Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

Mkuu bado hujaeleweka kabisa.
Kwa mfano.
Tanzania tuna bandari na viwanja vya ndege, meli kutoka POPOTE duniani inaweza kuja kutia nanga kwenye bandari yetu na hapo watalipa Tozo au ushuru wa kushusha mizigo, na ndege hivyo hivyo zinaweza kutua ili kushusha Abiria, mizigo au kujaza mafuta.

Sasa embu tuambie sasa, mkataba wa Tanzania na Ethiopia uliotiwa juzi una kitu gani kipya au special?
Meli za Ethiopia zitatia nanga bure?
Ndege za Ethiopia zitatua bure?
Hazitii nanga ɓure zitakuja na mizigo iwe ya kongo,rwanɗa,uganɗa.zamɓia,malawi nƙ ɓei za hizi meli ni competitive zinabeba mizigo ppopote duniani waweza compete na shirika lolote la meli ɗuniani ƙupata tenɗa za kuleta mizigo ɗar yawe magari au chochote na kuɓeɓa mzigo ɗar kuupeleƙa popote ɗuniani kama ethiopian airways wanavyofanya.watalipa koɗi zote stahiki huwezi kupata ruti ya kwenda nchi ƴa mtu ɓila ya mhusika kuriɗhia
 
Djibouti ni karibu sana kuliko tanzania, tumetiwa kizunguzungu na magu akiambiwa meli zitajaa bandarini yuko tayari kuirusha shilawadu kwa gharama yoyote.
 
Tanzania na Ethiopia ziliwahi tia sahihi makuɓaliano ya nɗege za ethiopian airways kutumia uwanja wa nɗege wa ɗar es salaam kwa kutua na kuruka.Makuɓaliano yaliƴosainiwa kati ya tanzania na ethiopia ni kuruhusu meli za ethiopia za shirika kuɓwa la meli za ethiopia kutua na kushusha mizigo na kupakia ɓanɗari ƴa ɗar kama ilivƴo ethiopian airways.shirika la meli la ethiopia ni shirika kuɓwa la ƙimataifa kama ilivƴo ethiopian airways.lilianzishwa 1964 na liko fit ujio wao utaongeza uwingi wa meli na mizigo kwenye banɗari ya dar es salaaam.moɗerator usiunge hii habari na zingine ili kuwapa taarifa sahihi wachangiaji
NAKUMBUKA KILE KITABU CHA RIWAYA ZA RIKA LA CHINI, "...Visa vya Yohana Mpumbavu...".
 
Mkuu bado hujaeleweka kabisa.
Kwa mfano.
Tanzania tuna bandari na viwanja vya ndege, meli kutoka POPOTE duniani inaweza kuja kutia nanga kwenye bandari yetu na hapo watalipa Tozo au ushuru wa kushusha mizigo, na ndege hivyo hivyo zinaweza kutua ili kushusha Abiria, mizigo au kujaza mafuta.

Sasa embu tuambie sasa, mkataba wa Tanzania na Ethiopia uliotiwa juzi una kitu gani kipya au special?
Meli za Ethiopia zitatia nanga bure?
Ndege za Ethiopia zitatua bure?
JamiiForums is a 'User Generated Content' site
 
Djibouti ni karibu sana kuli tanzania, tumetiwa kizunguzungu na magu akiambiwa meli zitajaa bandarini yuko tayari kuirusha shilawadu kwa gharama yoyote.
Malori ya watanzania ƴanapeleƙa mizigo kongo,rwanda,zambia,malawi,nk ɓaaɗa ƴa maraisi wa nchi husika kusaini mikataɓa ya ushirikiano ƴa usafiri.nɗicho kilichofanƴika ƙutoa ruksa meli za ethiopia kuɓeɓa mzigo popote ɗuniania kuuleta tanzania uwe wa mtanzania muethiopia au yeyote na kuɓeɓa mizigo banɗari ƴa ɗar iwe ya mtanzania,muethipia au yeyote na kuipeleƙa popote duniani ataƙapo lazima miƙataɓa ya kuruhusu hilo ifannƴwe na raisi
 
Ethiopia unayoisema hapa ndio ile ambayo raia wao wamejazwa kwenye magereza za Tanzania kwa sababu za uhamiaji haramu baada ya kukimbia njaa kwao , na wengine mkawatia kwenye viroba kule bagamoyo au kuna ethiopia nyingine ?
 
