Vita Gaza katika mwelekeo mwema, busara inapoanza kurejea

Vita Gaza katika mwelekeo mwema, busara inapoanza kurejea

Yote yanaweza kufanyika LAKINI NO 10 HII HAITAKAA ITOKEE MILELE

Yerusalemu ni moyo wa Wayahudi na Israel, kuiachia ni sawa na kuifuta Israel duniani.
Waziri mkuu Sharon aliwataka waisrael kuondoka Jerusalem, na akaanza operesheni ya kuwaondoa kwa lengo la kuwaachia mji huo wapalestina ili kuleta amani ya kidumu. Kilichofuatia Sharon aliingia kwenye coma ya miaka 6 ndipo akafariki.

Netanyahu akijaribu kufanya upuuzi huo tena atashughulikiwa na waisrael wenyewe
 
Waziri mkuu Sharon aliwataka waisrael kuondoka Jerusalem, na akaanza operesheni ya kuwaondoa kwa lengo la kuwaachia mji huo wapalestina ili kuleta amani ya kidumu. Kilichofuatia Sharon aliingia kwenye coma ya miaka 6 ndipo akafariki.

Netanyahu akijaribu kufanya upuuzi huo tena atashughulikiwa na waisrael wenyewe

Upepo wa sasa hauko vyema kwao:

1. Kwamba:

IMG_20231217_110041.jpg


2. Na wapalestina ni hawa:

IMG_20231217_110319.jpg


3. Huku waisrael ni hawa wanaowataka mateka kwa gharama yoyote:

IMG_20231217_111642.jpg


4. Hii mbombombo siyo ile ya Ariel Sharon.

5. "Kwa hakika furahini katika bwana tena nasema furahini." Mwisho wa kumnukuu.

6. MK254, FaizaFoxy, johnthebaptist, denoo JG, darcity, Utamu na wale wenginewe hakuna aliyeshindwa hapa wandugu.

7. Muda wa kuchukua kapu kwenda kuvuna.
 
Upepo wa sasa hauko vyema kwao:

1. Kwamba:

View attachment 2844796

2. Na wapalestina ni hawa:

View attachment 2844797

3. Huku waisrael ni hawa wanaowataka mateka kwa gharama yoyote:

View attachment 2844800

4. Hii mbombombo siyo ile ya Ariel Sharon.

5. "Kwa hakika furahini katika bwana tena nasema furahini." Mwisho wa kumnukuu.

6. MK254, FaizaFoxy, johnthebaptist, denoo JG, darcity, Utamu na wale wenginewe hakuna aliyeshindwa hapa wandugu.

7. Muda wa kuchukua kapu kwenda kuvuna.

Kuliwa shaba huku ukiomba msamaha, hadi raha, mlilianzisha wenyewe

View: https://twitter.com/i/status/1735629020476158067
 
Nakataa Yerusalemu kuwa mjii mkuu wa Palestina.Hili hapana kabisa.Isael ikikubari kunyanganywa Israel litakuwa kosa kubwa la kihistoria Katia maisha yao hapa duniani
Yerusalemu ni mji mkuu wa Waisraeli tangu enzi za kina Daudi,Solomoni,Yeroboamu hadi sasa.
 
Hii palestina kuwa nchi ambayo Yerusalem ndio mji wake mkuu ni kitu ambacho hakiwezekani kimwili wala kiroho.
Yerusalemu ni mji wa Yule mfalme mkuu.
Mfalme huyu ni shina na mzao wa daudi.
Kwa kadri ya nabii za maandiko matakatifu mfalme huyu atalirejelea hekalu lake kwa wakati muafaka kupitia lango la mashariki mwa mji.
Pia mji huu Yerusalemu unatajwa kuwa mji usiogawanyika.
Ndio tunaitaka amani lakini hapana amani kwao watendao uovu.
Kwa sababu amani nje ya imani sii amani bali utulivu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Heko sana kwa ufafanuzi mzuri.
 
