Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,256
- 16,317
Mange amemtukna makonda na mpaka jk na sitaWeeee,, unataka Warumi ale ban mkuu
Katika hali isiyotarajiwa na wengi, baada ya majina ya awamu ya pili kutajwa ambapo majina ya baadhi ya watuhumiwa wa madawa ya kulevya yameishtua nchi kama sio East Africa kwa ujumla,
Baada ya majina ya baadhi ya watumishi wa umma wenye hadhi kubwa serikalini kutajwa, jambo ambalo limemshtua mwana mama mange kimambi, ambaye alikuwa akiapa siku zote makonda hawezi kuwataja mapapa wakubwa kwani anawaogopa,
Hata hivyo mwanamama huyo ameendelea kumwaga shutuma chafu dhidi ya mkuu wa mkoa makonda.
Nadhanimakonda alikulia kwa sitta?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] looohh!na ile clip sijui wameipata wapi!!!na nani sijui kairusha..?!!agiiii njooo! ila sauti hadi naiota jamani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]dogo ana kisirani yule !akikaa na mtu muda haupiti life time majanga ana spiritual husband nini akaombewe na lusekelo kabla hajapiga viroba lakini
Kweli bibiemwenzangu kupata ban nyakati kama hizi za ubuyu ni msiba,wee anikomee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Warumi kwa udaku ,huwezekanikimwenzangu kupata ban nyakati kama hizi za ubuyu ni msiba,wee anikomee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
point ni kumweka chini ya ulinzi mmlki halali wa sehemu husika ndo maana umeona wameitwa wamiliki wa slipway see cliff na wengineo. halafu kwanini mbowe tu mbona akina gwajima na manji hamuwasemehi ebu tuacheni unafikiSasa kwani hizo kampuni hazina management??? Kwa hyo hao mamanager wa hoteli au club ambao wapo kuangalia operation za hoteli za kila siku unawaacha ndio umkamate owner???
Kumbuka mbowe ana shares tu sasa hao shareholders wengine hawahusiki ni mbowe tu??
kwa hyo nikienda kuuzia madawa kwenye hoteli za mwenyekiti wa ccm na nyie mtamshtaki magu?? Hyo management ipo kwa ajili gani??
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] looohh!na ile clip sijui wameipata wapi!!!na nani sijui kairusha..?!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
binamu kwa picha hii mmh naanza kuona mwanga kwa mbaaaali juu ya tuhuma za mange,sio kwa mkao huu,marehemu katuaribia kaka etu aiseeh,huu mkao mubashasha
Ndugu yangu Warumi kwa Makonda tena! Hahaha.geniveros haya kumekucha,ndugu yako huku anaomba msaada, mi kama ana pesa ya kunilipa fasta namtafutia,kama hana ntamkuta kwa makonda atangulie central
Hiyo picha haikufai...hao ni third reich ....tofauti na hulka yakoAache chuki binafsi....kamkomalia wema kwa sababu hakunyamaza...huwezi kupambana na ufisadi ukiwa na ubinafsi na huwezi kuweka hisia zako pembeni.
Amesuia wema asiende mahakamani huku siro alikua tayari ametamka kuwa watapelekwa mahakamani..
Amekosa moral authority ya hii vita