Vita mpya mjini, Mama Diamond vs Shilole

Vita mpya mjini, Mama Diamond vs Shilole

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
10,904
Reaction score
26,184
Soma hapa maelezo ya huyu mama eti ameact kama mzazi kumlimda mwanae
FB_IMG_1615896660960.jpg


Sent from my vivo 1820 using JamiiForums mobile app
 
Aiseee ilitakiwa domo mwenyewe amuonye shilole mbona kama mama mtu kaona wivu usio wa kimzazi.

Atagombeza wangapi hadharani wanaomkuwadia mwanae.

Kasababisha hadi tununua akongeze tako kumzidi sanchi
Shishi kafanyaje?
 
161621480_197083605089194_3438953251867545495_n.jpg
Kushoto Ndiye Mrembo aliyekamata Headlines Mitandaoni akitokea nchini Ufaransa ambapo Anadai amekuja Bongo kwa ajili ya Diamond ...Baada ya Kutua Nchini alifanikiwa kuonana na SHILOLE ambaye ndiye alimfikisha mikononi mwa Diamond tena hadharan baada ya domo kumaliza kuongea na waandishi wa habari..Tukio hili limeibua Taswira Mpyaa Kwani Diamond na Familia yake wameonesha wazi kuwa Hawajafurahishwa na Ujio wa Mwanamke Huyo huku maneno ya chini nchini yakisema Ana NIA OVU Dhidi ya Diamond
Shishi kafanyaje?
 
View attachment 1727237Kushoto Ndiye Mrembo aliyekamata Headlines Mitandaoni akitokea nchini Ufaransa ambapo Anadai amekuja Bongo kwa ajili ya Diamond ...Baada ya Kutua Nchini alifanikiwa kuonana na SHILOLE ambaye ndiye alimfikisha mikononi mwa Diamond tena hadharan baada ya domo kumaliza kuongea na waandishi wa habari..Tukio hili limeibua Taswira Mpyaa Kwani Diamond na Familia yake wameonesha wazi kuwa Hawajafurahishwa na Ujio wa Mwanamke Huyo huku maneno ya chini nchini yakisema Ana NIA OVU Dhidi ya Diamond
Mmmmh nia gani sasa, hahahahha au mganga wa mama kasema?!!!
Ila mama diamond khaaaa kijana wake hatokaa aishi na mwanamke, (ngoja nisiongee zaidi kwakua nami ni mwanamke ni mama)
 
View attachment 1727237Kushoto Ndiye Mrembo aliyekamata Headlines Mitandaoni akitokea nchini Ufaransa ambapo Anadai amekuja Bongo kwa ajili ya Diamond ...Baada ya Kutua Nchini alifanikiwa kuonana na SHILOLE ambaye ndiye alimfikisha mikononi mwa Diamond tena hadharan baada ya domo kumaliza kuongea na waandishi wa habari..Tukio hili limeibua Taswira Mpyaa Kwani Diamond na Familia yake wameonesha wazi kuwa Hawajafurahishwa na Ujio wa Mwanamke Huyo huku maneno ya chini nchini yakisema Ana NIA OVU Dhidi ya Diamond
Kiki ipo kazini
 
Back
Top Bottom