Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

Weeee,, unataka Warumi ale ban mkuu
Mange amemtukna makonda na mpaka jk na sita
Katika hali isiyotarajiwa na wengi, baada ya majina ya awamu ya pili kutajwa ambapo majina ya baadhi ya watuhumiwa wa madawa ya kulevya yameishtua nchi kama sio East Africa kwa ujumla,

Baada ya majina ya baadhi ya watumishi wa umma wenye hadhi kubwa serikalini kutajwa, jambo ambalo limemshtua mwana mama mange kimambi, ambaye alikuwa akiapa siku zote makonda hawezi kuwataja mapapa wakubwa kwani anawaogopa,

Hata hivyo mwanamama huyo ameendelea kumwaga shutuma chafu dhidi ya mkuu wa mkoa makonda.
 
Masogange amewahi kukamatwa jburg na mabegi tele ya cristal meth lakini hapa bongo makonda ameshindwa kumtaja!...hili linadhihirisha bias iliyopo kwenye huku kutajana na ni kosa kubwa makonda amefanya ambalo litamgeuka mbaya...kwani hata kujibu swali juu ya masogange amekuna kidevu...hii vita kama ameamua kuanzisha awataje wote...asibague kwasababu zake anazojua...vinginevyo kuna siku atarudi hapo hapo kwenye vyombo hivyo hivyo vya habari kuwasafisha alowataja....hili ni swala la muda tu.....
 
Sasa kwani hizo kampuni hazina management??? Kwa hyo hao mamanager wa hoteli au club ambao wapo kuangalia operation za hoteli za kila siku unawaacha ndio umkamate owner???

Kumbuka mbowe ana shares tu sasa hao shareholders wengine hawahusiki ni mbowe tu??

kwa hyo nikienda kuuzia madawa kwenye hoteli za mwenyekiti wa ccm na nyie mtamshtaki magu?? Hyo management ipo kwa ajili gani??
point ni kumweka chini ya ulinzi mmlki halali wa sehemu husika ndo maana umeona wameitwa wamiliki wa slipway see cliff na wengineo. halafu kwanini mbowe tu mbona akina gwajima na manji hamuwasemehi ebu tuacheni unafiki
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] looohh!na ile clip sijui wameipata wapi!!!na nani sijui kairusha..?!!
4b862321347095dfc83696252e76edc1.jpg


binamu kwa picha hii mmh naanza kuona mwanga kwa mbaaaali juu ya tuhuma za mange,sio kwa mkao huu,marehemu katuaribia kaka etu aiseeh,huu mkao mubashasha
 
4b862321347095dfc83696252e76edc1.jpg


binamu kwa picha hii mmh naanza kuona mwanga kwa mbaaaali juu ya tuhuma za mange,sio kwa mkao huu,marehemu katuaribia kaka etu aiseeh,huu mkao mubashasha
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
geniveros haya kumekucha,ndugu yako huku anaomba msaada, mi kama ana pesa ya kunilipa fasta namtafutia,kama hana ntamkuta kwa makonda atangulie central
[emoji23] [emoji23] [emoji3] [emoji3] huyo nae analeta singeli msibani achana nae...
 
Aache chuki binafsi....kamkomalia wema kwa sababu hakunyamaza...huwezi kupambana na ufisadi ukiwa na ubinafsi na huwezi kuweka hisia zako pembeni.
Amesuia wema asiende mahakamani huku siro alikua tayari ametamka kuwa watapelekwa mahakamani..
Amekosa moral authority ya hii vita
Hiyo picha haikufai...hao ni third reich ....tofauti na hulka yako
 
Nambari Kumi na Nane (18) hiyo A.K.A yake inampakazia mwenyewe, IDRISA MAUNGA
 
Hii Video ya Pili Dakika Hamsini na Sita (56) na Sekunde Tisa (9).

Ngoja niivutie na Popcorn kabisa, na Kinywaji laini ili niipate kisawasawa.


kid-pack-popcorn.jpg
 
Back
Top Bottom