Alisema mwalimu NyererePambano limekuwa moto sasa CCM ikiwa na point nyingi za ushindi wakati Serikali ikiwa na Hali mbaya sana, tuwaamue au tuwaache watoane ngeu? Kazi inayofanya Makonda ilitakiwa ifanywe na wapinzani lakini sasa wapinzani hata hawajui wafanye nini!
Maana adui zetu wameamua kupigana wao kwa wao, nadhani ni kwa sababu wamekosa mpambano halisi kutoka upinzani, sasa makonda anafanya kama haijui kabisa Serikali 'yaani Serikali inaanza kuiogopa CCM! CCM sasa ina meno ya kuweza kuichanachana Serikali. Asante Makonda tutawaamua endapo mmoja atatoka damu.
Hahahaha nataka niwape visu Kabisa wachinjane, naona sumu haitoshi!Maana adui zetu wameamua kupigana wao kwa wao, nadhani ni kwa sababu wamekosa mpambano halisi kutoka upinzani, sasa makonda anafanya kama haijui kabisa Serikali 'yaani Serikali inaanza kuiogopa CCM! CCM sasa ina meno ya kuweza kuichanachana Serikali.
Wacha iendelee kunyesha tujue panapovuja. Makonda apewe pia ripoti ua CAGWPambano limekuwa moto sasa CCM ikiwa na point nyingi za ushindi wakati Serikali ikiwa na Hali mbaya sana, tuwaamue au tuwaache watoane ngeu? Kazi inayofanya Makonda ilitakiwa ifanywe na wapinzani lakini sasa wapinzani hata hawajui wafanye nini!
Maana adui zetu wameamua kupigana wao kwa wao, nadhani ni kwa sababu wamekosa mpambano halisi kutoka upinzani, sasa makonda anafanya kama haijui kabisa Serikali 'yaani Serikali inaanza kuiogopa CCM! CCM sasa ina meno ya kuweza kuichanachana Serikali. Asante Makonda tutawaamua endapo mmoja atatoka damu.
Makonda hiyo siyo kazi zake ni basi tu anajilipua kwa sababu hatuna utawala wa sheria kama wenzetu Kenya"KAZI ANAYOIFANYA MAKONDA ILIPASWA KUFANYA NA UPINZANI". Hivi wapinzani wanaweza kuwaita wakuu wa mikoa,wakuu wa wilaya,wakurugenzi wa halimashauri,RPCs na watendaji wengine wa serikali kwenye mikutano yao na kuwahoji na kuwapa maelekezo kama anavyofanya makonda?
Una akili,,hekima,,na Maarifa mnoo Niffah,, Mungu akuweke Sana na aendelee kukujalia afya ya Mifupa Damu na Nyama!!Yale ni ya kupangwa nyuma ya pazia huko,,huku mbele ya kamera ni maigizo kwenda mbele wanatusahulisha mambo ya msingi watu wanabaki fuatilia upuuzi,,na hata maselebreti wanatumiwa sana pia kutuhamisha katika kudeal na mambo ya msingi,, hata matimu ya mpira pia yanatumika sana kutujaza upuuzi haswa Yanga na Simba.Wewe ni mgeni wa siasa za CCM ukikaribia uchaguzi mkuu? Anachokifanya Makonda wamewahi kukifanya Kinana na Nape tena kwa ufanisi zaidi.
Vita baina ya CCM na Serikali ni kama mume na mke, wanajuana na watamalizana wenyewe.
Zaidi ni mchezo tu wamepanga wenyewe kucheza na akili zetu, msiotafakari kwa kina mnaingia kwenye mtego.
Ngoja wapasuane tuPambano limekuwa moto sasa CCM ikiwa na point nyingi za ushindi wakati Serikali ikiwa na Hali mbaya sana, tuwaamue au tuwaache watoane ngeu? Kazi inayofanya Makonda ilitakiwa ifanywe na wapinzani lakini sasa wapinzani hata hawajui wafanye nini!
Maana adui zetu wameamua kupigana wao kwa wao, nadhani ni kwa sababu wamekosa mpambano halisi kutoka upinzani, sasa makonda anafanya kama haijui kabisa Serikali 'yaani Serikali inaanza kuiogopa CCM! CCM sasa ina meno ya kuweza kuichanachana Serikali. Asante Makonda tutawaamua endapo mmoja atatoka damu.