mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,735
UKO SAWA MKUU, Utaona WATORO WA GEOGRAPHY SHULE ZA MSINGI WATAKAVYOTOA POVU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hazitii nanga ɓure zitakuja na mizigo iwe ya kongo,rwanɗa,uganɗa.zamɓia,malawi nƙ ɓei za hizi meli ni competitive zinabeba mizigo ppopote duniani waweza compete na shirika lolote la meli ɗuniani ƙupata tenɗa za kuleta mizigo ɗar yawe magari au chochote na kuɓeɓa mzigo ɗar kuupeleƙa popote ɗuniani kama ethiopian airways wanavyofanya.watalipa koɗi zote stahiki huwezi kupata ruti ya kwenda nchi ƴa mtu ɓila ya mhusika kuriɗhiaMkuu bado hujaeleweka kabisa.
Kwa mfano.
Tanzania tuna bandari na viwanja vya ndege, meli kutoka POPOTE duniani inaweza kuja kutia nanga kwenye bandari yetu na hapo watalipa Tozo au ushuru wa kushusha mizigo, na ndege hivyo hivyo zinaweza kutua ili kushusha Abiria, mizigo au kujaza mafuta.
Sasa embu tuambie sasa, mkataba wa Tanzania na Ethiopia uliotiwa juzi una kitu gani kipya au special?
Meli za Ethiopia zitatia nanga bure?
Ndege za Ethiopia zitatua bure?
NAKUMBUKA KILE KITABU CHA RIWAYA ZA RIKA LA CHINI, "...Visa vya Yohana Mpumbavu...".Tanzania na Ethiopia ziliwahi tia sahihi makuɓaliano ya nɗege za ethiopian airways kutumia uwanja wa nɗege wa ɗar es salaam kwa kutua na kuruka.Makuɓaliano yaliƴosainiwa kati ya tanzania na ethiopia ni kuruhusu meli za ethiopia za shirika kuɓwa la meli za ethiopia kutua na kushusha mizigo na kupakia ɓanɗari ƴa ɗar kama ilivƴo ethiopian airways.shirika la meli la ethiopia ni shirika kuɓwa la ƙimataifa kama ilivƴo ethiopian airways.lilianzishwa 1964 na liko fit ujio wao utaongeza uwingi wa meli na mizigo kwenye banɗari ya dar es salaaam.moɗerator usiunge hii habari na zingine ili kuwapa taarifa sahihi wachangiaji
JamiiForums is a 'User Generated Content' siteMkuu bado hujaeleweka kabisa.
Kwa mfano.
Tanzania tuna bandari na viwanja vya ndege, meli kutoka POPOTE duniani inaweza kuja kutia nanga kwenye bandari yetu na hapo watalipa Tozo au ushuru wa kushusha mizigo, na ndege hivyo hivyo zinaweza kutua ili kushusha Abiria, mizigo au kujaza mafuta.
Sasa embu tuambie sasa, mkataba wa Tanzania na Ethiopia uliotiwa juzi una kitu gani kipya au special?
Meli za Ethiopia zitatia nanga bure?
Ndege za Ethiopia zitatua bure?
Malori ya watanzania ƴanapeleƙa mizigo kongo,rwanda,zambia,malawi,nk ɓaaɗa ƴa maraisi wa nchi husika kusaini mikataɓa ya ushirikiano ƴa usafiri.nɗicho kilichofanƴika ƙutoa ruksa meli za ethiopia kuɓeɓa mzigo popote ɗuniania kuuleta tanzania uwe wa mtanzania muethiopia au yeyote na kuɓeɓa mizigo banɗari ƴa ɗar iwe ya mtanzania,muethipia au yeyote na kuipeleƙa popote duniani ataƙapo lazima miƙataɓa ya kuruhusu hilo ifannƴwe na raisiDjibouti ni karibu sana kuli tanzania, tumetiwa kizunguzungu na magu akiambiwa meli zitajaa bandarini yuko tayari kuirusha shilawadu kwa gharama yoyote.
Huwezi mfano wewe ni suɗani kuleta meli ƴaƙo ƴa mzigo na kuɓeɓa mzigo katika nchi ya mtu ɓila raisi kusaini.raisi nɗie sumatra wa miƙataɓa ya usafiri wa kimataifa nɗiyo muiɗhinishaji kuwa uje au usije uwe nɗege,ɓus,lori,meli,au taxiMkuu bado hujaeleweka kabisa.
Kwa mfano.
Tanzania tuna bandari na viwanja vya ndege, meli kutoka POPOTE duniani inaweza kuja kutia nanga kwenye bandari yetu na hapo watalipa Tozo au ushuru wa kushusha mizigo, na ndege hivyo hivyo zinaweza kutua ili kushusha Abiria, mizigo au kujaza mafuta.
Sasa embu tuambie sasa, mkataba wa Tanzania na Ethiopia uliotiwa juzi una kitu gani kipya au special?
Meli za Ethiopia zitatia nanga bure?
Ndege za Ethiopia zitatua bure?
Tena wameizindua juzi tu hapa treni ya umeme inayo enda mpaka bandalini Djibouti sasa sijui atakubari kutumia bandari yetu au ndo kanyaga twende ziara iishe[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Djibouti ni karibu sana kuliko tanzania, tumetiwa kizunguzungu na magu akiambiwa meli zitajaa bandarini yuko tayari kuirusha shilawadu kwa gharama yoyote.
Umeelewa nilichoanɗika au unaota?..madai kwamba meli zitashusha mzigo Dsm halafu utapakiwa kwenye ndege kwenda Addis Ababa hayana mantiki.
Nani kakudaganya kuwa shirika LA Meli Ethiopia ni kubwa!!? Kama ni kwa standard za Africa. ..... yah Right!!!Tanzania na Ethiopia ziliwahi tia sahihi makuɓaliano ya nɗege za ethiopian airways kutumia uwanja wa nɗege wa ɗar es salaam kwa kutua na kuruka.Makuɓaliano yaliƴosainiwa kati ya tanzania na ethiopia ni kuruhusu meli za ethiopia za shirika kuɓwa la meli za ethiopia kutua na kushusha mizigo na kupakia ɓanɗari ƴa ɗar kama ilivƴo ethiopian airways.shirika la meli la ethiopia ni shirika kuɓwa la ƙimataifa kama ilivƴo ethiopian airways.lilianzishwa 1964 na liko fit ujio wao utaongeza uwingi wa meli na mizigo kwenye banɗari ya dar es salaaam.moɗerator usiunge hii habari na zingine ili kuwapa taarifa sahihi wachangiaji
Yaaan Tz tumefikia hatua ya kuiaona Ethiopia ni mkombozi wa uchumi wetu, baba nyerere hv huko uliko kwenda unayaona haya kweli?
Ukawa mna vichwa vigumu kuelewa nilichoanɗika umesoma au unajibu kama mwehu?Tena wameizindua juzi tu hapa treni ya umeme inayo enda mpaka bandalini Djibouti sasa sijui atakubari kutumia bandari yetu au ndo kanyaga twende ziara iishe[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Mkuu haraka ya nini andika vizur tueleweHuwrmezi mfano wewe ni suɗani kuleta meli ƴaƙo ƴa mzigo na kuɓeɓa mzigo katika nchi ya mtu ɓila raisi kusaini.raisi nɗie sumatra wa miƙataɓa ya usafiri wa kimataifa nɗiyo muiɗhinishaji kuwa uje au usije uwr nɗege,ɓus,lori,meli,au taxi