Hawa jamaa ni wanafiki sana. Deep down their hearts huwa wanafurahia sana haya mambo. Ila wakija in public kama hivi wanajifanya hawayasapoti kabisa.Nilishawaelewa Sana, huwa pia wanafurahia sana yanayofanywa na Boko Haram, al-shabaab
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa jamaa ni wanafiki sana. Deep down their hearts huwa wanafurahia sana haya mambo. Ila wakija in public kama hivi wanajifanya hawayasapoti kabisa.Nilishawaelewa Sana, huwa pia wanafurahia sana yanayofanywa na Boko Haram, al-shabaab
Umesema "Magaidi wa kikristo"!!Media wanayo haki ya kutangaza au kutokutangaza taarifa zetu
Bottom line is you must know what Islam teach or say about terrorism
Kuna waislamu wezi. Walevi. Wala nguruwe n, k
Hatuwezi kuwaandika na kalamu moja eti kwa sababu anaitwa Jina la kiislamu....
Hao magaidi ni waovu kama waovu wengine
Pia jua kuna makundi mengi ya kigaidi kule America ya kusini yanajishughulisha na Madawa ya kulevya lakini media hawasemi kua ni magaidi wa ki kristo ilihali wote ni wakatoliki
majibu yake ni yapi? Mwenzio ameshakubali ni uporaji wa mafutaJaribu kuelewa. Huyo aliyesema TUSEME HUO WA IRAQ TUMEUKUBALI hakutoa definitive answer. Alikupa lile jibu ili ueleze waliolipua ubalozi wa wamarekani kama mama zao waliuwawa. Inshu ya Iraq majibu yake yapo na hayafanani na nia ya kupora resources
Kuna anti baraka kule CAR hawaitwi magaidi kwa vile ni wakristo na hii inatilia mkazo hoja kuwa magaidi kwa mujibu wa walioanzisha Vita hii ni Waislamu pekee. Hivyo kidhati ni Vita dhidi ya uislamuUmesema "Magaidi wa kikristo"!!
Hakuna kitu kinaitwa magaidi wa kikristo. It doesn't even sound
Umewahi kuwasikia hao unaowaita magaidi wa kikristo wakiua kwa jina la Yesu? Umewahi???
Hao tunaowaita Islamic Terrorists sio kwa sababu wanatokea nchi za kiislam au kwa sababu ni waislam, Ila ninkwa sababu WANAUA KWA JINA LA ALLAH, ambaye ni Mungu wenu... na wanatumia vifungu vya quran kuhalalisha hicho wanachokifanya.
Hao Antibalaka WANAUA KWA JINA LA YESU?Kuna anti baraka kule CAR hawaitwi magaidi kwa vile ni wakristo na hii inatilia mkazo hoja kuwa magaidi kwa mujibu wa walioanzisha Vita hii ni Waislamu pekee. Hivyo kidhati ni Vita dhidi ya uislamu
Umejuaje mambo ya moyoni kwa mtu Kama si ubabaifu na urongoHawa jamaa ni wanafiki sana. Deep down their hearts huwa wanafurahia sana haya mambo. Ila wakija in public kama hivi wanajifanya hawayasapoti kabisa.
Wanafanya zaidi ya hayo. Fuatilia taarifaHao Antibalaka WANAUA KWA JINA LA YESU?
Wanatumia BIBLIA na maandiko ya Biblia kuhalalisha Mauaji yao?
Nimeuliza swali pale juu, so hebu lijibu kama nilivyuouliza na sio kukimbia kimbia maswaliUmejuaje mambo ya moyoni kwa mtu Kama si ubabaifu na urongo
Leta uthibitisho kuwa WANAUA KWA JINA LA YESU na kwamba wanatumia BIBLIA KUHALALISHA Mauaji Yao.Wanafanya zaidi ya hayo. Fuatilia taarifa
Wewe umeleta uthibitisho kuwa hao uliowataja wanatumia kitabu cha Allah kuua badala ya bunduki au visu, nk au ulifuata mkumbo tu.Leta uthibitisho kuwa WANAUA KWA JINA LA YESU na kwamba wanatumia BIBLIA KUHALALISHA Mauaji Yao.
Kwa nini nifuatilie wakati wewe uliyeleta madai upo hapa? Maadam wewe tayari unajua...basi WEKA HUO UTHIBITISHO HAPA JUKWAANI.
