FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
..madai kwamba meli zitashusha mzigo Dsm halafu utapakiwa kwenye ndege kwenda Addis Ababa hayana mantiki.
Yameandikwa wapi hayo uyasemayo?
Au una ota ndoto za mchana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
..madai kwamba meli zitashusha mzigo Dsm halafu utapakiwa kwenye ndege kwenda Addis Ababa hayana mantiki.
Wewe mama upo nilijua tu utakuja maana ndio wendawazimu mliobakia kutetea ujinga hao mnaowaomba kutumia bandari yenu hamjui juzi tu wamezindua tren yao ya umeme? Na leli yao iliyo jengwa kwa pesa nyingi kweelekea pwani ya bandari ya Djibouti? Kwavile jamaa alikuja basi akashindwa tu kusema hatatumia bandari yenu[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] poleni hiv wakongo wameanza kuja au wamekaidi bado lile ombi mlilo waombaUkombozi unahusu nini?
Unaambiwa wanataka meli zao zitie nanga bandari za Tanzania wewe unaleta habari za ukombozi, inahusu nini?
Punguani wahed.
HahahaaaaaaaaUkombozi unahusu nini?
Unaambiwa wanataka meli zao zitie nanga bandari za Tanzania wewe unaleta habari za ukombozi, inahusu nini?
Punguani wahed.
Asante kunitonya nimerekeɓishaMkuu haraka ya nini andika vizur tuelewe
Haujui chochote kuhusu usafiri wa majini tuliaHazitii nanga ɓure zitakuja na mizigo iwe ya kongo,rwanɗa,uganɗa.zamɓia,malawi nƙ ɓei za hizi meli ni competitive zinabeba mizigo ppopote duniani waweza compete na shirika lolote la meli ɗuniani ƙupata tenɗa za kuleta mizigo ɗar yawe magari au chochote na kuɓeɓa mzigo ɗar kuupeleƙa popote ɗuniani kama ethiopian airways wanavyofanya.watalipa koɗi zote stahiki huwezi kupata ruti ya kwenda nchi ƴa mtu ɓila ya mhusika kuriɗhia
Sidhan kama kuna atakae jitokeza kujibu hili swali lakoEthiopia unayoisema hapa ndio ile ambayo raia wao wamejazwa kwenye magereza za Tanzania kwa sababu za uhamiaji haramu baada ya kukimbia njaa kwao , na wengine mkawatia kwenye viroba kule bagamoyo au kuna ethiopia nyingine ?
Akiliccm [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Akili za CCM bwana. Nichoree ramani ya Ethiopia
Wingi wa meli kuingia bandari ya dar inategemea wafanyabiashara wanaotumia bandari na si mashirika ya meli. Kama shirika la meli la ethiopia halipati wafanyabiashara wa kuzikodesha zije huku watakuja kufanya nini.Tanzania na Ethiopia ziliwahi tia sahihi makuɓaliano ya nɗege za ethiopian airways kutumia uwanja wa nɗege wa ɗar es salaam kwa kutua na kuruka.Makuɓaliano yaliƴosainiwa kati ya tanzania na ethiopia ni kuruhusu meli za ethiopia za shirika kuɓwa la meli za ethiopia kutua na kushusha mizigo na kupakia ɓanɗari ƴa ɗar kama ilivƴo ethiopian airways.shirika la meli la ethiopia ni shirika kuɓwa la ƙimataifa kama ilivƴo ethiopian airways.lilianzishwa 1964 na liko fit ujio wao utaongeza uwingi wa meli na mizigo kwenye banɗari ya dar es salaaam.moɗerator usiunge hii habari na zingine ili kuwapa taarifa sahihi wachangiaji
Unajua hawa vijana wa ccm ni wavivu sana kufikiri .Sidhan kama kuna atakae jitokeza kujibu hili swali lako
Mkuu kwani tatizo hapa kwetu ni meli au wafanya biashara wa nchi jirani wameona kuwa nchi yetu si Rafiki kwa biashara zao kutokana na sera zetu za uchumi kwenye mambo ya kodi kwa Transit goods?Hazitii nanga ɓure zitakuja na mizigo iwe ya kongo,rwanɗa,uganɗa.zamɓia,malawi nƙ ɓei za hizi meli ni competitive zinabeba mizigo ppopote duniani waweza compete na shirika lolote la meli ɗuniani ƙupata tenɗa za kuleta mizigo ɗar yawe magari au chochote na kuɓeɓa mzigo ɗar kuupeleƙa popote ɗuniani kama ethiopian airways wanavyofanya.watalipa koɗi zote stahiki huwezi kupata ruti ya kwenda nchi ƴa mtu ɓila ya mhusika kuriɗhia
Hapo kabla zilikuwa haziruhusiwi kutia nanga bandari ya dar?Hazitii nanga ɓure zitakuja na mizigo iwe ya kongo,rwanɗa,uganɗa.zamɓia,malawi nƙ ɓei za hizi meli ni competitive zinabeba mizigo ppopote duniani waweza compete na shirika lolote la meli ɗuniani ƙupata tenɗa za kuleta mizigo ɗar yawe magari au chochote na kuɓeɓa mzigo ɗar kuupeleƙa popote ɗuniani kama ethiopian airways wanavyofanya.watalipa koɗi zote stahiki huwezi kupata ruti ya kwenda nchi ƴa mtu ɓila ya mhusika kuriɗhia
Ukata wa Meli bandarini unaichanganya serikari wako radhi Meli zitie nanga hata kama hazina faidaSwali la mantiki alilouliza Zanzibar-ASP halijajibiwa, Kauliza ni kipi kipya kwa meli za Ethiopia kutia nanga Bandari ya Dar? Ina maana zilikuwa haziruhusiwi ama zilikuwa hazina mizigo ya kuleta Tanzania?
Tanzania na Ethiopia ziliwahi tia sahihi makuɓaliano ya nɗege za ethiopian airways kutumia uwanja wa nɗege wa ɗar es salaam kwa kutua na kuruka.Makuɓaliano yaliƴosainiwa kati ya tanzania na ethiopia ni kuruhusu meli za ethiopia za shirika kuɓwa la meli za ethiopia kutua na kushusha mizigo na kupakia ɓanɗari ƴa ɗar kama ilivƴo ethiopian airways.shirika la meli la ethiopia ni shirika kuɓwa la ƙimataifa kama ilivƴo ethiopian airways.lilianzishwa 1964 na liko fit ujio wao utaongeza uwingi wa meli na mizigo kwenye banɗari ya dar es salaaam.moɗerator usiunge hii habari na zingine ili kuwapa taarifa sahihi wachangiaji
Bashite ana kichwa chepesi sio ?Ukawa mna vichwa vigumu kuelewa nilichoanɗika umesoma au unajibu kama mwehu?
Kwani kabla ya huo mkataba, bandari yetu ilikuwa hairuhusu meli za Ethiopia kutia nanga? Yaani nini special au kipya hapo?Hazitii nanga ɓure zitakuja na mizigo iwe ya kongo,rwanɗa,uganɗa.zamɓia,malawi nƙ ɓei za hizi meli ni competitive zinabeba mizigo ppopote duniani waweza compete na shirika lolote la meli ɗuniani ƙupata tenɗa za kuleta mizigo ɗar yawe magari au chochote na kuɓeɓa mzigo ɗar kuupeleƙa popote ɗuniani kama ethiopian airways wanavyofanya.watalipa koɗi zote stahiki huwezi kupata ruti ya kwenda nchi ƴa mtu ɓila ya mhusika kuriɗhia