Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

Duh! Kumbe Tundu Lisu alipokuwa analalamika mapapa wanaachwa alikuwa anajua anachokisema! Nadhani sasa ataridhika.
 
Upinzani haufi kwa njia hii,makonda na magufuli mnajidanganya
 
Anaongea nini sasa.
Na yeye akareport central akahojiwe. Tuhuma zake sio za kwenda kwenye media kujisemesha.

Hii tuhuma ya yeye kuwa na mahusiano ya kmapenz na dealer wa kmataifa wa madawa sio ndogo. Magufuli hapashwi kulifungia macho hili.

Na mali alizo nazo sasa zifanyiwe auditing. Huyu kwa mwaka mmoja inasemekana ameaccumulate mali kumzidi hata Raisi wake. Hata mawaziri hawamfikii. Sasa awataje wahisani wake wachunguzwe.

Na wale wauza shisha waliotaka kumuhonga awataje nao wahojiwe. Msitufanye sisi wajinga

Huyu atakuwa anashirikiana na gang flani la wauza unga ila kaja na project ya kuwaeliminate dealers wengne ili watakaobaki wawe monopoly ili wamake abnormal profit. Tusidanganyane hata siku moja mkuu wa mkoa ambaye ni kada wa CCM et kupambana na madawa ya kulevya. Huku ni kujitaftia mazingira ya kupewa rushwa tu na biashara mwisho wa siku itaendelea as usual.

Kuna mwaka USA ilipata tuhuma za kutumia madawa ya kulevya kama source of Government income. Ni kwamba USA ilikuwa vbya kwenye uchumi. Serkal ikaja na mbinu kali za kutyte wauza madawa. Bei ya madawa ikapanda. Wao walikuwa na special depertment kwenye kitengo cha CIA/ Polisi waliojulkana kama bad cops ambao walikuwa wanachukua percent kutoka kwa drag dealers. Hii percent ilienda serkalini. Katika hiyo miaka madawa yalisafirishwa mpaka na ndege za jeshi.Allegations of CIA drug trafficking - Wikipedia

43f5dd645d2131afae370625a6bdbe00.jpg


Sasa isije ikawa na tz ikaelekea uko.
Mkuu hii inapaswa kuwa kiitikio kwenye wimbo huu wa www.ngada.com/makoondakta
 
Upumbavu uliofanyika chadema kumkaribisha mwizi eti analeta usitalabu.....

Usitalabu gani wewe umeshaiba mpaka umechoka........

Wanasiasa wa kweli kama Lissu wanaumia kutetea watanzania wenye fikra chanya "

Halafu unaleta upumbavu hapa eti siasa za kushika dola , dola utashika lini mwizi ....

Unayetegemea stahiki zako zisainiwe na Rais ndio ule Lowassa na sumaye ndio Wamefanya upinzani umesinyaa lazima tuwe wakweli Mbowe alikuwa mtu makini sana lakini baada ya Mapokezi ya wezi hana jipya tena na yeye .....

Ifike mahali watanzania tuache unafiki mtu kama Lowassa Sumaye lipumba nabowe hawawezi tena kupambana na dola.....

Ifika wakati Sasa Mbowe ,Lowassa ,Sumaye na &com they must go.......

Chama kiwe chini ya Lissu ndio hana cha kupoteza washirikiane na Zitto mbatia,Mzee,Lema na mnyika ......

Sio hawa wezi na matapeli kutoka Ccm.......
Mbowe bado muhimu ila kweli hizisoft politics za akina lowassa waachane nazo kabisa wanachezewa kwa sababu wamesuccumb ccm ya sasa ni mtulinga kwa mtulinga period
 
Mbona hayo majina wengine hayako specified? Unataja vip jina moja tu la mtuhumiwa? Utasemaje mmiliki wa Slipway, ndo jina lake hlo? Nani anamjua huyo mmiliki wa Slipway? Bado namashaka makubwa na hii list
 
sasa hio list mtu umemuandika jina moja kweli au geresha, mf noriega - ilala , utampataje mtuhumiwa kwa jina moja hata ubini wake huujui , hio list mapichapicha tu
Na hapo ndipo mashaka yanaendelea! Huwezi kumrank mfano Manji na mtu kama huyu kwenye level moja ya vita ngumu kama hii unless ushahidi umepatikana na ndio unawapeleka mahakamani!
 
Naona baada ya kukosa Mbowe kila mahali naona hii ndiyo ngazi ya mwisho kumbambikizia madawa any way ngoja tusubiri ushahidi
Kwa nini unaamini hivyo?......


Wakati rafiki mwema, daima husema kweli
 
Hussein pambakali ni rafiki yake Mkubwa na Le mutuz . .kwanini le mutuz hakamatwi???
 
Mbowe uliwatuhumu wabunge wa CCM kuhongwa lakini hukutoa details zaidi ila leo hii unatuhumiwa kuhusika na biashara ya madawa ya kulevya.

Zitto ulisema wabunge wa upinzani kwa idadi yenu mnaweza kuanzisha mchakato wa kumvua madaraka mh.sana ila ukaishia hapo lakini jana umelalamika kutaka kukamatwa tena utakapotoka nje ya viwanja vya Bunge.

Na wewe askofu Gwajima ulimtuhumu Dr.Mihogo kuhusiana na mzigo wa huko Afrika kusini ila ukaishia hapo lakini leo umetajwa katika orodha ya watuhumiwa wanaohusika na madawa ya kulevya.

Kauli kwamba kile kivuko sasa ni mali ya jeshi na mnaohojiji mjue hivyo sio ya kuachwa ipite hivi bali inapaswa kuhojiwa na inabidi mpambane kama Tundu Lissu kama kweli mnataka kushika dola.

Hivyo wakati nyinyi mkiwa softy katika misimamo yenu,wenzenu wanafanya hayo wanayoyafanya tena kwa kuwanika hadharani.

Nachowashauri ili kuheshimiana na kila mtu aonye uchungu wa siasa chafu na kutuhumiana kwa style hii,

Wenzenu wakimwaga ugali,na nyinyi mwageni mboga kama alivyofanya Msukuma jana.

Acheni kulalamika tumieni power yenu na ikiwezekana hata kashifa za Escrow hasa waliochota mabilioni kupitia benk ya stanbic kama mnawajua muwataje ndani ya Bunge ambao mna kinga ya kutoshitakiwa na maazimio ya Bunge kuhusu hii kashifa muyafufue upya..
Hahahaha bye bye chadema.. SISI tulikuwa tunajua kuwa uchaguzi wa mwaka JUZI.. Manyumbu tulishikwa Ila ukweli ni kwamba bado kidogo atajwe aliyekuwa mgombea wa urais. Huu Utabiri nakupa Rais Magufuli apigilia msumari jeneza la wauza Dawa za Kulevya, asema si kazi ya Makonda pekee
 
Hivi mbunge wa Ilala anaitwa nani? na yule alokuwa wa Kino anaitwa nani?....nani ni Zungu kati yao...haya majina na la huyo alowekwa hapo juu ni kama yanafanana....wasije mharibia mtu asiyehusika
 
Back
Top Bottom