Vita dhidi ya simba ni kubwa sana lengo lao Mo abwage manyanga

Vita dhidi ya simba ni kubwa sana lengo lao Mo abwage manyanga

pwilo

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2015
Posts
10,913
Reaction score
13,876
Habari za wakati huu wadau wa soka na mashabiki wa kandanda nchini Tanzania,
Mapambano yaendelee maana sio kwa msoto huu huku kitaani mambo ni magumu twende kwenye mada:–

Ukiangalia mambo yanayoendelea kwenye soka letu unaona kabisa kuanzia wachambuzi mpaka wadau wote wa soka wanaegemea upande mmoja na atakae jaribu kuwa kinyume na upande unaosifiwa wa jangwani basi atapondwa au atapewa kila jina lisilo faa mfano ALI KAMWE na Jemedari saidi ili usifiwe upande ule inabidi ukubali kuiponda na kuichafua simba.

Wachambuzi na wadau wa soka kuiponda simba na pre season kwa nguvu zote tena kwa hoja dhaifu na zisizo na mashiko kwa mifano ya kusema mabingwa wote hawajaenda pre season wapo makwao simba inapoteza mda tu.

Jana yanga wamefanya press conference ila kwenye ubao wa matangazo hakuna logo ya yanga kuna logo za mdhamini wachambuzi wapo kimya tu ila simba ilifanya press conference bila logo ya mdhamini wachambuzi wa mchongo wakaanza kelele unamalizaje league bila kujua mdhamini.

Kwenye utambulisho wakaanza kuiponda idara ya Digital platform ya simba wakaanza kuipa mileage ya yanga kwamba ni wabunifu kuliko simba inawezekana ikawa kweli ila mbona ikitokea kitu kibaya tu cha simba ndo kina pewa promo ila mazuri watayaponda au kutafuta kasoro.

Kwenye usajili wakati simba alipoondoka bwalya makanjanja wakasema ameondoka bora hajauzwa ila jana swala la Chiko ushindi makanja wote wamekaa kimya wakati alikuwa kwa mkopo na mkopo wake umeisha hakuna anayeongea kuhusu swala hilo.

Swala la Bernard Morrison kipindi yupo simba na wakatangaza wamempa likizo makanjanja wakahoji likizo wakati league inaendelea wengine wakamfanyia mpaka interview ila upande wa pili aliondoka saido ntibanzonkiza hakuna aliyehoji kuondoka kwake wala kutaka kujua nini kilitokea zaidi ya tetesi tu kwamba walienda kulewa na ambundo ila mwenzake bado yupo.

Kwenye uchaguzi engineer hersi alikuwa anagombea mwenyewe na kuwatuliza wote waliokuwa na nia ya kuchukua fomu ya kugombea uraisi ila makanjanja yalikaa kimya bila kuhoji wala kuongea lolote kutokana na umafia huo ila hilo swala angefanya MO Tanzania ingesimama na kuhoji ni utaratibu gani umetumika na sheria ipi kama alivyopewa cheo cha raisi wa heshima tu makanjanja yaliponda ingetokea umafia kama wa engineer ingekuwaje.

Kwenye tuzo makanjanja waliponda tuzo ya ENONGA na kuleta takwimu kwamba hakustahili ni yanga ndo walistahili tuzo zote wakasahau kuwa Enonga kabla ya kuja Simba alishinda tuzo ya beki bora Congo aliletewa wakati yupo Tanzania iweje kushinda Tanzania tuzo kwake iwe ajabu na kuponda kwa kigezo cha kadi nyekundu.

Furaha yao na lengo la hii vita ni Kuona MO anaondoka katika club ya simba na kuona simba wanapitisha bakuli na kuomba omba kama ilivyokuwa upande wa pili hapo itakuwa wamekamilisha Lengo lao walilolipanga wanasahau simba ni super brand matajiri wote Tanzani, wanaitaka ndo maana MO anang'ang'ania akiwemo boss wao baada ya kuona anapata hasara kule akataka simba wavae magodoro kwenye jezi hapo ndo iliongeza hii vita.
 
Mchawi wa Simba ni Simba wenyewe tu...........sema na Mwamedi amezidi kuzirazira sana na juzi mshabiki nguli na mwimba kwaya wa Simba Tunda Man juzi alisikika EATV/Radio akishauri mashabiki wa mikia mchange buku2-2 kwaajili ya usajili
 
Kama wale makanjanja wa pale Wasafi Sports Arena ukiacha George Ambangile na Edo Kumwembe japokuwa na wenyewe ni Yanga lakini wanatanguliza weledi wa kazi, waliobakia masaa yote ni kuiponda Simba tu hasa yule Paul Mnkai.
 
