Ishapotezewa hiyoatueleze kwa nini Mkoa wake umeshika nafasi ya mwisho katika matokeo ya kidato cha Nne?
Unakuta wewe ni mwana ukawa,shabiki wa yanga halaf muumin wa gwajima daaah sikupatiii picha sasa HIV ulivyo
We acha tu,,,..tena unaishi ILALA kwa Zungu..na mafuta unajaza daily hapo hapo GBP
mwana una akili sana unastahili kuitwa great thinker sio hawa wanafiki kina pasco wanaosifia eti vita ya madawa ya kulevya wakati wenye akili tunaona mchezo unaofanyika uko vipi na utaisha vipi fuatilia comments utaona jinsi gani watanzania wengi ni wajinga na wapumbavu kupitiliza.Anaongea nini sasa.
Na yeye akareport central akahojiwe. Tuhuma zake sio za kwenda kwenye media kujisemesha.
Hii tuhuma ya yeye kuwa na mahusiano ya kmapenz na dealer wa kmataifa wa madawa sio ndogo. Magufuli hapashwi kulifungia macho hili.
Na mali alizo nazo sasa zifanyiwe auditing. Huyu kwa mwaka mmoja inasemekana ameaccumulate mali kumzidi hata Raisi wake. Hata mawaziri hawamfikii. Sasa awataje wahisani wake wachunguzwe.
Na wale wauza shisha waliotaka kumuhonga awataje nao wahojiwe. Msitufanye sisi wajinga
Huyu atakuwa anashirikiana na gang flani la wauza unga ila kaja na project ya kuwaeliminate dealers wengne ili watakaobaki wawe monopoly ili wamake abnormal profit. Tusidanganyane hata siku moja mkuu wa mkoa ambaye ni kada wa CCM et kupambana na madawa ya kulevya. Huku ni kujitaftia mazingira ya kupewa rushwa tu na biashara mwisho wa siku itaendelea as usual.
Kuna mwaka USA ilipata tuhuma za kutumia madawa ya kulevya kama source of Government income. Ni kwamba USA ilikuwa vbya kwenye uchumi. Serkal ikaja na mbinu kali za kutyte wauza madawa. Bei ya madawa ikapanda. Wao walikuwa na special depertment kwenye kitengo cha CIA/ Polisi waliojulkana kama bad cops ambao walikuwa wanachukua percent kutoka kwa drag dealers. Hii percent ilienda serkalini. Katika hiyo miaka madawa yalisafirishwa mpaka na ndege za jeshi.Allegations of CIA drug trafficking - Wikipedia
Sasa isije ikawa na tz ikaelekea uko.
Wanaolengwa kudanganywa kwa huu usanii ni wajinga tuu.tulionauwezo wakupambanua mambo awawezi kutudanganya kitoto namna hii.Ukitaka kujua serekali hii inaendeshwa kwa siasa za kitoto na chuki za kipuuzi hebu angalia hiyo list, imejaa nicknames kibao. Kwa watu walio serious tena na jambo ovu kama hilo wangejiridhisha na kupata majina halisi. Sasa hata kupata majina halisi ya watuhumiwa umeshindwa utawezaje kujua kama wanafanya hiyo biashara. Watu wenye uelewa tunawadharau na kuidharau serekali yetu kwa sababu ya huu utoto.
Hao vijana wa ufipa wamechachanhanyikiwa baada ya DJ kutajwa...walisema serikali ina majina ya vigogo inaogopa kuwataja...Mbowe kaonekama ufipa hakukalikiKwa sababu katajwa Malaika wako Mbowe.?
he!mbona umejipa ukiranja humu JF,unapata wapi mamlaka ya kumwambia mtu Be quite?Acha uzuzu wewe!
Mbowe ni mmiliki wa Billicanas& Cassino na kwenye mahoteli makubwa matumizi ya madawa yapo juu so hata kama hafanyi yeye kama hotel yake imeorodheshwa basi atatoa ushirikiano kwa kamanda Sirro
Be quiet.
Mkubwa serikali ipo...Unadhani kwa vile katajwa Mbowe atakuambia? Atapitia wapi?Kuna kosa kubwa sana linafanyika kwenye hii issue ya madawa.
Kwanza, Hawa watuhumiwa kwanini wanatajwa kabla hawajatiwa nguvuni?
Pili, inakuaje unamtuhumu mtu kwa issue nzito hivi halafu badala ya kumkamata unampa muda mrefu hivi about 48 hrs kuripoti polisi? Is this how to deal with drugs?
Kweli Ma-Don wa Drugs ambao hata kwa majina huwajui vizuri unawapa 48 hrs uraiani?
Naunga mkono mapambano dhidi ya Unga, lakini naona kuna something fishy which is going on..!
Isije ikawa lengo ni kuchafuana tu, Mlianza vizuri tukawaunga mkono, lakini naona tayari mmeanza kuingiza siasa zenu!