Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

Kwahyo makonda ana chuki na wema!!! watanzania bna πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Kwann,wote watolewe na abaki wema tu,na wote walikua na shutuma za namna moja.au sababu wema alivyotoa maneno ya kusema mbona masogange hajakamatwa.mbona wengine hatujawaona kama Racy,chid Benz.
 
Awamu ya tatu ya vitaa tujiandae kuwasikia mawazili wakuu wastaafu, maaana waliwanyanganya mashamba bila shaka hawakulidhika yangu macho.
 
mbowe anahusika kwanamna moja au nyinginekwasababu ni kweli BILLICANAS imehusika kuuza na kusambaza madawa na mkuu kasema kama ofisi yako inahusika na usambazaji means na wewe ni muhusika
Sasa kwani hizo kampuni hazina management??? Kwa hyo hao mamanager wa hoteli au club ambao wapo kuangalia operation za hoteli za kila siku unawaacha ndio umkamate owner???

Kumbuka mbowe ana shares tu sasa hao shareholders wengine hawahusiki ni mbowe tu??

kwa hyo nikienda kuuzia madawa kwenye hoteli za mwenyekiti wa ccm na nyie mtamshtaki magu?? Hyo management ipo kwa ajili gani??
 
Hebu soma ulichokiandika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…