Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

Naomba na mabaharia wachunguzwe mana inasemekana wao ndio wanaingiza madawa .mana madawa yanaingia nchin kwa meli.na wao wanauza pia ndani na nje ya nchi.makonda ebu fatilia na hao watu kwa ukaribu zaid
 
Nadhani baada ya kumaliza kazi tutampa ubalozi marekani au france
 
Huo ni Mwandiko Wa Rais.....kwa anae juwa mwandiko wake.
 
Makonda kawa sahau wengine Wa chama chake ambao waliwahi kukamatwa china

Sent from my Infinix-X552 using JamiiForums mobile app
Sio hao tu wakina Ghraib na Salah wapo na yeye anajua wapo wapi ila anawalinda. Hawa ndiyo nawajua vizr ni wauza ngada wa kimataifa na ndiyo wafadhili wake
 
hapa

mi bado sielewi..kumtaja mtu bila ushahidi ni a waste of time. kwanza utamfanya awe makini zaidi ili usimkamate..next kama unajua anafanya hiyo biashara kwa nini usimtegee mtego ukamkamata na ushahidi umtie jela..somthing is hangingi there
SIASA Au ...........................................
yaani kumtaja mtu hadharani kisa kuna majirani wanakunyoshea vidole, wakati Tanzania ya leo ukifanikiwa tu kwa kuchachalika kwako mtaani utasikia MADAWA, akili ndipo ilipolalia.
 
Unaweza kuta huyu jamaa anatumika kama cover up ili jamaa wapitishe makontena yao bandarini...maana attention yote ipo kitaaa...bandari ipo wazi....
 
Utawala unaojidai unatetea wananchi unafiki tu
Hivi ni utawala gani kucha kutwa kupambana na wapinzani tu?
Nitoe mfano wa mbowe
Wamemuandana na club bilicanas wakati wapo vigogo kibao wanamiliki club kama hizo na wana madeni
Wameamua kumfata mpaka machame hotel yake wanataka kuiuza kimabavu
Wamemfata mpaka nyumbani kwake kwenye greenhouse yake wamempiga marufuku kule machame ni wawekezaji wangapi wamejenga kwenye mto pale mto uwau amuoni, weruweru jee kule mto namwi wawekezaji wamefyeka.misitu yote mtoni na kujenga green house za maua kwenye mito
Hawa wanaandamwa
tundu lissu
lema
zitto
madiwani wa chadema
Yaani huu utawala umejaa unafiki wa kuvaa ngozi ya kondoo kumbe chui
Hii serikali na utawala wa kidteta ni wa kupingwa na kila mtu
Vijana wamenyimwa mikopo na sera za kimabavu na kikoloni za serikali ya ccm
Mnajidai mnatetea na waombewe
Unawaambia wananchi kuwa wewe sio mpishi halafu unataka uombowe
Hadi shetani anaishangaa awamu hii
Kuchukua rambirambi za wahanga wa tetemeko ni haki kweli?
Nakemea huu utawala kwa jina la mungu
 
Akomae, vita dhidi ya madawa ya kulevya ni kali sana.

Ndio maana hao akina MSUKUMA wamenyanyuka juu yake baada ya kuona maslahi yao yameguswa!
Ubora huu unaouonyesha penye mada hii ya madawa zote nimekuwa nikikuelewa sana keep it up ndugu.
 
Juzi si ulikuwa unazungumza habari za vdagaa, Leo umekuja na habari za WAITWE KIMYA KIMYA!
Mkuu kutaja majina mazito for the sake of mazito haina mashiko kma ushahidi haupo..... nilitegemea aseme MANJI NI MTUHUMIWA kwa ushahidi A B C hivyo jalada lake lipo linasubiri kupelekwa mahakamani..... sio porojo za ''aje ofisini kwangu tujadiliane" thats not objective mkuu.

Mapapa nao waongelea ni wale wale wa list ya kikwete ambayo kitwanga alisema ushahidi upo kilichobaki ni kukamatwa tu ssa ile yenye mapapa aliosema kikwete kwanni wasikamate mpaka tena tuanze na list mpya ya makonda ambayo haina ushahidi zaidi ya kusema "waje kwa ajili ya mahojiano" afu mwisho wa siku wataachiwa tu kma kina TID sijui nyando tozi!!!

Kma tuko serious tuchukue list ya ikulu tuifanyie kazi maana ndio yenye ushahidi wa kutosha ili wanokamatwa tujue moja kwa moja wanaenda ndani sio kuhojiwa na kuachiwa tu afu kisifanyike chochote
 
Msukuma uduni wa elimu ndio unaomla,
siku zote alikuwa wapi kuhoji hayo kama si hofu imezingira, na huenda ni mtumiaji au muuzaji hawezi tu kulipuka bure, hiyo ni defense mechanism kama yumo asubiri kutajwa........
The saga Continue
Kwani Msukuma ni mkazi wa Dar au Makonda anamamlaka nchi nzima? Ngoja tuone mwisho wa haya maigizo.
 
 
Wakuu wote wa mikoa wapo kimyaaa wanaangalia makonda na baba wanavyocheza hili game! Lakini baba akishindwa kukinga kifua makonda ataishia kuumia. Hili game tamu sana nasubiri matokeo tu mie yangu macho
 
Kikwete alishutumiwa sana atate orodha ya wauza unga na inasemekana orodha aliacha Ikulu.

Kambi ya upinzani juzi bundeni wakitaka orodha hiyo,Hoja;huenda majina hayo 65 ikawa ni sehemu ya orodha JK aliyoacha Ikulu?
Hapana mkuu makonda kakataa kasema ile orodha ya ikulu yye haimuhusu kadai anafanyia kazi ya mkoa wake tu.

Hoja yako haina mashiko maana ya kikwete ilikuwa verified yenye uchunguzi na ushahidi wa kutosha unlike hii ya makonda yenye majina ya watu walioitwa KWA AJILI YA MAHOJIANO TU na wanaachiwa tu kurudi mitaani hivyo haipo effective.

HOJA: makonda afuate list ya kikwete hta asipowataja akamate awaweke ndani na afungue mashtaka full stop kuliko haya maigizo ya kila cku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…