Vita vya nini kama mazungumzo yanaweza kuzaa mapatano yenye tija?

1. Ama kweli amani haipatikani ila kwa ncha ya upanga:

View attachment 2844789

2. Kwamba Israel kwenye hasira kali na pepo la kisasi na mtafaruku ule Oct 7, wameuwa wengi wakiwamo wasiokuwa na hatia?

2. Kwamba wameuwa hadi raia (wakiwamo wa Israel), wanahabari, wauguzi, watoa misaada, waokozi, watoto (wakiwamo njiti), wanawake, wanajeshi (wakiwamo wao, hadi wa Lebanon), hata mateka wao waliokuwa wamesalimshwa?

View attachment 2844809

3. Yote haya na uharibifu wote kwa tija au faida ipi?

4. Kipi kilicho bora kuliko mazungumzo?

5. Sasa Israel iliyokuwa haitaki mazungumzo, inaomba kuwezeshwa kupata uwezekano wa kuzungumza kumaliza mambo:

View attachment 2844790

6. Sisi wapenda haki tuna nini cha zaidi ya kuwaombea heri?

7. Yaliyopita si ndwele muda wa kuganga yajayo.

8. Uelekeo ukiwa, kuachiliwa mateka na wafungwa wote mikononi mwa pande zote mbili;

9. Kuridhiwa kusimikwa kwa taifa huru la Palestina lenye mamlaka yake kamili, mji mkuu ukiwa Yerusalemi.

10. Kwa hakika itapendeza zaidi.

11. Ndugu wawili wakigombana chukua jembe ukalime, siku wakipatana chukua kapu ukavune.

12. Kila mmoja akagange nundu zake.

13. Mwana kondoo ameshinda, ibilisi ameshindwa!
Taarifa ya Hamas umeielewa au unakurupuka tu ili mradi umeona Netanyahu yeye anamwelekeo huo baada ya kubanwa na wananchi wa Israel kwa tukio la wanajeshi wa Israel kuwauwa walioshikiliwa mateka?
Naamini kabisa huna uelewa wa kiingereza fasaha
1702813464496.png
 
Taarifa ya Hamas umeielewa au unakurupuka tu ili mradi umeona Netanyahu yeye anamwelekeo huo baada ya kubanwa na wananchi wa Israel kwa tukio la wanajeshi wa Israel kuwauwa walioshikiliwa mateka?
Naamini kabisa huna uelewa wa kiingereza fasaha
View attachment 2845033

1. Ulisoma #8 na #9 kwenye mada kuifuatia screen shot hiyo?

2. Ninakuwekea tafsiri hizo hapa tena, kwa starehe yako:

"8. Uelekeo ukiwa, kuachiliwa mateka na wafungwa wote mikononi mwa pande zote mbili;

9. Kuridhiwa kusimikwa kwa taifa huru la Palestina lenye mamlaka yake kamili, mji mkuu ukiwa Yerusalemi."


3. Au wewe unatafsiri tofauti na hiyo?

4. Nisiache kusema, "hivi kulikoni mtanzania kujifanya yeye tu ndiye aliye mjuaji zaidi?"

5. Nasubiri tafsiri yako ndugu.
 
Vita vya nini kama mazungumzo yanaweza kuzaa mapatano yenye tija?

1. Ama kweli amani haipatikani ila kwa ncha ya upanga:

View attachment 2844789

2. Kwamba Israel kwenye hasira kali na pepo la kisasi na mtafaruku ule Oct 7, wameuwa wengi wakiwamo wasiokuwa na hatia?

2. Kwamba wameuwa hadi raia (wakiwamo wa Israel), wanahabari, wauguzi, watoa misaada, waokozi, watoto (wakiwamo njiti), wanawake, wanajeshi (wakiwamo wao, hadi wa Lebanon), hata mateka wao waliokuwa wamesalimshwa?

