Ghosryder
JF-Expert Member
- Jul 6, 2014
- 10,403
- 4,373
Wavaa vipedo hawajitambuiMwaka 98 ubalozi wa marekani ulipolipuliwa DSM, mama wa nani alikua Kabakwa pale?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wavaa vipedo hawajitambuiMwaka 98 ubalozi wa marekani ulipolipuliwa DSM, mama wa nani alikua Kabakwa pale?
Acha bangi wewe, huoni wakishika upanga na wanasoma aya kutoka kitabu cha Qurani sura ya ng'ombe halafu wanamalizia shingo kwa kusema "Allah Akbar" hao sio waislam hao??Wewe quraan unaijua?
OK amini unavyo aminiIngekuwa hivyo tungesikia, hakuna kisichosikika hata mngekanyana wapi serikali ina masikio mapana
Watu mnaowahifadhi hamuwezi kuwakemea
Msikiti gani unaujua kuna magaidi wanafichwa?Sio kukemea tu huwa mnawahifadhi magaidi, mnawaficha misikitini wasikamatwe
Kwa namna hiyo utasema mnauchukia ugaidi?
Utasema ugaidi sio uislamu?
Wakati wanavosema wana mgambo wa kislamu wanamaanisha dini y kiislamu ni ya kigaidi hapana. Wanamaanisha chimbuko la hao watu ni waislamu kwasababu majina yao na wanahudhuria misikiti na kadhalika. Halafu kingine nyinyi kitendo cha kuruhusu kuua sijui kma mimi nd naelewa vibaya kinapandikiza chuki among people. Yani mtu umuulie ndugu yake kisa katembea na mke wako nani atakubali nd maan wengi wanakuwa na hasira ko hata kama wanapandikizwa na mabeberu haitumiki nguvu kubwa sana. Kingine serikali haiwez kukuacha umuue mtu kisa katembea na mke wako hata iweje.Ndugu msikitini kote kuna program maalumu za vijana kuwaonya juu ya makundi ya kigaidi
Kila mwaka wakati wa hija mlima wa Arafat masheikh wakubwa hupanda na kukemea ugaidi
Hebu niambie...
Unategemea Mufti aende kanisani kukemea?
Mimi naona wewe unataka kutufundisha dini yetu au unafikiri Unaijua dini yetu kuliko Sisi
Hao magaidi ni wahuni
Sasa wewe unaamini mbowe ni gaidi au mwanasiasa?
Na waWanamgambo wa kiislamu ni sawa na wanamgambo waliotumwa na dini ya kiislamu?
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Kule mara kwa wakurya Ndio kuna kesi nyingi za kuua mgoniWakati wanavosema wana mgambo wa kislamu wanamaanisha dini y kiislamu ni ya kigaidi hapana. Wanamaanisha chimbuko la hao watu ni waislamu kwasababu majina yao na wanahudhuria misikiti na kadhalika. Halafu kingine nyinyi kitendo cha kuruhusu kuua sijui kma mimi nd naelewa vibaya kinapandikiza chuki among people. Yani mtu umuulie ndugu yake kisa katembea na mke wako nani atakubali nd maan wengi wanakuwa na hasira ko hata kama wanapandikizwa na mabeberu haitumiki nguvu kubwa sana. Kingine serikali haiwez kukuacha umuue mtu kisa katembea na mke wako hata iweje.
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Shida yenu nyinyi mambo mnayoendekeza nd yanawaponza sometimez mnapenda mashindano ya jumla kuhusu who is better. Bro hakuna mtu safi zaidi ya anaetenda masafi mbele za Mungu. Yani shida yenu nyny mko kibinadamu sana kuliko kiroho nd maan mnapenda mashindano ya kujumlisha. Mi mkristo ila nimeshuhudia au kusikia wakristo walevi wazinzi wauaji wenye udhalimu wa kila aina na waislamu vivyo hivyo. Ko huwezi ukawa unasema tu mbele za watu eti waislamu ni bora kuliko wakristo. Haya tufanye uislamu dini ya ukweli afu ukristo sio. Swali Je, muislamu mzinzi ni bora kuliko mkristo mcha Mungu? Au humini kuna mkristo msafi?[emoji1666][emoji1666][emoji1666]
Haswaaa!