Hahaha... mzee wa kukimbia maswali.Wewe umeleta uthibitisho kuwa hao uliowataja wanatumia kitabu cha Allah kuua badala ya bunduki au visu, nk au ulifuata mkumbo tu.
Usipende mterezo, bichwa lako Lina kazi gani sasa Kama Kila kitu unataka utafutiwe!?
Wewe si umesema wanaua kwa jina la Yesu?Wewe umeleta uthibitisho kuwa hao uliowataja wanatumia kitabu cha Allah kuua badala ya bunduki au visu, nk au ulifuata mkumbo tu.
Usipende mterezo, bichwa lako Lina kazi gani sasa Kama Kila kitu unataka utafutiwe!?
Christian terrorists does not exist cos media hawatumiiUmesema "Magaidi wa kikristo"!!
Hakuna kitu kinaitwa magaidi wa kikristo. It doesn't even sound
Umewahi kuwasikia hao unaowaita magaidi wa kikristo wakiua kwa jina la Yesu? Umewahi???
Hao tunaowaita Islamic Terrorists sio kwa sababu wanatokea nchi za kiislam au kwa sababu ni waislam, Ila ninkwa sababu WANAUA KWA JINA LA ALLAH, ambaye ni Mungu wenu... na wanatumia vifungu vya quran kuhalalisha hicho wanachokifanya.
Kusema Allah Akbar wakati unaua watu wasio na hatia haihalalishi mauajiHahaha... mzee wa kukimbia maswali.
Uthibitisho wa mauaji yanayotanguliwa na maneno "Allah akbar" ni mwingi mpaka sijui nipandishe upi upi niuache.
Lakini kabla sijaendelea. Unaweza kwenda kujibu swali langu kule juu ambalo Umelikimbia?
Hujajibu nilichokuuliza.Christian terrorists does not exist cos media hawatumii
Media haijawahi kusema white terrorists lakini ilikua inasema black South African terrorists
Anyways kila mtu anamaono yake....
Mimi ni muislamu na nimesoma dini yangu na hakuna sehemu tunafundushwa ugaidi
Kwa kua main stream media muislamu au mtu wenye Jina la kiislamu akifanya maovu anachukuliwa ni gaidi lakini none Muslim akifanya samething anakua muhalifu wa kawaida
Hivi majuzi kule Marekani ilitokea kitu inaitwa Capital riot na watu kadhaa wakauawa kikatili wengine kujeruhiwa
Fikiria hilo tendo lingefanywa na watu weusi Achilia waislam. Bado ingeitwa riot au terrorism?
Hope your matured enough to understand media languages
Unajua baada ya uchaguzi mbowe alishikiliwa kwa kesi ya ugaidi?
Je unajua so called Islamic terrorism imeanza lini?
Angalia ndani sio unadandia njiani
We bwana mjibu swali kama alivyo uliza apo Juu mbona viongozi wa kiislam awajawai kujitokeza kukemea.uarifu unao.fanywa na is.boko haram.na al shabab.ila mtu akichana Qur'an mnajitokeza utazani.mliwekwa sehemu 1 yani.Wewe umeleta uthibitisho kuwa hao uliowataja wanatumia kitabu cha Allah kuua badala ya bunduki au visu, nk au ulifuata mkumbo tu.
Usipende mterezo, bichwa lako Lina kazi gani sasa Kama Kila kitu unataka utafutiwe!?
Kule juu nimeuliza swali ambalo wewe na wenzako wote mnalikimbia.Kusema Allah Akbar wakati unaua watu wasio na hatia haihalalishi mauaji
Kuna watu wanakunywa Pombe kwa kusema bismillah je pia hio inahalalisha Pombe?
Ukitaka kujua uislamu soma uone kama kuna hata sehemu moja inaruhusu ugaidi
Kama ipo endelea na tuhuma kama hakuna ujue hao ni wapuuzi na ni Maadui wa Uislamu
Unamaana gani kwa kutumia uislamu?Hayo makundi ya huko amerika ya kusini hawaui kwa kutumia ukristo wao, wao wanauwa kwa interest za biashara yao,. ILA al-shabaab na Boko haram wanauaa kwa kutumia uislamu
Sasa mnakemeaje kisirisiri au kimya kimya hadi tusisikie acha udanganyifu na ujanjaHujawahi kusikia tukiyakemea kwa sababu hupati taarifa zetu
Anyways amini unachoamini
The reality is reality hata kama unataka au hutaki
Hawezi wanayapenda hayo makundi ya kigaidi ndio yanasaidia kueneza diniAlaani basi