Vita dhidi ya ugaidi inavyotumika kudhulumu Waislamu

Vita dhidi ya ugaidi inavyotumika kudhulumu Waislamu

Hizb Tahrir Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2020
Posts
258
Reaction score
235
Tangu kuanguka kwa Ujamaa, Mabepari hawana mfumo unaowatisha na kuwapinga zaidi ya Uislamu. Hivyo miongoni mwa mbinu wanazotumia kuumaliza Uislamu bila mafanikio ni Vita dhidi ya ugaidi.

Kupitia Vita hii wamejihalalishia damu, dhuluma, na mateso kwa Waislamu dunia nzima wakiwatumia viongozi vibaraka wanaotawala nchi changa kwa niaba yao.

Nchi zinazokoloniwa(zinazoendelea) zikalazimishwa kupitisha Sheria ya ugaidi na kuua na kutesa raia wao ikiwaweka magerezani bila ushahidi, nk kwa hongo ya "misaada ya kupambana na ugaidi" huku viongozi wake ambao ni mbwa na watumwa wa Wakoloni wakiwaachia Wakoloni hao kupora Mali ya ummah kwa jina la uwekezaji
 
Sijaona Kama Kuna sehemu ktk chapisho tumezungumzia jihad kwanini unataka kuiamishia mada huko!? Lengo lako ni lipi ndugu? Jadili mada husika
Basi sawa Mkuu, tuseme "Duniani Hakuna Vita dhidi ya Uislam(Unyenyekevu) kuna vita dhidi ya Ugaidi"

Ila niulize tu, kwanini watu wanaojitoa muhanga husema "God is Great"!! Wanatoa wapi hayo mafundisho ya kuwa ukijilipua utapata thawabu na firdaus inakua kama pua na mdomo?
 
Mada inahusu vita dhidi ya uislamu kwa jina la vita dhidi ugaidi na si jihadi. Tujifunze kuelewa mada kabla ya kuchangia
Wewe ndio ulisema ugaidi na jihad ni tofauti, kwa hiyo ni lazima utuambie hizo tofauti ili tuzijue tusijechanganya hizi mada tena. Maana wewe ndiye unajua tofauti zake, la sivyo usilalamike tukijichanganya.
 
Mada inahusu vita dhidi ya uislamu kwa jina la vita dhidi ugaidi na si jihadi. Tujifunze kuelewa mada kabla ya kuchangia
Then hebu tuonyeshe tofauti ya vita dhidi ya uislam na vita dhidi ya ugaidi! Yaani upembuzi wako vita dhidi ya ugaidi inafaa kuwa na features zipi?
 
Basi sawa Mkuu, tuseme "Duniani Hakuna Vita dhidi ya Uislam(Unyenyekevu) kuna vita dhidi ya Ugaidi"

Ila niulize tu, kwanini watu wanaojitoa muhanga husema "God is Great"!! Wanatoa wapi hayo mafundisho ya kuwa ukijilipua utapata dhawabu na firdaus inakua kama pua na mdomo?
Unawazungumzia watu Kama Iraq ambao walivamiwa kwa madai ya uongo ya silaha za nyuklia ambazo hazijapatikana wakishuhudia mama zao wanabakwa na wanajeshi wa Marekani. Hawa wakijitoa muhanga na kuua wanajeshi hao ndiyo unaulizia Kama wapo sahihi au hawapo sahihi?
 
Unawazungumzia watu Kama Iraq ambao walivamiwa kwa madai ya uongo ya silaha za nyuklia ambazo hazijapatikana wakishuhudia mama zao wanabakwa na wanajeshi wa Marekani. Hawa wakijitoa muhanga na kuua wanajeshi hao ndiyo unaulizia Kama wapo sahihi au hawapo sahihi?
Mwaka 98 ubalozi wa marekani ulipolipuliwa DSM, mama wa nani alikua Kabakwa pale?
 
Back
Top Bottom