Lussadam
JF-Expert Member
- Oct 13, 2007
- 1,341
- 907
Amesema Mbunge wa HaiAliyetajwa kwenye hiyo orodha ni Philemoni Mbowe na wala sio Freeman Mbowe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amesema Mbunge wa HaiAliyetajwa kwenye hiyo orodha ni Philemoni Mbowe na wala sio Freeman Mbowe.
Maneno mengi kwa taarifa zisizo sahihi. Waliotajwa asilimia kubwa ni wa chama dola. Mungu mkubwa katuonesha uchafu wote ikiwemo ufisadi ni CCMScrow.Hahaha kumbe kweli chadema sisi huwa Manyumbu yaani wa Afrika bwana hawajashtuka bado kinachoendelea. In short Mwisho WA ubaya umeanza kuonekana.. Wengi hamjui kama uchaguzi wa mwaka JUZI ulikuwa ni baina ya makundi mawili wasafi na wachafu kama Unakumbuka team mbili za ccm kubwa kwenye Mchakato zilifeli zote. Rais akawa magufuli. Kisha wabaya wakaungana wakawatumia Manyumbu.. Eeh MUNGU asante kutuonyesha Kiongozi mzuri.. Wengi mna akili ya kijinga ETI mmeishia kumkosoa makonda.. Mnashindwa Kujua kwamba hii vita ni ya magufuli mwenyewe Ila anatumia tu makonda.. Heshima Sasa inarudi.. Hahahahahahahahahahahahahahah Leo Nina furaha Sana.. Subirini phase namba tatu atatawajwa tu na huyo drug dealer mkubwa kabisa.... Bye bye chadema ya wachafu.. Mkae wanachama tujitafakari tuchague viongozi wenye Nia kweli sio Hawa wafanya biashara wenye kumiliki sehemu za starehe.. Wake up. Mnashindwaje kujua kwamba kelele zote Sasa kishindo chake hatari
Mimi nadhani atakuja kusema amejiudhuru kuwa Mkuu wa Mkoa
hahaha hawataji majina utashangaa ukikuta ni dikteta uchwara ndo muhusikaMbona hayo majina wengine hayako specified? Unataja vip jina moja tu la mtuhumiwa? Utasemaje mmiliki wa Slipway, ndo jina lake hlo? Nani anamjua huyo mmiliki wa Slipway? Bado namashaka makubwa na hii list
HAPA KUNA TATIZO KWANI MHUSIKA NI MBOWE AS ELKAELI AU MMILIKI WA ILIYO KUA CLUB YA BILLICANAS? My take kwa vyovyote vile ukiwa na nightclub kama ilivyo kua billicanas madawa ya kulevya hayakosekani. Je Mbowe alikua ana husika directly or as a club?
Aache chuki binafsi....kamkomalia wema kwa sababu hakunyamaza...huwezi kupambana na ufisadi ukiwa na ubinafsi na huwezi kuweka hisia zako pembeni.
Amesuia wema asiende mahakamani huku siro alikua tayari ametamka kuwa watapelekwa mahakamani..
Amekosa moral authority ya hii vita
Majina mengi yaliyotajwa hapo kisheria si majina halali! Eti Mtoto wa Chonji, Noriega, Kiboko, Daba n.k. Wangetaja jina sahihi la mhusika, kisha wanaongeza na a.k.a. Lakini kwa namna hiyo, labda watumie ubavu tu, kama ilivyo kawaida!Mbona Naona Ameandika Philimon Mbowe ...
Wa Chadema Najua Anitwa Freeman Mbowe..
Wewe ndio wakujiongeza.. hauhitaji kutumia akili nyingi kutambua kuwa kunatofauti kati ya Philemon na Freeman.. wala haihitaji akili yakufundishwa.. hata mahakamani hawa ni watu wawili tofautiJiongeze siyo kila kitu utafuniwe tu,
Kumekucha!!Ni siku nyingine tena,Mkuu wa Mkoa na Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa mkoa wa Dsm,ndugu Paul Makonda ataongea leo na waandishi wa habari kuhusu muendelezo wa vita ya madawa ya kulevya ktk jiji la Dsm.
Mkuu wa Mkoa atakuwa mubashara Azam Tv mara ifikapo saa 05:00 asubuhi leo hii.
Tetesi ni kuwa,mkutano huo unaweza kuwa ni kujibu tuhuma za kuwa anawakabili "dagaa" na wakati "mapapa" wa biashara hiyo wapo.Na majibu ya mkuu wa mkoa yatakuwa ni kuwataja hao mapapa na kuelezea hatua zitakazochukuliwa...