Sina cha kusema wewe unachuki na waislamu maana mlifundishwa mkiwa wadogo sana waislamu walitesa babu zenuSas unawekaje neno christian terrorism wakati wanaua hawataji jina la yesu au yehova. Halafu magaidi mexico wanafanya kazi hadi na dini mbali mbali zile cartel waarabu wamo wahindu wamo wachina wamo. Sas kwa bokho haram kama m2 anashiriki wakati wakuua mara nying wanataja allah it means waliopo pale wanashiriki hiyo ibada ya kiislamu. Je hao ni magaidi wa nn? Usichanganyikiwe kwa jina la kikundi wewe. Sas wamexico wenyewe walalamike kwasababu drug dealing cartel zinaitwa mexico drug cartel?
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Kitu cha ajabu pamoja na propaganda zote kila kukicha wazungu wanasilimu na makanisa mengi kule Ulaya yanakua miskitiShida yenu nyinyi mambo mnayoendekeza nd yanawaponza sometimez mnapenda mashindano ya jumla kuhusu who is better. Bro hakuna mtu safi zaidi ya anaetenda masafi mbele za Mungu. Yani shida yenu nyny mko kibinadamu sana kuliko kiroho nd maan mnapenda mashindano ya kujumlisha. Mi mkristo ila nimeshuhudia au kusikia wakristo walevi wazinzi wauaji wenye udhalimu wa kila aina na waislamu vivyo hivyo. Ko huwezi ukawa unasema tu mbele za watu eti waislamu ni bora kuliko wakristo. Haya tufanye uislamu dini ya ukweli afu ukristo sio. Swali Je, muislamu mzinzi ni bora kuliko mkristo mcha Mungu? Au humini kuna mkristo msafi?
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Ok. Hata kama hutaki kutaja makundi ya kigaidi kwa majina kuwa unayapinga lakini huu ni mwanzo mzuri.Mimi napinga vikundi vyote vinavyoua watu wasio na hatia wawe ni vikundi au mmoja mmoja
Unaona chuki yako dhidi ya uislamu inavyokutafuna Hadi umeshindwa kujizuia
Tumechoka na baseless malalamiko. Tufanye kazi,tueneze dini kwa upendo na amani, tujikite kwenye Elimu zote,tujiamini, tuache malalamiko kila siku. Yanachosha.
Haya mengine ni upuuzi wa kila siku umeshachosha. Kutwa kulalamika kama mamie alokosa mwana.
Wewe quraan unaijua?
Kisha mkaja kibiti mkafyekwaTumesomea kwa anti baraka
Mnakutana wapi Imani tofautiUondoe ukiwa na uhakika ila ukiondoa kwa kuonea hakika umewatanguliza alafu wanakusubiria kwenye hesabu hakuna wakukuombea hapo
Hakuna historia inayofundishwa hapa Tanzania inayosema waislam waliua babu zetu.Historian inaonesha waarabu ndio walihusika kwenye biashara ya utumwa kitu ambacho ni kweli na kina historical evidence. Sasa nikuulize waislam ni sawa na waarabu!? Si ni nyinyi mnapinga kila siku kuwa kuwa muarabu haimaanishi kuwa muislam!? Typical muslim yaan hauna facts unageukageuka muda wote kutetea dini bila kutumia akiliSina cha kusema wewe unachuki na waislamu maana mlifundishwa mkiwa wadogo sana waislamu walitesa babu zenu
Historia ya uongo Ndio unakutesa sio swala la ugaidi
Hata kama kila mtu ana dini yake lakini yenu ya ajabu sanaDini ni imani na sisi tunafuata maandiko yetu na kama unasubiri kila mara Alshabab au ISIS wakijilipua msikitini Ndio tuandamane dunia nzima unasubiri sana
Anyways amini unavyo amini na sisi tunaimani yetu
Siwewzi kukubadilisha wala wewe huwezi kubadilisha uislamu kitu muhimu lives goes on
Kama wanafadhiliwa na makafiri mbona hamlaani?Hakuna nchi hata moja ya kiislamu inayo fadhili magaidi
Kweli waathirika wakubwa wa ugaidi ni waislamu
Kama nilivyo sema tutaongea sana bila kufika muafaka maana hili jambo la ugaidi ni tata sana
Mimi naamini hao wanaotumia Jina la uislamu kuhalalisha ugaidi wanafadhiliwa na makafiri
Embu elezea aya maneno ya chuki yanatoka kwenye kinywa Cha Allah na MuhammadKama wanafadhiliwa na makafiri mbona hamlaani?