Ulimbo
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 3,768
- 4,038
Hawa ni baadhi ya wanaccm walioonyesha nia ya kugombea Ubunge jimbo la Babati mjini. Je, nani anaweza kuwa kuipeperusha bendera ya CCM?
View attachment 1490199
Naona waalimu wameamua kipindi hiki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa ni baadhi ya wanaccm walioonyesha nia ya kugombea Ubunge jimbo la Babati mjini. Je, nani anaweza kuwa kuipeperusha bendera ya CCM?
View attachment 1490199
Yupi huyo?Yule mama alomsaliti mume kisa kapata ubunge na akose kabisa
Huyo Mwalimu Ester ana uzuri wa kumpindua Gekul kwa Bashiru wake?Unamfahamu mwl.Ester wewe?
Vipi mkuu Ester Mahawe ana shida gani?Unamfahamu mwl.Ester wewe?
Ester hawezi kututenda kwa kuwa anatufahamu na kuifahamu Babati siyo huyo Mkurya wa kujaEster naye atawatenda tuu
Hafai hata bure; arudi akapambane na hali yake huko TarimeChambiri anafaa
Hata Paulin alikua wa kuja kumbe?Ester hawezi kututenda kwa kuwa anatufahamu na kuifahamu Babati siyo huyo Mkurya wa kuja
MBONA JIBU WAZIHawa ni baadhi ya wanaccm walioonyesha nia ya kugombea Ubunge jimbo la Babati mjini. Je, nani anaweza kuwa kuipeperusha bendera ya CCM?
View attachment 1490199
AKAWA MTELA VIZURIII MJE KUMCHAFUA WAKATI WAMETOA MIIGO WEnyewee AKU KAKA KIMBIA HIKI KIKOMBEwampe Paskali Mayala
Hao wengi Wao ni wakuu wameacha kufundisha wanaingia kwa politicsMbona walimu ni wengi hivi?
Nani atafundisha watoto wetu?
Huwezi kata jina la mtu aliyekusaidia nguvu ya umma "papuchilo"Bashiru atakata majina yote ila sio la Pauline Gekul wake.
Sio Kila sehemu Siku ya Gulio Kater....inafanya kazi!Mchepuko ulioomba mkopo 50M na ukapewa 70M msaada eti "shughuli za chama"!
Lazima Bashiru alitwanga ile maneno ya gulioni kater... na Mbulu akaiva
Huyu jamaa ni chuma Sana .... Babati msikosee... Kura zote kwa KibikiUmepatia mkuu kuna meya wa zamani, aliyeondolewa kwa mizengwe wa CDM Bwn Kibiki.
Huyo atapeperusha bendera ya CHADEMA kugombea ubunge Bbt kama atapitishwa na chama!!
Dah!...Gekul tunamkata ili tumkomeshe Bashiru! Gekul atakuwa amegawa kalio bure!
Ndio wanaenda kuwa karibu mjengoniGekul tunamkata ili tumkomeshe Bashiru! Gekul atakuwa amegawa kalio bure!