Vita Kuu ya Tatu (WW3) ipo dhahiri mlangoni, Tuwe na akili ili tuishi

Ukifuatilia magaidi na wapiganaji karibia wote wa misituni wanapewa chapuo ya misaada ya zana na kimafunzo kutoka kwa hayo mataifa unayoyaona ndo mkombozi wa dunia hii
SASA MTU ANATAKA VITA SI UNAMUUZIA SILAHA KUTOKANA NA UJINGA WAKE MATAIFA MAKUBWA MBONA WENYEWE KWAO HAMNA VITA WATU WAO WANAISHI SAFI KAMA MPUMBAVU ANATAKA VITA WEWE MUUZIE SILAHA ILI AENDE NA UJINGA WAKE.

HATA VIAZI MBEYA HAVINA DILI ILA UKIPELEKA DAR VINACHANGAMKIWA SANA
 
All out war ni ngumu Nuclear Bombs zina-act kama deterrent watu wanaogopa kulianzisha wakilianzisha na wale wanalianzisha....

Vita ni internally matabaka kugombania resources gap of classes zimezidi have and have nots; Bila a sustainable economic systems kutakuwa na chaos na tusipoangalia even anarchy...
 
mchi gani ?? hiii hii iliyotupelekea mdoli bungeni
 
Tumechoka na tabiri zenu...
Kila siku vita vita

Mbuzi kashatoa session 6 kule
 
Kama mwaka 2001 kiranja mkuu alipigwa kwake na akiwa na nguvu na ushirika wa nguvu na hakuna upinzan kuliko sasa na vita havikutokea tusahau kuhusu ww3
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…