ova