Mkuu bado hujaeleweka kabisa.
Kwa mfano.
Tanzania tuna bandari na viwanja vya ndege, meli kutoka POPOTE duniani inaweza kuja kutia nanga kwenye bandari yetu na hapo watalipa Tozo au ushuru wa kushusha mizigo, na ndege hivyo hivyo zinaweza kutua ili kushusha Abiria, mizigo au kujaza mafuta.

Sasa embu tuambie sasa, mkataba wa Tanzania na Ethiopia uliotiwa juzi una kitu gani kipya au special?
Meli za Ethiopia zitatia nanga bure?
Ndege za Ethiopia zitatua bure?
Huwezi mfano wewe ni suɗani kuleta meli ƴaƙo ƴa mzigo na kuɓeɓa mzigo katika nchi ya mtu ɓila raisi kusaini.raisi nɗie sumatra wa miƙataɓa ya usafiri wa kimataifa nɗiyo muiɗhinishaji kuwa uje au usije uwe nɗege,ɓus,lori,meli,au taxi
 
Djibouti ni karibu sana kuliko tanzania, tumetiwa kizunguzungu na magu akiambiwa meli zitajaa bandarini yuko tayari kuirusha shilawadu kwa gharama yoyote.
Tena wameizindua juzi tu hapa treni ya umeme inayo enda mpaka bandalini Djibouti sasa sijui atakubari kutumia bandari yetu au ndo kanyaga twende ziara iishe[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Tanzania na Ethiopia ziliwahi tia sahihi makuɓaliano ya nɗege za ethiopian airways kutumia uwanja wa nɗege wa ɗar es salaam kwa kutua na kuruka.Makuɓaliano yaliƴosainiwa kati ya tanzania na ethiopia ni kuruhusu meli za ethiopia za shirika kuɓwa la meli za ethiopia kutua na kushusha mizigo na kupakia ɓanɗari ƴa ɗar kama ilivƴo ethiopian airways.shirika la meli la ethiopia ni shirika kuɓwa la ƙimataifa kama ilivƴo ethiopian airways.lilianzishwa 1964 na liko fit ujio wao utaongeza uwingi wa meli na mizigo kwenye banɗari ya dar es salaaam.moɗerator usiunge hii habari na zingine ili kuwapa taarifa sahihi wachangiaji
Nani kakudaganya kuwa shirika LA Meli Ethiopia ni kubwa!!? Kama ni kwa standard za Africa. ..... yah Right!!!

Tatizo lako Watanzania ni kupenda sana kutegemea au kufikiria tutafanyiwa vitu na wengine. Tukisikia kuwa kuna nchi inataka kufanya hiki au kile Tanzania huwa tunakuwa excited sana. In most cases hakuna kinachofanyika baada ya hii mikataba kusainiwa. Refer ziara ya Rais wa China na Mikataba iliyosainiwa imeishia au imefikia wapi!?
 
Tena wameizindua juzi tu hapa treni ya umeme inayo enda mpaka bandalini Djibouti sasa sijui atakubari kutumia bandari yetu au ndo kanyaga twende ziara iishe[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Ukawa mna vichwa vigumu kuelewa nilichoanɗika umesoma au unajibu kama mwehu?
 
Huwrmezi mfano wewe ni suɗani kuleta meli ƴaƙo ƴa mzigo na kuɓeɓa mzigo katika nchi ya mtu ɓila raisi kusaini.raisi nɗie sumatra wa miƙataɓa ya usafiri wa kimataifa nɗiyo muiɗhinishaji kuwa uje au usije uwr nɗege,ɓus,lori,meli,au taxi
Mkuu haraka ya nini andika vizur tuelewe
 
Back
Top Bottom