pistmshai
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 1,313
- 3,683
Bila shaka wewe ni masogangeKwa akili yako kapangua gia gani hapo?
Haya ndio madhara ya kua na akili inayojaa kwenye kisoda huwezi kuona vitu katika ukubwa unaotakiwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila shaka wewe ni masogangeKwa akili yako kapangua gia gani hapo?
Haya ndio madhara ya kua na akili inayojaa kwenye kisoda huwezi kuona vitu katika ukubwa unaotakiwa.
Mbunge wa Hai!!CORRECTIONS;-
***
ALIYETAJWA SIO FREEMAN MBOWE,NI PHILEMON MBOWE...
Jf kila mtu ana akili kumzidi mwenzie.Kwa akili yako kapangua gia gani hapo?
Haya ndio madhara ya kua na akili inayojaa kwenye kisoda huwezi kuona vitu katika ukubwa unaotakiwa.
Gwajima atakuja na "Sijui kala maharage ya wapi yule...."Magazeti ya kesho utasikia ....Gwajima kitazini" chadema yapatwa kwa jua"
makonda alikulia kwa sitta?mwenzangu kupata ban nyakati kama hizi za ubuyu ni msiba,wee anikomee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haaaaaa haaaaaa uwiiiiiiieeeKwa akili yako kapangua gia gani hapo?
Haya ndio madhara ya kua na akili inayojaa kwenye kisoda huwezi kuona vitu katika ukubwa unaotakiwa.
Huyo hapo kwenye picha ni wewe??.......Hakika kwa mwili huo lazima hiyo papuchi peke yake ina kilo tano!shutuma chafu zipi si useme?
Kwann,wote watolewe na abaki wema tu,na wote walikua na shutuma za namna moja.au sababu wema alivyotoa maneno ya kusema mbona masogange hajakamatwa.mbona wengine hatujawaona kama Racy,chid Benz.Kwahyo makonda ana chuki na wema!!! watanzania bna 😀😀😀
Uliowataja wanajua wajibu wao,na wanaheshimu taaluma za watu wengine.maana kaz ya mahojiano wanatakiwa kufanya polisi,harafu kama una hatia unapelekwa mahakaman.Wanasubir kuitwa itv wakunje 4 kwny kpnd cha dakika 45
Sasa kwani hizo kampuni hazina management??? Kwa hyo hao mamanager wa hoteli au club ambao wapo kuangalia operation za hoteli za kila siku unawaacha ndio umkamate owner???mbowe anahusika kwanamna moja au nyinginekwasababu ni kweli BILLICANAS imehusika kuuza na kusambaza madawa na mkuu kasema kama ofisi yako inahusika na usambazaji means na wewe ni muhusika
Ni kweli binamumakonda alikulia kwa sitta?
Hahaha! Warumi mwoga wa kusutwamwenzangu kupata ban nyakati kama hizi za ubuyu ni msiba,wee anikomee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
sio mimi ila nipo sampuli hiiHuyo hapo kwenye picha ni wewe??.......Hakika kwa mwili huo lazima hiyo papuchi peke yake ina kilo tano!
Hebu soma ulichokiandikaKatika hali isiyotarajiwa na wengi, baada ya majina ya awamu ya pili kutajwa ambapo majina ya baadhi ya watuhumiwa wa madawa ya kulevya yameishtua nchi kama sio East Africa kwa ujumla,
Baada ya majina ya baadhi ya watumishi wa umma wenye hadhi kubwa serikalini kutajwa, jambo ambalo limemshtua mwana mama mange kimambi, ambaye alikuwa akiapa siku zote makonda hawezi kuwataja mapapa wakubwa kwani anawaogopa,
Hata hivyo mwanamama huyo ameendelea kumwaga shutuma chafu dhidi ya mkuu wa mkoa makonda.