Vita Gaza katika mwelekeo mwema, busara inapoanza kurejea

Vita Gaza katika mwelekeo mwema, busara inapoanza kurejea

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Vita vya nini kama mazungumzo yanaweza kuzaa mapatano yenye tija?

1. Ama kweli amani haipatikani ila kwa ncha ya upanga:

IMG_20231217_110041.jpg


2. Kwamba Israel kwenye hasira kali na pepo la kisasi na mtafaruku ule Oct 7, wameuwa wengi wakiwamo wasiokuwa na hatia?

2. Kwamba wameuwa hadi raia (wakiwamo wa Israel), wanahabari, wauguzi, watoa misaada, waokozi, watoto (wakiwamo njiti), wanawake, wanajeshi (wakiwamo wao, hadi wa Lebanon), hata mateka wao waliokuwa wamesalimshwa?

IMG_20231217_113744.jpg


3. Yote haya na uharibifu wote kwa tija au faida ipi?

4. Kipi kilicho bora kuliko mazungumzo?

5. Sasa Israel iliyokuwa haitaki mazungumzo, inaomba kuwezeshwa kupata uwezekano wa kuzungumza kumaliza mambo:

IMG_20231217_110319.jpg


6. Sisi wapenda haki tuna nini cha zaidi ya kuwaombea heri?

7. Yaliyopita si ndwele muda wa kuganga yajayo.

8. Uelekeo ukiwa, kuachiliwa mateka na wafungwa wote mikononi mwa pande zote mbili;

9. Kuridhiwa kusimikwa kwa taifa huru la Palestina lenye mamlaka yake kamili, mji mkuu ukiwa Yerusalemi.

10. Kwa hakika itapendeza zaidi.

11. Ndugu wawili wakigombana chukua jembe ukalime, siku wakipatana chukua kapu ukavune.

12. Kila mmoja akagange nundu zake.

13. Mwana kondoo ameshinda, ibilisi ameshindwa!
 
Vita vya nini kama mazungumzo yanaweza kuzaa mapatano yenye tija?

1. Ama kweli amani haipatikani ila kwa ncha ya upanga:

View attachment 2844642

2. Kwamba Israel kwenye hasira kali na pepo la kisasi na mtafaruku ule Oct 7, wameuwa wengi wakiwamo wasiokuwa na hatia?

2. Kwamba wameuwa hadi raia (wakiwamo wa Israel), wanahabari, wauguzi, watoa misaada, waokozi, watoto (wakiwamo njiti), wanawake, wanajeshi (wakiwamo wao, hadi wa Lebanon), hata mateka wao waliokuwa wamesalimshwa?

View attachment 2844648

3. Yote haya na uharibifu wote kwa tija au faida ipi?

4. Kipi kilicho bora kuliko mazungumzo?

5. Sasa Israel iliyokuwa haitaki mazungumzo, inaomba kuwezeshwa kupata uwezekano wa kuzungumza kumaliza mambo:

View attachment 2844643

6. Sisi wapenda haki tuna nini cha zaidi ya kuwaombea heri?

7. Yaliyopita si ndwele muda wa kuganga yajayo.

8. Uelekeo ukiwa, kuachiliwa mateka na wafungwa wote mikononi mwa pande zote mbili;

9. Kuridhiwa kusimikwa kwa taifa huru la Palestina lenye mamlaka yake kamili, mji mkuu ukiwa Yerusalemi.

10. Kwa hakika itapendeza zaidi.

11. Ndugu wawili wakigombana chukua jembe ukalime, siku wakipatana chukua kapu ukavune.

12. Kila mmoja akagange nundu zake.

13. Mwana kondoo ameshinda, ibilisi ameshindwa!
Nakataa Yerusalemu kuwa mjii mkuu wa Palestina.Hili hapana kabisa.Isael ikikubari kunyanganywa Israel litakuwa kosa kubwa la kihistoria Katia maisha yao hapa duniani
 
Vita vya nini kama mazungumzo yanaweza kuzaa mapatano yenye tija?

1. Ama kweli amani haipatikani ila kwa ncha ya upanga:

View attachment 2844642

2. Kwamba Israel kwenye hasira kali na pepo la kisasi na mtafaruku ule Oct 7, wameuwa wengi wakiwamo wasiokuwa na hatia?

2. Kwamba wameuwa hadi raia (wakiwamo wa Israel), wanahabari, wauguzi, watoa misaada, waokozi, watoto (wakiwamo njiti), wanawake, wanajeshi (wakiwamo wao, hadi wa Lebanon), hata mateka wao waliokuwa wamesalimshwa?

