USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
Soma hapa maelezo ya huyu mama eti ameact kama mzazi kumlimda mwanae
Sent from my vivo 1820 using JamiiForums mobile app
Sent from my vivo 1820 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shishi kafanyaje?Aiseee ilitakiwa domo mwenyewe amuonye shilole mbona kama mama mtu kaona wivu usio wa kimzazi.
Atagombeza wangapi hadharani wanaomkuwadia mwanae.
Kasababisha hadi tununua akongeze tako kumzidi sanchi
Shishi kafanyaje?
Mmmmh nia gani sasa, hahahahha au mganga wa mama kasema?!!!View attachment 1727237Kushoto Ndiye Mrembo aliyekamata Headlines Mitandaoni akitokea nchini Ufaransa ambapo Anadai amekuja Bongo kwa ajili ya Diamond ...Baada ya Kutua Nchini alifanikiwa kuonana na SHILOLE ambaye ndiye alimfikisha mikononi mwa Diamond tena hadharan baada ya domo kumaliza kuongea na waandishi wa habari..Tukio hili limeibua Taswira Mpyaa Kwani Diamond na Familia yake wameonesha wazi kuwa Hawajafurahishwa na Ujio wa Mwanamke Huyo huku maneno ya chini nchini yakisema Ana NIA OVU Dhidi ya Diamond
Soma hapa maelezo ya huyu mama eti ameact kama mzazi kumlimda mwanae View attachment 1727122
Sent from my vivo 1820 using JamiiForums mobile app
Mmmmh nia gani sasa, hahahahha au mganga wa mama kasema?!!!
Ila mama diamond khaaaa kijana wake hatokaa aishi na mwanamke, (ngoja nisiongee zaidi kwakua nami ni mwanamke ni mama)
🤔.wanajua mpaka wasicho kijua
Hapo lazma mganga kaona mauza uza, wana kazi hii familiaHahaha labda binti kakataliwa na matunguri maana anaonekana mwizi wa nyota
Kiki ipo kaziniView attachment 1727237Kushoto Ndiye Mrembo aliyekamata Headlines Mitandaoni akitokea nchini Ufaransa ambapo Anadai amekuja Bongo kwa ajili ya Diamond ...Baada ya Kutua Nchini alifanikiwa kuonana na SHILOLE ambaye ndiye alimfikisha mikononi mwa Diamond tena hadharan baada ya domo kumaliza kuongea na waandishi wa habari..Tukio hili limeibua Taswira Mpyaa Kwani Diamond na Familia yake wameonesha wazi kuwa Hawajafurahishwa na Ujio wa Mwanamke Huyo huku maneno ya chini nchini yakisema Ana NIA OVU Dhidi ya Diamond
kiki zinamfata huyo kijana wa tandale hatumii nguvu nyingi kama wengine. yupo tu kwenye mishe zake kiki hiyooo inakujaKiki ipo kazini
Si wangekaa kimya Kama hawatumii nguvu.kiki zinamfata huyo kijana wa tandale hatumii nguvu nyingi kama wengine. yupo tu kwenye mishe zake kiki hiyooo inakuja
uwezi kaa kimya mtu anachukulia poa biashara yako.Si wangekaa kimya Kama hawatumii nguvu.