Kwanini wasiiponde wakati timu inaendeshwa kihuni?
IMG_0699.jpg

IMG_0697.jpg
 
unauliza swali na jibu unalo, nikusaidie tu ni hivi Yanga ni bingwa kwa miaka mitano bara na Afrika na itapendeza sana Simba ikishuka daraja kwa maana usajili wao mbovu washambuliaji butu unawapandishaje ndege kwa mfano?
 
binadamu hana lililo bora, manara aliwahi kumponda MO kuwa tajiri gani anashinda mitandaoni tena akafikia kumfananisha na bhakresa na ghalib.

leo hio ametulia anafanya yake mmeibuka na kudai amesusia team.
 
unauliza swali na jibu unalo, nikusaidie tu ni hivi Yanga ni bingwa kwa miaka mitano bara na Afrika na itapendeza sana Simba ikishuka daraja kwa maana usajili wao mbovu washambuliaji butu unawapandishaje ndege kwa mfano?
Africa ipi subirini mcheze mechi mbili mrudi Aviv town mkaogelee.
 
Kama huna data ni bora ukanyamaza...View attachment 2298078
Huyu jamaa Demigod ni mpumbavu sana, anatunga uongo mwingi sana tena wa kipumbavu kuidhalilisha Simba tena amevuka mipaka ya kiunamichezo na utani wa jadi hata moderators niliwahi kuwalalamikia juu ya uzushi wa huyu mtu. Anajifanya anashinda na viongozi wa Simba na wa TFF na ndiyo wanampa za ndani kabisa. Kwa kutwa moja anaanizisha nyuzi zaidi ya kumi kuikandia Simba tena habari za kujitungia tu.
 
Habari za wakati huu wadau wa soka na mashabiki wa kandanda nchini Tanzania,
Mapambano yaendelee maana sio kwa msoto huu huku kitaani mambo ni magumu twende kwenye mada:–

Ukiangalia mambo yanayoendelea kwenye soka letu unaona kabisa kuanzia wachambuzi mpaka wadau wote wa soka wanaegemea upande mmoja na atakae jaribu kuwa kinyume na upande unaosifiwa wa jangwani basi atapondwa au atapewa kila jina lisilo faa mfano ALI KAMWE na Jemedari saidi ili usifiwe upande ule inabidi ukubali kuiponda na kuichafua simba.

Wachambuzi na wadau wa soka kuiponda simba na pre season kwa nguvu zote tena kwa hoja dhaifu na zisizo na mashiko kwa mifano ya kusema mabingwa wote hawajaenda pre season wapo makwao simba inapoteza mda tu.

Jana yanga wamefanya press conference ila kwenye ubao wa matangazo hakuna logo ya yanga kuna logo za mdhamini wachambuzi wapo kimya tu ila simba ilifanya press conference bila logo ya mdhamini wachambuzi wa mchongo wakaanza kelele unamalizaje league bila kujua mdhamini.

Kwenye utambulisho wakaanza kuiponda idara ya Digital platform ya simba wakaanza kuipa mileage ya yanga kwamba ni wabunifu kuliko simba inawezekana ikawa kweli ila mbona ikitokea kitu kibaya tu cha simba ndo kina pewa promo ila mazuri watayaponda au kutafuta kasoro.

Kwenye usajili wakati simba alipoondoka bwalya makanjanja wakasema ameondoka bora hajauzwa ila jana swala la Chiko ushindi makanja wote wamekaa kimya wakati alikuwa kwa mkopo na mkopo wake umeisha hakuna anayeongea kuhusu swala hilo.

Swala la Bernard Morrison kipindi yupo simba na wakatangaza wamempa likizo makanjanja wakahoji likizo wakati league inaendelea wengine wakamfanyia mpaka interview ila upande wa pili aliondoka saido ntibanzonkiza hakuna aliyehoji kuondoka kwake wala kutaka kujua nini kilitokea zaidi ya tetesi tu kwamba walienda kulewa na ambundo ila mwenzake bado yupo.

Kwenye uchaguzi engineer hersi alikuwa anagombea mwenyewe na kuwatuliza wote waliokuwa na nia ya kuchukua fomu ya kugombea uraisi ila makanjanja yalikaa kimya bila kuhoji wala kuongea lolote kutokana na umafia huo ila hilo swala angefanya MO Tanzania ingesimama na kuhoji ni utaratibu gani umetumika na sheria ipi kama alivyopewa cheo cha raisi wa heshima tu makanjanja yaliponda ingetokea umafia kama wa engineer ingekuwaje.

Kwenye tuzo makanjanja waliponda tuzo ya ENONGA na kuleta takwimu kwamba hakustahili ni yanga ndo walistahili tuzo zote wakasahau kuwa Enonga kabla ya kuja Simba alishinda tuzo ya beki bora Congo aliletewa wakati yupo Tanzania iweje kushinda Tanzania tuzo kwake iwe ajabu na kuponda kwa kigezo cha kadi nyekundu.

Furaha yao na lengo la hii vita ni Kuona MO anaondoka katika club ya simba na kuona simba wanapitisha bakuli na kuomba omba kama ilivyokuwa upande wa pili hapo itakuwa wamekamilisha Lengo lao walilolipanga wanasahau simba ni super brand matajiri wote Tanzani, wanaitaka ndo maana MO anang'ang'ania akiwemo boss wao baada ya kuona anapata hasara kule akataka simba wavae magodoro kwenye jezi hapo ndo iliongeza hii vita.
Wameshashindwa.... Mo Nguvu Moja foreva

Halafu hao saizi ni wakuwaacha siunajua midomo yao ndio ajira sakama hana cha kuongea atabadili uongo kuwa ukweli ili tyu cku iishe..... game za kuchambua hakuna zaid ya ndondo

Kuisema Yanga wachambuzi wengi wanmwogopa Manara..... yen Efm ndokabisaa niwaoga kuisema Yanga lakini yote hayo wanmuogopa yule Mdhungu!