Tega usikie....(Stay Tuned)
=======
UPDATE:
=======
ORODHA KAMILI:
View attachment 468414
View attachment 468415
View attachment 468416
View attachment 468420
Ameanza kwa Kumshukuru Rais wa Jamuhuri.
Paul Makonda asema anataka wauzaji wa dawa za kulevya wajulikane hadharani na hakuna sababu ya kuficha.
Paul Makonda asema vita vya dawa za kulevya vilianza muda mrefu kwa kufutilia hali ilivyo mitaani.
'Kuna watu nilitaka nikutane nao polisi, kuna tofauti kati ya kukamatwa na kuitwa, unapoitwa unapewa nafasi ya kusikilizwa'-RC Makonda
'Kampeni hii dawa ya dawa za kulevya si ya kufanyika kimyakimya tunataka hata watoto wadogo wajue dawa hizi ni hatari kwa afya'-RC Makonda
'Asante kwa watu kama TID, nawapongeza kwa kukiri na kusema kuwa wanatambua namna walivyoingia na kuomba serikali kuwasaidia'-RC Makonda
'Tumemaliza awamu ya kwanza vita ya dawa za kulevya, sasa hii ni awamu ya pili ambayo itakuwa si nyepesi itakuwa na mawimbi mengi-Makonda
'Awamu ya 2 ya vita ya dawa za kulevya tunaianza leo na tunaianza tukiwa tumekamilika, nimekuwa kwenye operesheni usiku na mchana- Makonda
'Watu wanafanya biashara za dawa za kulevya na meli zinazokuja na mafuta'-RC Makonda
'Kuna mama kazi yake ni kusafirisha watoto wa kike ambao wanapewa dawa za kulevya, wawili wako jela China na amewatelekeza'-RC Makonda
'Tukiendelea kuvutanavutana tutapoteza lengo la kupambana na dawa za kulevya'-RC Makonda
'Tukishindwa vita hii ya dawa za kulevya, hajashindwa Makonda au Rais Magufuli tumeshindwa wote'-Rais Makonda
'Tuko na majina 65, nitahitaji kukutana nao ijumaa, wako wanaosemekana wanatumia, wako wanasemekana wanazo taarifa zitakazotusaidia-Makonda
'Nawashukuru wenyeviti wa mitaa wameanza kuleta majina ya watu ambao wanawasiwasi nao kuhusu dawa za kulevya'-RC Malone's
'Kila tunayemuita tunamfahamu kuliko mnavyofikiri kazi yetu ni kuwasikiliza'- RC Makonda
'Zile nyumba mnazozitilia shaka, hamuelewi hata kinachoendelea ni wajibu wetu wananchi kutoa taarifa na taarifa zitakuwa ni siri-RC Makonda
'Kuna ambao tuliwaita wako nje ya DSM, wapo waliotoa taarifa na watafika ila wapo waliokimbia tunawafuatilia na tutawapata wote'- RC Makonda
'Nawashukuru ndugu zangu walioko nchi mbalimbali kwa kunipigia simu na kunipa taarifa mbalimbali'-RC Makonda
Ni Philemon Mbowe.HAPA KUNA TATIZO KWANI MHUSIKA NI MBOWE AS ELKAELI AU MMILIKI WA ILIYO KUA CLUB YA BILLICANAS? My take kwa vyovyote vile ukiwa na nightclub kama ilivyo kua billicanas madawa ya kulevya hayakosekani. Je Mbowe alikua ana husika directly or as a club?
Uchaguzi ni 2020Nonsense upumbavu nani atakubali tena rais kutoka kanda ya ziwa 2025 kutachimbika labda kama urais ni wa ukoo
Anapangua shutuma za musukuma yetu macho watoto was nyumba moja wagombea fito..hapo ndio mwisho wa nyumba ya familia
Haha wacha tuendelee kupokea list za kila namna!SHOGA JAMES DELICIOUS
AAPA KUTAJA LIST YAKE KESHO ALIOTEMBEA NAE BILA KUANGALIA SURA.. DUH UKIKOSWA KWA MAKONDA HUYU ANAWALIPUA AMTOKI MWAKAAHUU LAZIMA TUNYOOKEE
usipende ku judge sana unavyoviona kwa macho hautanielewa ila muda ndo mwalimuyani kuna wakati huwa nashangaa akili za binadamu
hivi hapo huoni umejipa nafasi ya Mungu? walau hata useme unahisi ila unaandika ukiwa umejipa mamlaka juu ya maisha ya mtu, vipi wewe utakufaje?
Edo yupi? Uenyekiti upi? Mkiambiwa subirini na muwe na akiba ya maneno hamuelewiSasa Edo njia nyeupee Kuchukua uenyekiti... Kufa kufaana...