kichengere coi
Senior Member
- Dec 11, 2016
- 160
- 110
season inaendelea tuwe na zubra. sababu walio itwa wote sio washitakiwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio hao tu wakina Ghraib na Salah wapo na yeye anajua wapo wapi ila anawalinda. Hawa ndiyo nawajua vizr ni wauza ngada wa kimataifa na ndiyo wafadhili wakeMakonda kawa sahau wengine Wa chama chake ambao waliwahi kukamatwa china
Sent from my Infinix-X552 using JamiiForums mobile app
Inasikitisha sana maana kinje na kusaga ndiyo waliombebesha mzigo masogange na mangunga aliyeingia mitini na lile fuko la dawa ya kulevyasijaliona jina la kinje wala abasi
SIASA Au ...........................................hapa
mi bado sielewi..kumtaja mtu bila ushahidi ni a waste of time. kwanza utamfanya awe makini zaidi ili usimkamate..next kama unajua anafanya hiyo biashara kwa nini usimtegee mtego ukamkamata na ushahidi umtie jela..somthing is hangingi there
Ubora huu unaouonyesha penye mada hii ya madawa zote nimekuwa nikikuelewa sana keep it up ndugu.Akomae, vita dhidi ya madawa ya kulevya ni kali sana.
Ndio maana hao akina MSUKUMA wamenyanyuka juu yake baada ya kuona maslahi yao yameguswa!
Mkuu kutaja majina mazito for the sake of mazito haina mashiko kma ushahidi haupo..... nilitegemea aseme MANJI NI MTUHUMIWA kwa ushahidi A B C hivyo jalada lake lipo linasubiri kupelekwa mahakamani..... sio porojo za ''aje ofisini kwangu tujadiliane" thats not objective mkuu.Juzi si ulikuwa unazungumza habari za vdagaa, Leo umekuja na habari za WAITWE KIMYA KIMYA!
Kwani Msukuma ni mkazi wa Dar au Makonda anamamlaka nchi nzima? Ngoja tuone mwisho wa haya maigizo.Msukuma uduni wa elimu ndio unaomla,
siku zote alikuwa wapi kuhoji hayo kama si hofu imezingira, na huenda ni mtumiaji au muuzaji hawezi tu kulipuka bure, hiyo ni defense mechanism kama yumo asubiri kutajwa........
The saga Continue
Tusaidie bas na hao wengine jamanii!!Asante Makonda, ila kuna watu umewaacha
Kumekucha!!Ni siku nyingine tena,Mkuu wa Mkoa na Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa mkoa wa Dsm,ndugu Paul Makonda ataongea leo na waandishi wa habari kuhusu muendelezo wa vita ya madawa ya kulevya ktk jiji la Dsm.
Mkuu wa Mkoa atakuwa mubashara Azam Tv mara ifikapo saa 05:00 asubuhi leo hii.
Tetesi ni kuwa,mkutano huo unaweza kuwa ni kujibu tuhuma za kuwa anawakabili "dagaa" na wakati "mapapa" wa biashara hiyo wapo.Na majibu ya mkuu wa mkoa yatakuwa ni kuwataja hao mapapa na kuelezea hatua zitakazochukuliwa...
Tega usikie....(Stay Tuned)
=======
UPDATE:
=======
ORODHA KAMILI:
View attachment 468414
View attachment 468415
View attachment 468416
View attachment 468420
Ameanza kwa Kumshukuru Rais wa Jamuhuri.
Paul Makonda asema anataka wauzaji wa dawa za kulevya wajulikane hadharani na hakuna sababu ya kuficha.
Paul Makonda asema vita vya dawa za kulevya vilianza muda mrefu kwa kufutilia hali ilivyo mitaani.
'Kuna watu nilitaka nikutane nao polisi, kuna tofauti kati ya kukamatwa na kuitwa, unapoitwa unapewa nafasi ya kusikilizwa'-RC Makonda
'Kampeni hii dawa ya dawa za kulevya si ya kufanyika kimyakimya tunataka hata watoto wadogo wajue dawa hizi ni hatari kwa afya'-RC Makonda
'Asante kwa watu kama TID, nawapongeza kwa kukiri na kusema kuwa wanatambua namna walivyoingia na kuomba serikali kuwasaidia'-RC Makonda
'Tumemaliza awamu ya kwanza vita ya dawa za kulevya, sasa hii ni awamu ya pili ambayo itakuwa si nyepesi itakuwa na mawimbi mengi-Makonda
'Awamu ya 2 ya vita ya dawa za kulevya tunaianza leo na tunaianza tukiwa tumekamilika, nimekuwa kwenye operesheni usiku na mchana- Makonda
'Watu wanafanya biashara za dawa za kulevya na meli zinazokuja na mafuta'-RC Makonda
'Kuna mama kazi yake ni kusafirisha watoto wa kike ambao wanapewa dawa za kulevya, wawili wako jela China na amewatelekeza'-RC Makonda
'Tukiendelea kuvutanavutana tutapoteza lengo la kupambana na dawa za kulevya'-RC Makonda
'Tukishindwa vita hii ya dawa za kulevya, hajashindwa Makonda au Rais Magufuli tumeshindwa wote'-Rais Makonda
'Tuko na majina 65, nitahitaji kukutana nao ijumaa, wako wanaosemekana wanatumia, wako wanasemekana wanazo taarifa zitakazotusaidia-Makonda
'Nawashukuru wenyeviti wa mitaa wameanza kuleta majina ya watu ambao wanawasiwasi nao kuhusu dawa za kulevya'-RC Malone's
'Kila tunayemuita tunamfahamu kuliko mnavyofikiri kazi yetu ni kuwasikiliza'- RC Makonda
'Zile nyumba mnazozitilia shaka, hamuelewi hata kinachoendelea ni wajibu wetu wananchi kutoa taarifa na taarifa zitakuwa ni siri-RC Makonda
'Kuna ambao tuliwaita wako nje ya DSM, wapo waliotoa taarifa na watafika ila wapo waliokimbia tunawafuatilia na tutawapata wote'- RC Makonda
'Nawashukuru ndugu zangu walioko nchi mbalimbali kwa kunipigia simu na kunipa taarifa mbalimbali'-RC Makonda
Hapana mkuu makonda kakataa kasema ile orodha ya ikulu yye haimuhusu kadai anafanyia kazi ya mkoa wake tu.Kikwete alishutumiwa sana atate orodha ya wauza unga na inasemekana orodha aliacha Ikulu.
Kambi ya upinzani juzi bundeni wakitaka orodha hiyo,Hoja;huenda majina hayo 65 ikawa ni sehemu ya orodha JK aliyoacha Ikulu?
Afrika bado sana...Kupambagna? Anyway kila zama na kitabu chake...Ngosha ndo kaamua kuja kwa style hii..Acheni kukata tamaa pambaneni na Chama kubwa.