domokaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2010
- 3,548
- 1,729
Kwa hiyo wewe ukienda TANESCO kutoa taarifa ya tatizo la umeme na ukamkuta mtu aliyekuibia jogoo lako naye kaja kuripoti tatizo hilohilo basi utamwachia? Kwamba kwa kumwachia basi tatizo la umeme litaisha?
Nimeyapenda hayo mawazo, simuachi, nafanya fujo pale Tanesco ili nifunguliwe kesi ya kufanya fujo katika eneo la watoa umeme! Au kama kituo cha polisi kipo karibu nasubiri ahudumiwe kisha naenda polisi kuwaambia nimemuona mwizi wangu akihudumiwa Tanesco na hivyo kutumia mtego wa Tanesco wamkamate kirahisi. Wewe mwenzangu ungafanyaje?