Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...



Kumekucha!!Ni siku nyingine tena,Mkuu wa Mkoa na Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa mkoa wa Dsm,ndugu Paul Makonda ataongea leo na waandishi wa habari kuhusu muendelezo wa vita ya madawa ya kulevya ktk jiji la Dsm.

Mkuu wa Mkoa atakuwa mubashara Clouds Tv mara ifikapo saa 05:00 asubuhi leo hii.

Tetesi ni kuwa,mkutano huo unaweza kuwa ni kujibu tuhuma za kuwa anawakabili "dagaa" na wakati "mapapa" wa biashara hiyo wapo.Na majibu ya mkuu wa mkoa yatakuwa ni kuwataja hao mapapa na kuelezea hatua zitakazochukuliwa...

Tega usikie....(Stay Tuned)







hana lolote huyu..........
 
lengo la kuwakamata lilikua ni kuwataja mapapa wanaowauzia pamoja na mtandao mzima.. sasa tunasubiri kutajiwa majina yao... lasivyo lengo la kuwahoji ni nn?..
 
hili ni ombi kwa raisi wangu wa nchi ya Tanzania,ajaribu kuteua kwa mara nyingi waziri wa mambo ya ndani awe Mh.Paul Makonda,hii tunaona kwa jitihada zake katika kupambana na kufuatilia sakata la madawa ya kulevya,hii itapelekea atafanya ata usala wa raia katika mitaa kuwa mzuri
 
Bado sinema inaendelea [emoji23][emoji23] kwa hali ilivyo hata Chid Benz akiteuliwa kua RC hapa Dar hawezi kushindwa kutuongoza maana ni kuandaa safari za kutosha tu kwenda Clouds Media kitu ambacho Chid Benz anakimudu vizuri.
 
Jamani habari zenu

Mnaweza kumsikiliza mkuu wa mkoa katika clouds fm
 
mmh..ngoja tuendelee kucheck hii series ya Wema Sepetu is in Prison and the Rise of Makonda
 
Mimi najua mhalifu yoyote akikamatwa na kukiri kosa mara zote huahidi kuwa mtu mwema ama kutokurudia kosa lakini akishaachiwa tu anatukana kimoyo moyo, na kwenda kuendeleza uhalifu wake.
Sina maana ya kwa jamaa wametukana wala wataendelea na mihadarati ila nachojiuliza kwa nini wasipigwe tu shaba wakaondoka kama wamekiri kuingiza ama kula unga?
Wamekiri kwa vinywa vyao, sasa ushahidi gani tunataka zaidi ya huu?
 
kama lengo ni hili kulikuwa na haja gani
lengo la kuwakamata lilikua ni kuwataja mapapa wanaowauzia pamoja na mtandao mzima.. sasa tunasubiri kutajiwa majina yao... lasivyo lengo la kuwahoji ni nn?..
ya kuwalaza watu sero?????
 
Kasema kuna watu wengine anataka kuonana nao ijumaa
 
Back
Top Bottom