Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bashiru atakata majina yote ila sio la Pauline Gekul wake.
Huyo ni wa kwake haswaaa..
Kafa kaoza Bashiru.
Unamfahamu mwl.Ester wewe?
Yupi huyo au yule wa segerea?Yule mama alomsaliti mume kisa kapata ubunge na akose kabisa
Mchepuko ulioomba mkopo 50M na ukapewa 70M msaada eti "shughuli za chama"!Bashiru atakata majina yote ila sio la Pauline Gekul wake.
Inategemea mwenyekiti (mwenyechama) ameamkaje siku hiyoKamati kuu itateua
GekulYupi huyo au yule wa segerea?
Naam,, wengi watakatwa na hakuna pa kulalamikiaInategemea mwenyekiti (mwenyechama) ameamkaje siku hiyo
Haaaaaa haaaaBashiru atakata majina yote ila sio la Pauline Gekul wake.
Gekul
Na maendeleo mtayasikia kwa majiraniTunataka sura mpya Babati
Umepatia mkuu kuna meya wa zamani, aliyeondolewa kwa mizengwe wa CDM Bwn Kibiki.Hapo hakuna atakaye pata ubunge bali wana sindikiza mbunge wa cdm
Msifanye makosa ya miaka 60 kuwapa ccm madaraka.Hawa ni baadhi ya wanaccm walioonyesha nia ya kugombea Ubunge jimbo la Babati mjini. Je, nani anaweza kuwa kuipeperusha bendera ya CCM?
View attachment 1490199
Mbona walimu ni wengi hivi?Hawa ni baadhi ya wanaccm walioonyesha nia ya kugombea Ubunge jimbo la Babati mjini. Je, nani anaweza kuwa kuipeperusha bendera ya CCM?
View attachment 1490199
Mpango mzimaBaada ya kuona hakuna nyongeza, waalimu wakimbilia kwenye ubunge