View attachment 2844809

3. Yote haya na uharibifu wote kwa tija au faida ipi?

4. Kipi kilicho bora kuliko mazungumzo?

5. Sasa Israel iliyokuwa haitaki mazungumzo, inaomba kuwezeshwa kupata uwezekano wa kuzungumza kumaliza mambo:

View attachment 2844790

6. Sisi wapenda haki tuna nini cha zaidi ya kuwaombea heri?

7. Yaliyopita si ndwele muda wa kuganga yajayo.

8. Uelekeo ukiwa, kuachiliwa mateka na wafungwa wote mikononi mwa pande zote mbili;

9. Kuridhiwa kusimikwa kwa taifa huru la Palestina lenye mamlaka yake kamili, mji mkuu ukiwa Yerusalemi.

10. Kwa hakika itapendeza zaidi.

11. Ndugu wawili wakigombana chukua jembe ukalime, siku wakipatana chukua kapu ukavune.

12. Kila mmoja akagange nundu zake.

13. Mwana kondoo ameshinda, ibilisi ameshindwa!
Wenye kuelewa statement ya Hamasi wataelewa Israel kapewa sharti asirudie tena kuwashambulia wa Palestine.

Hapo mana yake Israel kapiga magoti.
 
Wenye kuelewa statement ya Hamasi wataelewa Israel kapewa sharti asirudie tena kuwashambulia wa Palestine.

Hapo mana yake Israel kapiga magoti.

1. Mkuu hili ni dhahiri bin shahiri:

IMG_20231216_234940.jpg


IMG_20231216_235433.jpg


2. Ila Sasa kiutu uzima si huwa tunafichiana fedheha mkuu?

3. Kwani ni lazima mtu mzima abanwe hadi machozi yamtoke kujua anajuta?
 
Nakataa Yerusalemu kuwa mjii mkuu wa Palestina.Hili hapana kabisa.Isael ikikubari kunyanganywa Israel litakuwa kosa kubwa la kihistoria Katia maisha yao hapa duniani
Wewe unashika nafasi gani pale makao makuu ya UN au kwenye sirikali ya US au kwenye utawala haramu wa kizayuni
 
Waziri mkuu Sharon aliwataka waisrael kuondoka Jerusalem, na akaanza operesheni ya kuwaondoa kwa lengo la kuwaachia mji huo wapalestina ili kuleta amani ya kidumu. Kilichofuatia Sharon aliingia kwenye coma ya miaka 6 ndipo akafariki.

Netanyahu akijaribu kufanya upuuzi huo tena atashughulikiwa na waisrael wenyewe
Wacha uzushi.Sharon alipata stroke tarehe 17 December 2005 baada ya watoto wake kuwa kwenye kashfa ya kupokea hongo kutoka Greece.
Sharon alishutumiwa na kuondoka kwenye chama cha Likud kwa kuondosha majeshi ya Israel Gaza na West Bank.Hakuna kiongozi wa Israel aliyewahi kuwaondoa wayahudi Jerusalem. Kwenye two state solution kuna wazo la East Jerusalem na West Jerusalem.
 
Wacha uzushi.Sharon alipata stroke tarehe 17 December 2005 baada ya watoto wake kuwa kwenye kashfa ya kupokea hongo kutoka Greece.
Sharon alishutumiwa na kuondoka kwenye chama cha Likud kwa kuondosha majeshi ya Israel Gaza na West Bank.Hakuna kiongozi wa Israel aliyewahi kuwaondoa wayahudi Jerusalem. Kwenye two state solution kuna wazo la East Jerusalem na West Jerusalem.

Mengine yote ni mbwembwe, rejea Oslo accord na kilichomtoa Arafat mezani Camp David na Yitzhak Rabin.

Makubwa yaliyogomba:

1. Jerusalem kama mji mkuu.

2. Wapalestina ukimbizini kurudi nyumbani.

Hapo ndipo penye utata zaidi na hasa hapa ndipo asipotaka Israel, wapalestina ughaibuni kurudi nyumbani.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Back
Top Bottom