View attachment 2844648

3. Yote haya na uharibifu wote kwa tija au faida ipi?

4. Kipi kilicho bora kuliko mazungumzo?

5. Sasa Israel iliyokuwa haitaki mazungumzo, inaomba kuwezeshwa kupata uwezekano wa kuzungumza kumaliza mambo:

View attachment 2844643

6. Sisi wapenda haki tuna nini cha zaidi ya kuwaombea heri?

7. Yaliyopita si ndwele muda wa kuganga yajayo.

8. Uelekeo ukiwa, kuachiliwa mateka na wafungwa wote mikononi mwa pande zote mbili;

9. Kuridhiwa kusimikwa kwa taifa huru la Palestina lenye mamlaka yake kamili, mji mkuu ukiwa Yerusalemi.

10. Kwa hakika itapendeza zaidi.

11. Ndugu wawili wakigombana chukua jembe ukalime, siku wakipatana chukua kapu ukavune.

12. Kila mmoja akagange nundu zake.

13. Mwana kondoo ameshinda, ibilisi ameshindwa!
Waziri Mkuu wa Israel aliyeuwawa na muisraeli mwenzie alipata kusema wakati wakitia sahihi kwenye mkataba wa Amani na Palestina alisema tunataka kuijulisha Dunia kwamba sisi watoto halisi wa Baba yetu mmoja Abraham 🙏🙏🙏
 
Waziri Mkuu wa Israel aliyeuwawa na muisraeli mwenzie alipata kusema wakati wakitia sahihi kwenye mkataba wa Amani na Palestina alisema tunataka kuijulisha Dunia kwamba sisi watoto halisi wa Baba yetu mmoja Abraham 🙏🙏🙏

"Ndugu wawili wakigombana chukua jembe ukalime. Siku wakipatana chukua kapu ukavune."

Ni habari njema amani ya kweli ikapatikane.

Yitzhak Rabin alikuwa akili kubwa sana.
 
Nakataa Yerusalemu kuwa mjii mkuu wa Palestina.Hili hapana kabisa.Isael ikikubari kunyanganywa Israel litakuwa kosa kubwa la kihistoria Katia maisha yao hapa duniani

Nini kisichowezekana chini ya jua? Kulikoni kupenda vita visivyokuwa na tija?

IMG_20231217_073928.jpg
 
Mi huwa nawaambia watu isingekuwa marekani hizi nchi zingekuwa zishapatana zamani sana coz wenyewe waisrael halisia na wapalestina hawana shida kabisa, shida ipo kwa hawa wazungu wahamiaji wakina netanyahu. Hawataki kabisa amani

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app

1. Anthony Blinken baada ya kuja kuchochea vita na kusilibwa resolution ya UNGA katokomea kusikojulikana.

2. Sasa wamebaki menyewe Kwa menyewe:

IMG_20231217_000353.jpg


3. Kwamba tuko hapa:

IMG_20231216_235602.jpg


4. Mbona mdogo mdogo tutafika tu?
 
"Ndugu wawili wakigombana chukua jembe ukalime. Siku wakipatana chukua kapu ukavune."

Ni habari njema amani ya kweli ikapatikane.

Yitzhak Rabin alikuwa akili kubwa sana.
Kabisa kabisa. !!
 
Kabisa kabisa. !!

1. Extremists wa upande wowote ni hatari kwa amani ya dunia.

2. Ni uzwazwa kudhani imani yako ndiyo njema.

3. Ni upoyoyo uliopitiliza kushinikiza imani na wills zako kwa wengine.

4. Hii dunia ni yetu sote.

5. Kulikoni kuuwa wasio na hatia?

7. Kulikoni kuwatendea wengine usiyopenda wewe kutendewa?

8. Kwa hakika mola atuswamehe.
 
Vita vya nini kama mazungumzo yanaweza kuzaa mapatano yenye tija?

1. Ama kweli amani haipatikani ila kwa ncha ya upanga:

View attachment 2844642

2. Kwamba Israel kwenye hasira kali na pepo la kisasi na mtafaruku ule Oct 7, wameuwa wengi wakiwamo wasiokuwa na hatia?

2. Kwamba wameuwa hadi raia (wakiwamo wa Israel), wanahabari, wauguzi, watoa misaada, waokozi, watoto (wakiwamo njiti), wanawake, wanajeshi (wakiwamo wao, hadi wa Lebanon), hata mateka wao waliokuwa wamesalimshwa?

