Mabibi na mabwana kumekuwa na vita vikali vya mitandaoni.
CCM, Chadema, Corona, Legacy, tuzo za BET nk.
Kwa hakika imekuwa ni patashika nguo kuchanika. Hata hivyo pana haja ya kufanyika tathmini za msingi.
Kuna uwezekano mkubwa kuwa waungwana, letu sote ni moja. Yawezekana ni kwa sababu ya kutofamiana tu. Kiasi labda hata tunashangaana. Kama manyani vile.
Ili kujiridhisha uzi huu uliandikwa:
www.jamiiforums.com
Lengo likiwa kuwafikia wote kwa kadri inavyowezekana. Ikibidi kwa majina.
Mrejesho:
1. Kutokea kwake Nigrastratatract ninukuu Comment #25, 34 na #57:
--------
------
--------
kutokea katika uzi huu:
www.jamiiforums.com
Ambapo pia comment ya mwisho kwenye majibizano haya #58 inahusika.
Kwa hakika ni jambo la heri sana. Inawezekana hata diamond angepewa nafasi ya kusikilizwa naye akasikiliza hali ingeweza kuwa tofauti.
2. Watajwa wengine tunaendelea kuwasubiri nao kama wakijitokeza itapendeza zaidi.
Elitwege, Wakudadavuwa, johnthebaptist na wenzenu habari ndiyo hiyo.
CCM, Chadema, Corona, Legacy, tuzo za BET nk.
Kwa hakika imekuwa ni patashika nguo kuchanika. Hata hivyo pana haja ya kufanyika tathmini za msingi.
Kuna uwezekano mkubwa kuwa waungwana, letu sote ni moja. Yawezekana ni kwa sababu ya kutofamiana tu. Kiasi labda hata tunashangaana. Kama manyani vile.
Ili kujiridhisha uzi huu uliandikwa:
Tuwatambue wanaohaha kutusambaratisha kama Taifa
Kutofautiana kimawazo katika nchi ni jambo la afya. Haiwezekani sote tukawa na mtizamo mmoja. Hata watoto mapacha hutokea wakati wakatofautiana. Kwa bahati mbaya kuna zama zimepita kwa kutofautiana tu pana watu wamekufa, wamepotezwa, wamejeruhiwa, wamedhulumiwa, na mengi ya namna hiyo...
Lengo likiwa kuwafikia wote kwa kadri inavyowezekana. Ikibidi kwa majina.
Mrejesho:
1. Kutokea kwake Nigrastratatract ninukuu Comment #25, 34 na #57:
--------
------
--------
kutokea katika uzi huu:
Hapa Kazi Tu (HKT) kiwe chama kipya cha kisiasa Tanzania kitakachoenzi falsafa na maono ya Hayati Dkt. Magufuli na kiwe tegemeo la Watanzania
Sisi tunaamini kwenye misimamo ya Magufuli ndiyo hasa misingi ya Chama Cha Hapa Kazi Tu... HKT. Kwenye hii misingi tutajenga Tanzania imara sasa na kwaajili ya vizazi vijavyo. Uhuru wa kiuchumi ni jambo linalowezekena kama tutasimamia vizuri maliasili tulizonazo kwa manufaa ya wote. Hatutakaa...
Ambapo pia comment ya mwisho kwenye majibizano haya #58 inahusika.
Kwa hakika ni jambo la heri sana. Inawezekana hata diamond angepewa nafasi ya kusikilizwa naye akasikiliza hali ingeweza kuwa tofauti.
2. Watajwa wengine tunaendelea kuwasubiri nao kama wakijitokeza itapendeza zaidi.
Elitwege, Wakudadavuwa, johnthebaptist na wenzenu habari ndiyo hiyo.