pamoja Santa
JF-Expert Member
- Jan 6, 2019
- 743
- 1,148
Hutaweza kusikia hata siku moja viongizi wakubwa wakubwa duniani wa dini ya Kiislam wakikemea kuhusu huo ugaidi yani wote wapo kimya kwa mantiki hiyo kwa namna moja au nyingine inaonekana kama sawa tu.
Kingine ndugu zetu Waislam ndo mnawafuga hao magaidi mfano kule kibiti jamaa waliishi Misikitini kabisa wengine kwenye nyumba za Masheikh sasa unajiuliza hii ni nini wanafanya, hutasikia hata siku moja gaidi limeenda kwa mkristo likaishi pale hakuna.
Waislam wanaojielewa wanapinga ugaidi kwa nguvu zote
Kingine ndugu zetu Waislam ndo mnawafuga hao magaidi mfano kule kibiti jamaa waliishi Misikitini kabisa wengine kwenye nyumba za Masheikh sasa unajiuliza hii ni nini wanafanya, hutasikia hata siku moja gaidi limeenda kwa mkristo likaishi pale hakuna.
Waislam wanaojielewa wanapinga ugaidi kwa nguvu zote