View attachment 2844648

3. Yote haya na uharibifu wote kwa tija au faida ipi?

4. Kipi kilicho bora kuliko mazungumzo?

5. Sasa Israel iliyokuwa haitaki mazungumzo, inaomba kuwezeshwa kupata uwezekano wa kuzungumza kumaliza mambo:

View attachment 2844643

6. Sisi wapenda haki tuna nini cha zaidi ya kuwaombea heri?

7. Yaliyopita si ndwele muda wa kuganga yajayo.

8. Uelekeo ukiwa, kuachiliwa mateka na wafungwa wote mikononi mwa pande zote mbili;

9. Kuridhiwa kusimikwa kwa taifa huru la Palestina lenye mamlaka yake kamili, mji mkuu ukiwa Yerusalemi.

10. Kwa hakika itapendeza zaidi.

11. Ndugu wawili wakigombana chukua jembe ukalime, siku wakipatana chukua kapu ukavune.

12. Kila mmoja akagange nundu zake.

13. Mwana kondoo ameshinda, ibilisi ameshindwa!
Hii palestina kuwa nchi ambayo Yerusalem ndio mji wake mkuu ni kitu ambacho hakiwezekani kimwili wala kiroho.
Yerusalemu ni mji wa Yule mfalme mkuu.
Mfalme huyu ni shina na mzao wa daudi.
Kwa kadri ya nabii za maandiko matakatifu mfalme huyu atalirejelea hekalu lake kwa wakati muafaka kupitia lango la mashariki mwa mji.
Pia mji huu Yerusalemu unatajwa kuwa mji usiogawanyika.
Ndio tunaitaka amani lakini hapana amani kwao watendao uovu.
Kwa sababu amani nje ya imani sii amani bali utulivu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii palestina kuwa nchi ambayo Yerusalem ndio mji wake mkuu ni kitu ambacho hakiwezekani kimwili wala kiroho.
Yerusalemu ni mji wa Yule mfalme mkuu.
Mfalme huyu ni shina na mzao wa daudi.
Kwa kadri ya nabii za maandiko matakatifu mfalme huyu atalirejelea hekalu lake kwa wakati muafaka kupitia lango la mashariki mwa mji.
Pia mji huu Yerusalemu unatajwa kuwa mji usiogawanyika.
Ndio tunaitaka amani lakini hapana amani kwao watendao uovu.
Kwa sababu amani nje ya imani sii amani bali utulivu.

Sent using Jamii Forums mobile app

1. ruhi yule nduguyo anakuita huku.

2. Huoni kuwa imani kila mtu ana yake na waungwana wanasema:

"We can live and let live?"

3 Duniani hapa si tulishakubaliana kuwa sote tu wasafiri?

4. Kwani nani atakuwapo duniani hapa milele ndugu?
 
Vita vya nini kama mazungumzo yanaweza kuzaa mapatano yenye tija?

1. Ama kweli amani haipatikani ila kwa ncha ya upanga:

View attachment 2844642

2. Kwamba Israel kwenye hasira kali na pepo la kisasi na mtafaruku ule Oct 7, wameuwa wengi wakiwamo wasiokuwa na hatia?

2. Kwamba wameuwa hadi raia (wakiwamo wa Israel), wanahabari, wauguzi, watoa misaada, waokozi, watoto (wakiwamo njiti), wanawake, wanajeshi (wakiwamo wao, hadi wa Lebanon), hata mateka wao waliokuwa wamesalimshwa?

View attachment 2844648

3. Yote haya na uharibifu wote kwa tija au faida ipi?

4. Kipi kilicho bora kuliko mazungumzo?

5. Sasa Israel iliyokuwa haitaki mazungumzo, inaomba kuwezeshwa kupata uwezekano wa kuzungumza kumaliza mambo:

View attachment 2844643

6. Sisi wapenda haki tuna nini cha zaidi ya kuwaombea heri?

7. Yaliyopita si ndwele muda wa kuganga yajayo.

8. Uelekeo ukiwa, kuachiliwa mateka na wafungwa wote mikononi mwa pande zote mbili;

9. Kuridhiwa kusimikwa kwa taifa huru la Palestina lenye mamlaka yake kamili, mji mkuu ukiwa Yerusalemi.

10. Kwa hakika itapendeza zaidi.

11. Ndugu wawili wakigombana chukua jembe ukalime, siku wakipatana chukua kapu ukavune.

12. Kila mmoja akagange nundu zake.

13. Mwana kondoo ameshinda, ibilisi ameshindwa!
Yote yanaweza kufanyika LAKINI NO 10 HII HAITAKAA ITOKEE MILELE

Yerusalemu ni moyo wa Wayahudi na Israel, kuiachia ni sawa na kuifuta Israel duniani.
 
Yote yanaweza kufanyika LAKINI NO 10 HII HAITAKAA ITOKEE MILELE

Yerusalemu ni moyo wa Wayahudi na Israel, kuiachia ni sawa na kuifuta Israel duniani.

1. Mkuu 9 yanatosha sana hiyo 90% hata kama ni mtihani hiyo ni excellent.

2. Wengine husema unakubali hiyo kwanza, mengine mtaendelea kuongea hata kama ni mpaka milele.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
1. Mkuu 9 yanatosha sana hiyo 90% hata kama ni mtihani hiyo ni excellent.

2. Wengine husema unakubali hiyo kwanza, mengine mtaendelea kuongea hata kama ni mpaka milele.

Au nasema uongo ndugu zangu?
Unaweza kumpa mtu kola kitu lkn kamwe huwezi kumtoa mkeo
 
1. Extremists wa upande wowote ni hatari kwa amani ya dunia.

2. Ni uzwazwa kudhani imani yako ndiyo njema.

3. Ni upoyoyo uliopitiliza kushinikiza imani na wills zako kwa wengine.

4. Hii dunia ni yetu sote.

5. Kulikoni kuuwa wasio na hatia?

7. Kulikoni kuwatendea wengine usiyopenda wewe kutendewa?

8. Kwa hakika mola atuswamehe.
🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom