Vita dhidi ya ugaidi inavyotumika kudhulumu Waislamu

Vita dhidi ya ugaidi inavyotumika kudhulumu Waislamu

Inaonekana Mtoa mada unao upeo mkubwa sana kwenye masuala mbalimbali nyeti na yanayogusa imani au itikadi za watu mbalimbali.

Basi kwa heshima kubwa nikuombe ndugu yangu utupatie maoni yako juu ya makundi ya Alshabaab, Islamic State ( IS) na Boko Haram

Aksante kwa mada nzuri ya kuvutia
 
Inaonekana Mtoa mada unao upeo mkubwa sana kwenye masuala mbalimbali nyeti na yanayogusa imani au itikadi za watu mbalimbali.

Basi kwa heshima kubwa nikuombe ndugu yangu utupatie maoni yako juu ya makundi ya Alshabaab, Islamic State ( IS) na Boko Haram

Aksante kwa mada nzuri ya kuvutia
Akishaweka desa mezani uniite Mkuu tuje kupata "ilim" pamoja!
 
Tangu kuanguka kwa Ujamaa, Mabepari hawana mfumo unaowatisha na kuwapinga zaidi ya Uislamu. Hivyo miongoni mwa mbinu wanazotumia kuumaliza Uislamu bila mafanikio ni Vita dhidi ya ugaidi.

Kupitia Vita hii wamejihalalishia damu, dhuluma, na mateso kwa Waislamu dunia nzima wakiwatumia viongozi vibaraka wanaotawala nchi changa kwa niaba yao.

Nchi zinazokoloniwa(zinazoendelea) zikalazimishwa kupitisha Sheria ya ugaidi na kuua na kutesa raia wao ikiwaweka magerezani bila ushahidi, nk kwa hongo ya "misaada ya kupambana na ugaidi" huku viongozi wake ambao ni mbwa na watumwa wa Wakoloni wakiwaachia Wakoloni hao kupora Mali ya ummah kwa jina la uwekezaji
Tumechoka na baseless malalamiko. Tufanye kazi,tueneze dini kwa upendo na amani, tujikite kwenye Elimu zote,tujiamini, tuache malalamiko kila siku. Yanachosha.

Haya mengine ni upuuzi wa kila siku umeshachosha. Kutwa kulalamika kama mamie alokosa mwana.
 
Kwann magaidi wakiwa wanachinja mtu wanasoma quruan?je Kuna aya inaruhusu watu kuuwawa?
 
Tumechoka na baseless malalamiko. Tufanye kazi,tueneze dini kwa upendo na amani, tujikite kwenye Elimu zote,tujiamini, tuache malalamiko kila siku. Yanachosha.

Haya mengine ni upuuzi wa kila siku umeshachosha. Kutwa kulalamika kama mamie alokosa mwana.
Upendo utapatikana vipi Kama Kuna watu wanadhulumiwa
 
Uislam ndio dini kamili hizo zingine sawa na vikoba tu maana wanabadili maandiko kila siku
 
Ugaidi na jihadi ni concept mbili tofauti.
Una maoni gani kuhusu hivi vikundi vya Kigaidi vinavyoua maelfu ya raia wasio na hatia? Boko Haram, Alshabab, Al Qaeda, ISIS (IS) na vinginevyo vingi?

Unadhani hivi vikundi viko sahihi kufanya hujuma na mauaji dhidi ya raia wasio na hatia kwa mgongo wa dini yenu ya Kiislamu?
 
Back
Top Bottom