Prosicca Kisamba upooo ... huyu ndoexample mpaka leo wanahabar wanaufyata!
 
Habari za wakati huu wadau wa soka na mashabiki wa kandanda nchini Tanzania,
Mapambano yaendelee maana sio kwa msoto huu huku kitaani mambo ni magumu twende kwenye mada:–

Ukiangalia mambo yanayoendelea kwenye soka letu unaona kabisa kuanzia wachambuzi mpaka wadau wote wa soka wanaegemea upande mmoja na atakae jaribu kuwa kinyume na upande unaosifiwa wa jangwani basi atapondwa au atapewa kila jina lisilo faa mfano ALI KAMWE na Jemedari saidi ili usifiwe upande ule inabidi ukubali kuiponda na kuichafua simba.

Wachambuzi na wadau wa soka kuiponda simba na pre season kwa nguvu zote tena kwa hoja dhaifu na zisizo na mashiko kwa mifano ya kusema mabingwa wote hawajaenda pre season wapo makwao simba inapoteza mda tu.

Jana yanga wamefanya press conference ila kwenye ubao wa matangazo hakuna logo ya yanga kuna logo za mdhamini wachambuzi wapo kimya tu ila simba ilifanya press conference bila logo ya mdhamini wachambuzi wa mchongo wakaanza kelele unamalizaje league bila kujua mdhamini.

Kwenye utambulisho wakaanza kuiponda idara ya Digital platform ya simba wakaanza kuipa mileage ya yanga kwamba ni wabunifu kuliko simba inawezekana ikawa kweli ila mbona ikitokea kitu kibaya tu cha simba ndo kina pewa promo ila mazuri watayaponda au kutafuta kasoro.

Kwenye usajili wakati simba alipoondoka bwalya makanjanja wakasema ameondoka bora hajauzwa ila jana swala la Chiko ushindi makanja wote wamekaa kimya wakati alikuwa kwa mkopo na mkopo wake umeisha hakuna anayeongea kuhusu swala hilo.

Swala la Bernard Morrison kipindi yupo simba na wakatangaza wamempa likizo makanjanja wakahoji likizo wakati league inaendelea wengine wakamfanyia mpaka interview ila upande wa pili aliondoka saido ntibanzonkiza hakuna aliyehoji kuondoka kwake wala kutaka kujua nini kilitokea zaidi ya tetesi tu kwamba walienda kulewa na ambundo ila mwenzake bado yupo.

Kwenye uchaguzi engineer hersi alikuwa anagombea mwenyewe na kuwatuliza wote waliokuwa na nia ya kuchukua fomu ya kugombea uraisi ila makanjanja yalikaa kimya bila kuhoji wala kuongea lolote kutokana na umafia huo ila hilo swala angefanya MO Tanzania ingesimama na kuhoji ni utaratibu gani umetumika na sheria ipi kama alivyopewa cheo cha raisi wa heshima tu makanjanja yaliponda ingetokea umafia kama wa engineer ingekuwaje.

Kwenye tuzo makanjanja waliponda tuzo ya ENONGA na kuleta takwimu kwamba hakustahili ni yanga ndo walistahili tuzo zote wakasahau kuwa Enonga kabla ya kuja Simba alishinda tuzo ya beki bora Congo aliletewa wakati yupo Tanzania iweje kushinda Tanzania tuzo kwake iwe ajabu na kuponda kwa kigezo cha kadi nyekundu.

Furaha yao na lengo la hii vita ni Kuona MO anaondoka katika club ya simba na kuona simba wanapitisha bakuli na kuomba omba kama ilivyokuwa upande wa pili hapo itakuwa wamekamilisha Lengo lao walilolipanga wanasahau simba ni super brand matajiri wote Tanzani, wanaitaka ndo maana MO anang'ang'ania akiwemo boss wao baada ya kuona anapata hasara kule akataka simba wavae magodoro kwenye jezi hapo ndo iliongeza hii vita.
Kiukweli hata Mimi nashindwaga kuelewa, kwann wachambuzi maandazi wa mpira wanaichukia Simba,

Yaani kwao yanga hata kuwe na hitilafu gani wapo kimiya, hila kwa Simba dosari kidogo tu, bwana weee! Hiyo habari mwaka mzima wanayo
 
Kama wale makanjanja wa pale Wasafi Sports Arena ukiacha George Ambangile na Edo Kumwembe japokuwa na wenyewe ni Yanga lakini wanatanguliza weledi wa kazi, waliobakia masaa yote ni kuiponda Simba tu hasa yule Paul Mnkai.
Wachambuzi maandazi wale!
 
Mudi ameshajitoa siku nyingi ndiyo maana hata kambi iko kwenye Hostel za magereza
 
Back
Top Bottom