Vita imekuwa Kali, Lissu apewe Ulinzi

Vita imekuwa Kali, Lissu apewe Ulinzi

chakii

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2013
Posts
20,834
Reaction score
26,217
Wadau salaam..

Baada ya Mh Tundu A. Lisu kuonyesha nia ya kuwania nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA Taifa tumeona mambo mengi na matamko mbalimbali, matamko mengi ambayo hayakutegemewa ni namna Lisu anvyopigwa vita na kukatishwa tamaa, Siyo ndani ya CHADEMA Tu Bali hata kwa Vyama vingine kama CCM nao wanaungana kumpinga Lisu kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA. Hii inafikirisha sana na kuzua Maswali mengi kwamba ni kitu gani haswa wanachohofia kutoka kwa Lisu, kwanini wasimuache awanie hiyo nafasi alafu Baada ya matokeo tuone itakavyokuwa?

Kwanini CCM wanataka Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA pamoja na kuwa ameshakuwa mwenyekiti zaidi ya miaka 20 sasa ? CCM Wana maslahi gani na CHADEMA chini ya Uongozi wa Mbowe.

La mwisho lakini Siyo kwa umuhimu naomba Lisu apewe Ulinzi wa kutosha, maisha yake Yana thamani kuliko nafasi hizi za kisiasa.

Kila la kheri TAL.
 
Wadau salaam..

Baada ya Mh Tundu A. Lisu kuonyesha nia ya kuwania nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA Taifa tumeona mambo mengi na matamko mbalimbali, matamko mengi ambayo hayakutegemewa ni namna Lisu anvyopigwa vita na kukatishwa tamaa, Siyo ndani ya CHADEMA Tu Bali hata kwa Vyama vingine kama CCM nao wanaungana kumpinga Lisu kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA. Hii inafikirisha sana na kuzua Maswali mengi kwamba ni kitu gani haswa wanachohofia kutoka kwa Lisu, kwanini wasimuache awanie hiyo nafasi alafu Baada ya matokeo tuone itakavyokuwa?

Kwanini CCM wanataka Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA pamoja na kuwa ameshakuwa mwenyekiti zaidi ya miaka 20 sasa ? CCM Wana maslahi gani na CHADEMA chini ya Uongozi wa Mbowe.

La mwisho lakini Siyo kwa umuhimu naomba Lisu apewe Ulinzi wa kutosha, maisha yake Yana thamani kuliko nafasi hizi za kisiasa.

Kila la kheri TAL.
Kundi la Mzee Mbowe likiongozwa na yule polygon(Boni Yai) wanaweza fanya kitu chochote
 
Duh kwahy n ccm ndio wanataka mbowe aendelee kuwa mwenyekiti? Kwahy nitakuwa sahihi nikisema chadema ndio wanalazimisha ccm kubadili wenyeviti wao?
 
Wadau salaam..

Baada ya Mh Tundu A. Lisu kuonyesha nia ya kuwania nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA Taifa tumeona mambo mengi na matamko mbalimbali, matamko mengi ambayo hayakutegemewa ni namna Lisu anvyopigwa vita na kukatishwa tamaa, Siyo ndani ya CHADEMA Tu Bali hata kwa Vyama vingine kama CCM nao wanaungana kumpinga Lisu kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA. Hii inafikirisha sana na kuzua Maswali mengi kwamba ni kitu gani haswa wanachohofia kutoka kwa Lisu, kwanini wasimuache awanie hiyo nafasi alafu Baada ya matokeo tuone itakavyokuwa?

Kwanini CCM wanataka Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA pamoja na kuwa ameshakuwa mwenyekiti zaidi ya miaka 20 sasa ? CCM Wana maslahi gani na CHADEMA chini ya Uongozi wa Mbowe.

La mwisho lakini Siyo kwa umuhimu naomba Lisu apewe Ulinzi wa kutosha, maisha yake Yana thamani kuliko nafasi hizi za kisiasa.

Kila la kheri TAL.
Tundu Lissu anawindwa na mfumo dhalimu
 
Chacha wangwe hakufa kwa ajar kama tulivyo ambiwa
 
Wadau salaam..

Baada ya Mh Tundu A. Lisu kuonyesha nia ya kuwania nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA Taifa tumeona mambo mengi na matamko mbalimbali, matamko mengi ambayo hayakutegemewa ni namna Lisu anvyopigwa vita na kukatishwa tamaa, Siyo ndani ya CHADEMA Tu Bali hata kwa Vyama vingine kama CCM nao wanaungana kumpinga Lisu kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA. Hii inafikirisha sana na kuzua Maswali mengi kwamba ni kitu gani haswa wanachohofia kutoka kwa Lisu, kwanini wasimuache awanie hiyo nafasi alafu Baada ya matokeo tuone itakavyokuwa?

Kwanini CCM wanataka Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA pamoja na kuwa ameshakuwa mwenyekiti zaidi ya miaka 20 sasa ? CCM Wana maslahi gani na CHADEMA chini ya Uongozi wa Mbowe.

La mwisho lakini Siyo kwa umuhimu naomba Lisu apewe Ulinzi wa kutosha, maisha yake Yana thamani kuliko nafasi hizi za kisiasa.

Kila la kheri TAL.
Inawezekama ndani ya chadema kuna watu wasiojulikana?
 
Wadau salaam..

Baada ya Mh Tundu A. Lisu kuonyesha nia ya kuwania nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA Taifa tumeona mambo mengi na matamko mbalimbali, matamko mengi ambayo hayakutegemewa ni namna Lisu anvyopigwa vita na kukatishwa tamaa, Siyo ndani ya CHADEMA Tu Bali hata kwa Vyama vingine kama CCM nao wanaungana kumpinga Lisu kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA. Hii inafikirisha sana na kuzua Maswali mengi kwamba ni kitu gani haswa wanachohofia kutoka kwa Lisu, kwanini wasimuache awanie hiyo nafasi alafu Baada ya matokeo tuone itakavyokuwa?

Kwanini CCM wanataka Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA pamoja na kuwa ameshakuwa mwenyekiti zaidi ya miaka 20 sasa ? CCM Wana maslahi gani na CHADEMA chini ya Uongozi wa Mbowe.

La mwisho lakini Siyo kwa umuhimu naomba Lisu apewe Ulinzi wa kutosha, maisha yake Yana thamani kuliko nafasi hizi za kisiasa.

Kila la kheri TAL.
ALISHAAMBIWA SUMU HAIONJWI ANAANZA KULALAMIKA NINI SASA SUMU HIYO INAFANYA KAZI NA MBOWE LAZIMA ABEBE LAWAMA
 
Kwani walinzi hulindwa na nani?

Au wao maisha Yao hayana thamani?
 
Kwa makusudi kabisa, Chadema Wanatengeneza Makosa...
 
Back
Top Bottom